Wataalam wote wa Biblia na Theology, naombeni ushauri wenu

Uyu hapa

JF-Expert Member
Oct 14, 2021
348
401
Kwanza kabisa nawasalimu Sana.

Karibu Moja Kwa moja kwenye Uzi huu. Kwa Muda mrefu nimekuwa nikivutiwa na Elimu ya theolojia. Baada ya kuvuta subra, nimeona niingie rasmi kwenye theolojia.

Baada ya kutafakali Sana. Nimeona niwashirikishe Wana JF ambao teari mmepita huko kwenye vyuoni vya Elimu ya theolojia nchini Tanzania.

Niliitaji kufahamishwa mengi kuhusu Hali ya vyuo vyetu nchini vinavyotoa Elimu inayohusiana na theolojia.

Vyuo vingi nikicheki vinavyo tangaza vinatowa Elimu hio, hapa nchini. Usajili wa vyuo hivyo sivielewi unatia mashaka, kwangu, labda sielewi kiundani mambo yako vipi, ndio maana nikajaa jukwaani hapa.

Kwa vyuo vinavyotoa ngazi ya awali tu, bachelor degree n.k Nimecheki, TCU, kwenye listi ya TCU sivioni vyuo hivyo. Na nikicheki level ya kimataifa Bado sivioni.

Je, Hivi vyuo vya kwetu vya Elimu ya kiDini vinasajiliwa katika category ipi ya vyuo vinavyotoa bachelor degree na visionekane TCU, au huo ni upigaji tu?

Je, vyuo hivyo vya hapa nchini,vipo katika ubora wa kimataifa au ndio upigaji pesa tu?

Je,vyuo hivyo vinakidhi viwango vya kimataifa na vinatambulika kimataifa?

Naombeni, kujuzwa hali na ukweli wa vyuo vyetu vya Elimu ya theolojia, nchini Tanzania.


Naombeni ufafanuzi na ushauri kama mtu anaitaji Hio Elimu ya kiDini ya theolojia apite wapi na chuo kipi nchini ambacho kinatambulika kitaifa nchini na hata kimataifa pia n.k

Nawasilisha 🙏
 
Wasomi wa theology hawakusomea Bible bali doctrines za dini. Wataalam wa Bible ni miamba waliojitoa kufundishwa na ROHO Mtakatifu Kama akina Mwakasege. Lakini Kama umechagua kusoma theology nenda Tumaini University, Makumira- Arusha
Tafadhari Sana,naomba ufafanuzi zaidi,Ili nielewe zaidi, uliposema

"Wasomi wa theology hawakusomea Bible bali doctrines za dini. "
 
Kwanza kabisa nawasalimu Sana.

Karibu Moja Kwa moja kwenye Uzi huu. Kwa Muda mrefu nimekuwa nikivutiwa na Elimu ya theolojia. Baada ya kuvuta subra, nimeona niingie rasmi kwenye theolojia.

Baada ya kutafakali Sana. Nimeona niwashirikishe Wana JF ambao teari mmepita huko kwenye vyuoni vya Elimu ya theolojia nchini Tanzania.

Niliitaji kufahamishwa mengi kuhusu Hali ya vyuo vyetu nchini vinavyotoa Elimu inayohusiana na theolojia.

Vyuo vingi nikicheki vinavyo tangaza vinatowa Elimu hio, hapa nchini. Usajili wa vyuo hivyo sivielewi unatia mashaka, kwangu, labda sielewi kiundani mambo yako vipi, ndio maana nikajaa jukwaani hapa.

Kwa vyuo vinavyotoa ngazi ya awali tu, bachelor degree n.k Nimecheki, TCU, kwenye listi ya TCU sivioni vyuo hivyo. Na nikicheki level ya kimataifa Bado sivioni.

Je, Hivi vyuo vya kwetu vya Elimu ya kiDini vinasajiliwa katika category ipi ya vyuo vinavyotoa bachelor degree na visionekane TCU, au huo ni upigaji tu?

Je, vyuo hivyo vya hapa nchini,vipo katika ubora wa kimataifa au ndio upigaji pesa tu?

Je,vyuo hivyo vinakidhi viwango vya kimataifa na vinatambulika kimataifa?

Naombeni, kujuzwa hali na ukweli wa vyuo vyetu vya Elimu ya theolojia, nchini Tanzania.


