Habari zenu ndugu zangu. NATAFUTA FUNDI !
Nimepata bahati ya kusafiri Asia na nikakutana na ubunifu huu (picha hapo chini). Wenzetu bajaji zao sio za kusafirishia abiria tu, ila wana zi design kitofauti na kufanya nazo biashara zingine.
Mtu anachukua bajaji ya kawaida, anaondoa siti za nyuma, (inakua sehemu yakuweka bidhaa zako), anaweka paa juu, then paka rangi vizuri na mchezo umeisha. Kama unataka maurembo mengine ni pesa yako tu.
Nimekua very inspired na ningependa kujaribu kitu kama hiki home.
Swali: Je, kwetu Dar es Salaam kazi kama hii inawezekana? Kama mafundi wapo, karibuni tuongee.
Nimepata bahati ya kusafiri Asia na nikakutana na ubunifu huu (picha hapo chini). Wenzetu bajaji zao sio za kusafirishia abiria tu, ila wana zi design kitofauti na kufanya nazo biashara zingine.
Mtu anachukua bajaji ya kawaida, anaondoa siti za nyuma, (inakua sehemu yakuweka bidhaa zako), anaweka paa juu, then paka rangi vizuri na mchezo umeisha. Kama unataka maurembo mengine ni pesa yako tu.
Nimekua very inspired na ningependa kujaribu kitu kama hiki home.
Swali: Je, kwetu Dar es Salaam kazi kama hii inawezekana? Kama mafundi wapo, karibuni tuongee.