Hivi jamaa alipotelea wapi?

Hivi jamaa alipotelea wapi?

Mbabani

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2022
Posts
2,502
Reaction score
7,161
Kuna miezi fulani alitokea jamaa Tiktok kwa jina la HABIL and KABIL, aliteka masikio ya wananchi wengi kwa stori zake za kuhusu maandamano, lakini ghafla bin vuu jamaa hasikiki tena.

Ilikuaje ama ilikua project ya watu wazito? The same kwa CAPTAIN TESHA alisema tu nitarudi ila hadi leo holaa
 
Hawa nadhani sio project ya wazito....
Dola kupitia intelligence yake iliwanyamazisha......

The same applies to Humphrey..... sema huyu ilijulikana tu na wananchi ....

Yana mwisho.... hawa watesi wanadhani wataishi milele ....
Siku ikifika utang'ata shuka fresh tu
Hii nchi kuna michezo sana
 
Hii nchi utapeli ni mwingi sana, ilitokea tena CCM wakawa wanashangilia MBOWE ashinde uchaguzi CHADEMA.

Tanzania hatuna viongozi wa upinzani wa kweli wanaozidi 10
 
Habili ulikuwa mchongo ule. Yule mtu wa kupandikiza tu, alikuwa anatumia setting maalum kubadili sauti. Kuparalaiz serikali 😆
Hawa nadhani sio project ya wazito....
Dola kupitia intelligence yake iliwanyamazisha......

The same applies to Humphrey..... sema huyu ilijulikana tu na wananchi ....

Yana mwisho.... hawa watesi wanadhani wataishi milele ....
Siku ikifika utang'ata shuka fresh tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom