Kwa mfano Yona yule aliyemezwa na Samaki na kukaa tumboni mwake siku tatu angekuwa mumeo ungemuamini??
Kwamba kapotea nyumbani kwa siku tatu simu zinaita tu na hazipokelewi,
Sms za kawaida zinaonekana kuwa delivered,
Zile za watsapp nazo kale katick ka blue kapo kwamba sms zimesomwa
Lakini...