Nina rims ambazo zilikuwa silver wakapiga rangi nyeusi flan hivi haijakolea. But inabanduka hata kwa maji ya presha..
Nataka kurudia kupiga rangu rims napenda ziwe nyeusi. Wapi naweza pata wataakamu au je naweza piga rangi mi mwenyewe hizi za kununua kwenye kopo?
Habari...
Jumamosi nilikua naitumia Tarakirishi mpakato usiku nikaizima after hours ikiwa nzima kabisa. Jumapili jioni nikaiwasha niitumie lakini ikawa inaonyesha logo kidogo then inakuja rangi nyeupe kwenye kioo kizima (White Screen of Death)
Ikiwa hivyo huwezi kuona lololote wala kufanya...
Mwaka juzi nilimtafuta Prof Mmoja aliyekuwa Chuo, nilienda kuomba ushauri fulani wa Kilimo, nikaambiwa amestaafu na kuchukuliwa na Wizara ya Kilimo Nchini Zambia kama mshauri mkuu.
Nikawa nawazia kuwa wataalamu kama hao ni vizuri kuwafuatilia na kunufaika nao kwa kadri inavyofaa.
Mfano...
"Badilisha Biashara Yako kwa Masuluhisho ya Sayansi ya Data "
Umuhimu wa Sayansi ya Data nchini.
Faida za Kufanya Kazi na Mwanasayansi Maarufu wa Takwimu.
Mwongozo wa Kina wa Zana Bora za Sayansi ya Data.
Maudhui:
Umuhimu wa Sayansi ya Data nchini :
Katika ulimwengu wa kisasa wa biashara...
Kwanini tunaaminishwa kwamba mtaalamu na msomi wa uchumi NI mmoja tu Bungeni? Kama waziri wa Fedha ndiye mchumi pekee kwenye Bunge zima hoja za kiuchumi zitajadiliwa vipi?
Kwanini nchi ikubali kuwa na mchumi mmoja Tu na anayeamini yeye ndiye mtaalam wa uchumi na kwamba mtu mwingine yeyote...
Ule Mwaka 2022 umeniendea vibaya Sana. Sijui hata huu 2023 labda ninyi watu wa number mwaweza Sema lolote.
Nakumbuka nilikosana na mazingira ya kazi tangia 2021 mwishoni. Mwaka 2022 implementation ya usumbuf, KERO na maudhi viliniandama.
Ee mola ufanye 2023 uwe mwepesi kwangu.
Kwa jinsi palivyo sasa Tanganyika Packers Kawe na Ujenzi unaoendelea, Kulivyobanana na hata Hali ya Usalama kuwa si nzuri nikisikia kuna Tamasha lolote lile linataka Kufanyika naanza kuingiwa / kujawa na Hofu Kubwa kuwa huenda Madhara Makubwa ( Vifo au Watu Kujeruhiwa ) kukatokea na baadae...
Habari za jioni,
Wataalam wa nyoka na wazee wa pori, napenda kujua huyu ni Aina gani ya nyoka and kama ana sumu au hana.
And vipi tabia zake, anatembea mwenyewe au wawili wawili.
Biashara ambayo faida ni ndogo kuliko matumizi ni biashara yenye afya?
Mfano ukifanya mauzo, zaidi ya asilimia 60 hadi 70 inaenda kwenye matumizi kama maligafi n.k, na hakuna uwezekano wa kupunguza matumizi.
Karibuni mnielimishe naona natumia nguvu nyingi kwenye hii biashara, ni biashara ndogo tu.
Nimeona watu wanamiliki maduara, wengine wanamiliki crushers tu, wanasaga mawe ya watu, wengine wanamiliki plant au elusion plants.
Wengine wanamiliki detectors wanakodisha, wengine ni wanunuzi wa dhahabu end products, wengine wanarundika michanga (marudio) yenye PPM nzuri na kuuza.
Kwa mtaji...
Tunaambiwa weka 500 yako alafu washa intaneti kisha endelea kuperuzi.
Hiyo ndiyo kauli unayoweza kuitumia kutokana na wananchi wanaogoma kuhamia Burundi wakidai matumizi ya vifurushi wanavyonunua kwenye bando kutumika na kuisha hata kabla ya mtumiaji kumaliza ndani ya muda.
SWALI: Wale...
Tafti zinaonesha watu wengi wanaopigwa mkwara wa ghafla mbele ya kadamnasi au popote hujamba au kujikojolea!
Je kuna uhusiano gani kati ya hofu au vitisho na kujamba?
Huko twita mtifuano unaoendelea ni kuhusu tozo...tozo za miamala ya simu ,na tozo katika taasisi za kifedha. Huku mtaani mnyukano uliopo ni kupanda Kwa gharama za maisha,na Hali mbaya ya chakura nchini. Kule Kwa...
Utata umeibuka Kenya mara baada ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi! Hoja zilizoibuliwa mara baada ha kutangazwa matokeo ni asilimia zilizopatikana kwa kila mgombea kiasi ukijumlisha unapata 100.01% na sio 100%!
Kila mmoja anasema lake huko Kenya, wengine wanadai Error za kawaida wengine...
Wana Bodi tumesikia kuhusu ugonjwa wa Homa ya Mgunda hiki ni kipimo kingine kwa Wizara ya Afya, NIMR pamoja na Wataalam wa Afya nchini Kama ifuatavyo
1. Kuweza kutafuta ukweli wa ugonjwa huu pamoja na dalili zake
2. Kujua kutofautisha kati ya Siasa, Sayansi na Utaalamu wa kada ya Afya na...
Wakuu salaam, moja kwa moja kwenye mada,
Kuna watangazaji wa vipindi mubashara ambavyo kuna wataalamu wa afya, elimu, viongozi nk hualikwa kwa ajili ya kudadafua mambo fulani kwa kina.
Natambua watangazaji wanajukumu muhimu la kuongoza mijadala kwa kuuliza maswali au kupokea simu za watazamaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.