Maisha ni kujipa furaha pale unapopata nafasi, maisha hayahitaji usiriazi sanaa, kama vile unataka kuvumbua sayari yako.
Yote yanapita, muhimu kuipa furaha nafsi kwa kuwa wote tunaishi mara moja.
Nipo tayari kwa mtoko wa wikiendi.
Wananzengo, wikiendi hii tuende wapi?