watanganyika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MLIMAWANYOKA

    PostGE2025 Ni lini Rais Samia atazunguka tena mikoani kuwashukuru wananchi kwa ushindi mzito?

    Baada ya uchaguzi ulioangaliwa kwa karibu na kukosolewa na wengi,.. ambapo "tume huru" ya uchaguzi ilimtangaza na kumrudisha madarakani Rais Samia kwa kura takribani asilimia 98, Watanzania wengi wamekuwa wakijiuliza jambo moja: Ni lini kiongozi mkuu wa nchi atarejea mikoani kuwashukuru...
  2. Lord Denning

    Tutatumia drones na Satelites kupiga picha Matukio ya kuboresha Mochwari mnazopanga kuzirekebisha kupotesha ushahidi

    Uzuri kila mnalopanga gizani taarifa zinatufikia. Tunajua mmepanga kufanya demolitions za mochwari na kuziboresha ili kuficha ushahidi. Kwa taarifa tu, sasa hivi tutatumia drones na satelite kupiga picha demolitions na renovations zote mnazopanga kuzifanya kwenye mochwari zetu ili tuioneshe...
  3. R

    Kwani lazima utawale? Wahurumie watanganyika, kweli 9.12.2025 wafe kwa wingi kama last time?

    Yangu ni hayo. Ndio ujumbe wangu kwako. Yasitokee tena. Mimi nakipenda, naipenda Tanganyika, spare life!
  4. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Kwa mara nyingine tena nakubaliana na watanganyika wengi kuwa hatuna Jeshi la Wananchi

    Muda wa kukupesa macho na kumung'unya maneno ushaisha tangu MO29. Kwa video niliyoona niseme wazi huenda haya mauaji hayajafanywa na Police tu bali hata jeshi limehusika Kama jeshi halijahusika kabisa na mauaji kwanini police wafanye hivyo ili hali jeshi lilikuwa mtaani siku hiyo? Tulijenga...
  5. H

    PostGE2025 Kutokana na ukatili mkubwa unaodaiwa kufanywa na Wazanzibari kwa Watanganyika, Sheria kali ziwekwe kudhibiti uingiaji wa Wazanzibari Tanganyika

    Kila mahali wapo mashuhuda waliowaona na kuwasikia wauaji wakisema wazi kuwa eti walikuwa wanafanya hayo mauaji kulipiza kisadi kwa Watanganyika, kwa sababu polisi wa Tanganyika waliwaua Wazanzibari miaka ya huko nyuma. Kama hali ni hiyo, na kama hawa watu wana chuki za kisasi kwa Watanganyika...
  6. R

    Freeman Mbowe, sijasikia kauli yako kuhusu mauaji ya watanganyika, wanachama "wako". Umeyafurahia mauaji haya? Hapana!

    Pamoja na yoooote yaliyotokea mpaka sasa ndani ya Chadema na may be kukuweka/kukukatisha tamaa, nilitegemea ulaani kwa nguvu ya Mungu wetu wa Mbinguni mauaji ya watanganyika wenzako. Umenyamaza kimyaaaaa. Si sawa. Jitafakari sana. Mchango wako ni mkubwa kisiasa kwa taifa hili. Usiharibu historia...
  7. MchelewajiSugu

    Wale mnaosikia juujuu tu kwamba mauaji ya maelfu Watanganyika wakati wa uchaguzi ni kisasa, kujeni niwa-brief kidogo

    Uchaguzi mkuu Oct.29 Mwaka 2000 Mkapa akiwa anatetea mhula wa pili wa urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, zanzibar ccm walimsimamisha Aman Abeid Karume akichuana na Maalim Seif wa CUF wakati huo. Seif alitia upinzani mkubwa sana kwa Karume. Na kulikuwa na kila dalili ya CUF kushinda...
  8. M

    Mtanganyika akishapata Ajira, Cheo au biashara hana habari na mambo ya haki, mali, wala shida za Tanganyika

    Mpe mtanganyika ajira, cheo, tenda au awe na biashara yake, atajiona wa tofauti sana,
  9. Lord Denning

    PostGE2025 BAKWATA, Watanganyika tunajua mnatumika kupandikiza hoja ya Udini. Jueni tu hamtaweza kututoa kwenye reli

    Rais Magufuli alikuwa mkristo na mkatoliki lakini bado Kanisa Katoliki lilimsema kwa kukiuka haki za binadamu na kukataa uwepo wa korona. Rais Magufuli alikuwa Mkristo na Mkatoliki lakini bado KKKT walitoa nyaraka mbalimbali kumsema na kuituhumu Serikali yake kwa ukandamizwaji wa haki za...
  10. mwehu ndama

    GE2025 Tuelimishane: Mbunge huyu anayewakilisha wenye ulemavu atakuwa anatoaje hoja bungeni?

