Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,834
Wanaume wanalia, nyumba chungu haikaliki, hawakupigi (Ni wachache ndio hupiga wanaume) lakini cha mtema kuni hukiona.
Wananyumwa unyumba, wananuniwa, wanasimangwa, wanafyonzwa, wanajibiwa majibu ya shombo na kero nyingi mno kutoka kwa wanawake.
Wanaume hawana pa kusemea, wamejikuta wakitafuta furaha kwenye pombe na nyumba ndogo, ambako huko hupoteza kiasi kikubwa cha fedha.
Wanawake wanyenyekevu wamekuwa bidhaa adimu sana.
Wananyumwa unyumba, wananuniwa, wanasimangwa, wanafyonzwa, wanajibiwa majibu ya shombo na kero nyingi mno kutoka kwa wanawake.
Wanaume hawana pa kusemea, wamejikuta wakitafuta furaha kwenye pombe na nyumba ndogo, ambako huko hupoteza kiasi kikubwa cha fedha.
Wanawake wanyenyekevu wamekuwa bidhaa adimu sana.