Naombeni ufafanuzi na ushauri kama mtu anaitaji Hio Elimu ya kiDini ya theolojia apite wapi na chuo kipi nchini ambacho kinatambulika kitaifa nchini na hata kimataifa pia n.k

Nawasilisha
Kuna chuo kinaitwa St John kipo morogoro kama sio dodoma! Kitafute icho pamoja na cha mda alicho kushauri hapo juu.
 
Nashauri ungeenda kusoma Israel au vatican

Huko unapigwa msasa na utatoka umeiva vbya sana

vyuo vyao vinatambulika dunia nzima
 
Hata kama ni St Augustine university angalia kama kimesajiliwa. Theologia ni mambo tu ya kanisa, hivyo degree yako uitumie huko kanisani, nje ya kanisa labda uingie siasa kama Silaa.
 
Nashauri ungeenda kusoma Israel au vatican

Huko unapigwa msasa na utatoka umeiva vbya sana

vyuo vyao vinatambulika dunia nzima
Ah! Hakuna kitu kama hicho Israel, usikariri tu mkuu, kule ni ubabe,ubaguzi na ushoga tu, mtu mweusi kule ni sawa na mbwa tu. Na wanasema chakula cha mtoto haifai kumpa mbwa.
 
Hii mada nilio ileta kwenu,
Ni Matokeo ya swali nilikuwa najiuliza ,

Je,nitaweza KUFANYA KAZI na taasisi mbalimbali duniani na hata nchini bila kupitia elimu ya theolojia na nikapokelewa,

Hilo Ndio haswa nilitaka kujua,
Je,nitakubalika kilaisi tu Kwa kujua Biblia au mpaka ni kasomee

Mnanishaurije ,

Lengo sio kujua Biblia maana ninae roho
 
Hapana ,sio kazi lengo ni kutumikia ndani ya taasisi hizo nikiwa nafanya kazi Zangu zengine.

Lengo ni kuwa miongoni mwa washiriki wanaousika
Kushiriki kumtumikia Mungu Kwa pamoja ndani ya umoja,


Lengo lako ni kupata kazi?au ni nini
 
Kwanza kabisa nawasalimu Sana.

Karibu Moja Kwa moja kwenye Uzi huu. Kwa Muda mrefu nimekuwa nikivutiwa na Elimu ya theolojia. Baada ya kuvuta subra, nimeona niingie rasmi kwenye theolojia.

Baada ya kutafakali Sana. Nimeona niwashirikishe Wana JF ambao teari mmepita huko kwenye vyuoni vya Elimu ya theolojia nchini Tanzania.

Niliitaji kufahamishwa mengi kuhusu Hali ya vyuo vyetu nchini vinavyotoa Elimu inayohusiana na theolojia.

Vyuo vingi nikicheki vinavyo tangaza vinatowa Elimu hio, hapa nchini. Usajili wa vyuo hivyo sivielewi unatia mashaka, kwangu, labda sielewi kiundani mambo yako vipi, ndio maana nikajaa jukwaani hapa.

Kwa vyuo vinavyotoa ngazi ya awali tu, bachelor degree n.k Nimecheki, TCU, kwenye listi ya TCU sivioni vyuo hivyo. Na nikicheki level ya kimataifa Bado sivioni.

Je, Hivi vyuo vya kwetu vya Elimu ya kiDini vinasajiliwa katika category ipi ya vyuo vinavyotoa bachelor degree na visionekane TCU, au huo ni upigaji tu?

Je, vyuo hivyo vya hapa nchini,vipo katika ubora wa kimataifa au ndio upigaji pesa tu?

Je,vyuo hivyo vinakidhi viwango vya kimataifa na vinatambulika kimataifa?

Naombeni, kujuzwa hali na ukweli wa vyuo vyetu vya Elimu ya theolojia, nchini Tanzania.


Naombeni ufafanuzi na ushauri kama mtu anaitaji Hio Elimu ya kiDini ya theolojia apite wapi na chuo kipi nchini ambacho kinatambulika kitaifa nchini na hata kimataifa pia n.k

Nawasilisha 🙏

Chuo kizuri cha theology: Karen Nairobi
 
Hivi Ili kujua vyuo vya Tz ,Cha kidini kinatambulika kitaifa na kimataifa ,mnaangaliaje,

Na vinasajiliwa wapi,hapa tz,

Asante,pia Kwa mchango,
Hicho chuo ntakifuatilia,

Chuo kizuri cha theology: Karen Nairobi
 
Back
Top Bottom