    Mbunge wa viti maalumu walemavu akila kiapo..binafsi sipingi uwepo wa wenzetu wenye changamoto bungeni, lakini kwa mwnenendo wa mambo ulivyo nchini hatutakuwa na budi bali kuwabagaza baadhi yao sababu na wao ni sehemu ya serikali batili. Okey huyu Mh. atakuwa anatoaje hoja zake? Au ndo Ile ya...
  11. digba sowey

    Saini petition hii Toka shirika la haki za binadamu duniani ili kuilazimisha Dunia na jumuia zote kumuadhibu SAMIA kwa mauaji ya watanganyika

    https://www.amnesty.org/en/petition/demand-accountability-for-the-repression-in-tanzania/ Taka Uwajibikaji Nchini Tanzania Chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, mamlaka za Tanzania zimekuwa zikinyamazisha kwa makusudi sauti za upinzani kwa kulenga wakosoaji wa serikali, waandishi wa habari, asasi...
  12. digba sowey

    Video: Samia alidhamiria kuwaua watanganyika kwa malipo ya maridhiano, tusikubali kamwe, damu malipo yake ni damu

    Wakuu, sina maneno mengi,nimefatilia video za kampeni za mgombea urais wa CCM na makamu wake inaonekana kabisa walijipanga Kwa mauji ya watanganyika ili malipo yake yawe maridhiano, walinuia kuharibu uchaguzi na kuwauwa watanganyika wakijua kuwa watanganyika ni wajinga watawahadaa Kwa...
  13. C

    Ina maana ni kweli kwamba jeshi letu na vyombo vyake havikujua kwamba huyu mtu alikuwa na kisasi na watanganyika tangu 2001

    Kwamba walio kuwa wanawaminia watanganyika risasi kama wanaua ngedere walio vamia shamba la mahindi kilikuwa ni kikosi toka zanzibar hilo mimi sina hakika lakini ni kweli kabisa waliuawa kwa mamia kwa risasi za moto na kilikiwa kisasi hasa maana mashuhuda wengine walio nusurika uliongea nao...
  14. FlyingDutchman

    Watekaji na wauwaji wa kikatili wa watanganyika siku ya maandamo na baada,weakness Yao ilikua ni ipi?

    Bewere sihamasishi watu kufunga barabara lakini 1. Kawaida nguvu zao kubwa ni pia udhaifu wao Uwezo wa haraka na kusogea: wanatumia magari na silaha za moto, hivyo wanaweza kushambulia haraka. Udhaifu wa uangalizi wa umma: wanategemea kujificha na kudanganya raia (mfano: askari “wa kirafiki”...
  15. FlyingDutchman

    Mbinu ya kisaikolojia iliyotumika kuwauwa ndugu zetu watanganyika kikatili kama wanyama

    Mbinu hii inaitwa " Ishara ya Usalama ya Uongo" in English "false peace signal" Nisameh sana ndugu britanicca mnamo tarehe 26 ulitupa taarifa nyeti kuhusu askari 320 wenye order ya shoot to kill siku ya tarehe 29 , nakili tumekuangusha sana tungeokoa vifo vya watu wengi kama tungesambaza...
  16. britanicca

    I am seriously sick but for this let me write for the sake of Tanganyika… Watanganyika Mmelala mnoo tunajua mengi!

    Huu ujumbe niliuandika na kumpa mtu mashuhuri auchalaze sehemu Ila ame delay nauleta mwenyewe Ni week ya 3 sasa am sick ila na recover Naandika kwa umakini Uzi usifutwe au ukawaletea matatizo JF Inashangaza kuona kwa level ya kutokuwaamini Watanganyika, kuna baadhi ya Viongozi hasa wa Jeshi...
  17. Griss

    Je Mchengerwa ndiye aliyechochea Watanganyika kuuawa ?

    Naendelea kukusanya ushahidi angalia body language yake anaonyesha Ni moja walichochea mauaji? Huyu ni mkwe wa Samia Poleni Sana wafiwa wote tutaikomboa Tanganyika kutoka kwa wauni Kama hawa
  18. R

    Samia, kamatakamata ya Chadema na watanganyika, hao uliowaamini wanakuharibia. Kama crooked dictators walianguashwa, wapambe watakuangusha

    Nakushauri kwa nia njema ti komesha kamatakamata ya watu. Hawa wapambe , machawa wanakutafutia anguko!
  19. The Burning Spear

    Maandamano yajayo hatushoboki na JWTZ. Wao ndo wataamua watuue au waungane nasi

    GT Tulijipa matumaini hewa kwamba tuna JW inayodhamin̈I maisha yetu kumbe ni wahuni wachumia tumbo. Amini nawaambia hawa jamaa walisaidia police kutuua 100%, JW walipiga san̈a risasi hasa nyakati za usiku mchana wanajifanya wapole. JW na Police lao ni moja kulinda.mafisadi ya CCM na wala siyo...
  20. F

    Damu za watanganyika zitalipwa tu, haitajali ni miaka mingapi. Kisasi chetu ni lazima, Samia achia madaraka, na Abdul jisalimishe

    Kila mahali kwenye vikundi vya whatsapp, kuna vilio vimetanda, kila familia imepoteza angalau mtu mmoja kama siyo zaidi ya moja. Wengine wamepoteza watoto wawili, wengine familia nzima imepigwa risasi, wengine mama na mtoto mdogo wa miaka wa miaka 2 wamepigwa risasi vichwani bila sababu.....Hao...
Back
Top Bottom