The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,333
- 4,152
Habarini ndugu zangu, hongereni na poleni kwa majukumu yetu ya kila siku.
Bila kupoteza muda, katika maisha kuna kipindi tunajikuta tunapendwa na wenzetu wa jinsia tofauti, hivyo wanatumia approaches mbalimbali kuweza kutupata. Lakini, yote ya yote tunaishia kuwachomolea mbali kwa sababu ambazo zinaweza kuwa ni kuwa kwenye mahusiano kwa wakati huo, kutokuwa tayari kuwa kwenye mahusiano, KUTOKUKUBALIWA tu jinsi ulivyo etc.
Je, yule mtu aliyekuwa anakusumbua kwa wakati huo anakupenda na anahitaji uwe mpenzi wake yukowapi/ alienda wapi, je bado anafanya attempts hadi sasa au ndo kila lenye marefu na mapana halikosi ncha.
Kwa upande wangu,
Wa kwanza,
Miezi kadhaa nilitokea kupendwa na mdada ambaye tulikuwa tukisoma chuo kimoja, mie nlimchukulia kama rafiki lakini ye kwangu aliniona ni zaidi ya rafiki, kwakuwa sikutaka kumuumiza ilibidi nimuambie nina mke na mtoto hivyo acheki ustaarabu sehemu nyingine.
Mwishowe, kutokana na kumkataa kinamna hiyo akafuta namba yangu since then hakuna chocho yeyote ya chuoni ambayo nlikuja kumuona, since mwezi wa tano hadi namaliza muhula wa pili sikuwahi ing`aza sura yake popote wakati ilikuwa ni mara nyingi tunakutana cafeteria na madarasani.
Wa pili,
Huyu alikuwa ni muuza chispi mtaani kwetu, alikuwa akija kuomba chenji dukani kwetu, namba yangu nliichukua kimasihara tu tukawa tukiwasiliana siku hadi siku, mwishowe akaanza leta nyeusi ,tukashindwana anakanipiga chini mazima, tangu mwaka jana mwezi wa kumi na moja sijawahi kumuona na pale kijiweni kwake hayupo na sms zangu huwa hazifiki.
Wa tatu,
Huyu alikuwa anaitwa Mary, mdada mpole black beauty wa Mbeya, tulikutana advance minikiwa darasa moja mbele yake. Tulifamiana kupitia UKWATA nikiwa mdau mzuri wa maombi na tukaja soma wote tena Central Zone Chuo, alikuja kuanza kuleta habari za kwenda kutambulishana kwetu na kugandana gandana kama kupe. Akaja nipiga chini 2019 February majira ya saa 6 na madakika usiku. Hadi leo sijui yukowapi na sijawahi kumuona tena.
JE, uko tayari kumpa chance kama akija na kutaka aendelee alipoishia????
NB:
Hizo ni baadhi tu nami kuna ambao niliwataka na kufanya kila mbinu ila sijawahi kuwa nao.
Nimetumia lugha isio rasmi kwa wale walimu wa viswahili mtaniwia radhi.
TUPIGE KAZI, TUTAFUTE PESA!!!!!!
Bila kupoteza muda, katika maisha kuna kipindi tunajikuta tunapendwa na wenzetu wa jinsia tofauti, hivyo wanatumia approaches mbalimbali kuweza kutupata. Lakini, yote ya yote tunaishia kuwachomolea mbali kwa sababu ambazo zinaweza kuwa ni kuwa kwenye mahusiano kwa wakati huo, kutokuwa tayari kuwa kwenye mahusiano, KUTOKUKUBALIWA tu jinsi ulivyo etc.
Je, yule mtu aliyekuwa anakusumbua kwa wakati huo anakupenda na anahitaji uwe mpenzi wake yukowapi/ alienda wapi, je bado anafanya attempts hadi sasa au ndo kila lenye marefu na mapana halikosi ncha.
Kwa upande wangu,
Wa kwanza,
Miezi kadhaa nilitokea kupendwa na mdada ambaye tulikuwa tukisoma chuo kimoja, mie nlimchukulia kama rafiki lakini ye kwangu aliniona ni zaidi ya rafiki, kwakuwa sikutaka kumuumiza ilibidi nimuambie nina mke na mtoto hivyo acheki ustaarabu sehemu nyingine.
Mwishowe, kutokana na kumkataa kinamna hiyo akafuta namba yangu since then hakuna chocho yeyote ya chuoni ambayo nlikuja kumuona, since mwezi wa tano hadi namaliza muhula wa pili sikuwahi ing`aza sura yake popote wakati ilikuwa ni mara nyingi tunakutana cafeteria na madarasani.
Wa pili,
Huyu alikuwa ni muuza chispi mtaani kwetu, alikuwa akija kuomba chenji dukani kwetu, namba yangu nliichukua kimasihara tu tukawa tukiwasiliana siku hadi siku, mwishowe akaanza leta nyeusi ,tukashindwana anakanipiga chini mazima, tangu mwaka jana mwezi wa kumi na moja sijawahi kumuona na pale kijiweni kwake hayupo na sms zangu huwa hazifiki.
Wa tatu,
Huyu alikuwa anaitwa Mary, mdada mpole black beauty wa Mbeya, tulikutana advance minikiwa darasa moja mbele yake. Tulifamiana kupitia UKWATA nikiwa mdau mzuri wa maombi na tukaja soma wote tena Central Zone Chuo, alikuja kuanza kuleta habari za kwenda kutambulishana kwetu na kugandana gandana kama kupe. Akaja nipiga chini 2019 February majira ya saa 6 na madakika usiku. Hadi leo sijui yukowapi na sijawahi kumuona tena.
JE, uko tayari kumpa chance kama akija na kutaka aendelee alipoishia????
NB:
Hizo ni baadhi tu nami kuna ambao niliwataka na kufanya kila mbinu ila sijawahi kuwa nao.
Nimetumia lugha isio rasmi kwa wale walimu wa viswahili mtaniwia radhi.
TUPIGE KAZI, TUTAFUTE PESA!!!!!!