Ni jambo la kheri kuwa sasa hatma ya maisha yetu iko wazi zaidi ndani ya gonjwa hili hatari.
Tufahamishane vilipo vituo vya Chanjo hii pendwa kutoka kwake beberu mwingi wa huruma kuliko wenzetu wazaliwa nasi.
Mkoa kwa mkoa, wilaya kwa wilaya, tarafa kwa tarafa, kata kwa kata au hata kijiji kwa...