Nilichokiona leo Dodoma hakina afya kwa mustakabali mzima wa ustawi Taifa letu, tujirekebishe kwa maslahi mapana ya Taifa

Mathanzua

JF-Expert Member
Jan 4, 2017
15,842
20,687
Wote tunafahamu msemo usemao umoja ni nguvu,na utengano ni udhaifu. Hakuna shaka yeyote kwamba penye mafarakano hakuna mafanikio. Bwana Yesu alipoambiwa kwamba anatoa pepo kwa kumtumia Belzebuli, alisema, "nyumba ikifitinika haiwezi kusimama!"

Leo kule Dodoma nimeona nyumba ya mama Tanzania ikifitinika, nimeona mafarakano ya wazi kati ya Wanawake na Wanaume, mafarakano ambayo si ya afya kwa taifa letu. Nilitegemea kwamba ujio wa Rais mwanamke, Mama Samia Suluhu, ungeleta umoja, badala yake naona mbegu za minyukano zikipandwa. Ni kama wenzetu wanawake walikuwa wanasubiri nafasi hii, ili waendeleze minyukano zaidi, ambayo kiukweli tayari ilikuwepo.

Sijui kama it's mere coincidence kwamba katika wagombea sita wa kujaza nafasi za NEC, waliochaguliwa kujaza nafasi hiyo, wote ni wanawake! Mimi naamini sio coincidence, bali ndio minyukano kati ya Wanaume na Wanawake imeanza. Maneno aliyotamka Mama Kabaka Mwenyekiti wa UWT, wakati anatoa hotuba ya kumtunuku Rais zawadi,yanathibitisha hili.Alisema na hapa nanukuu,"Ujio wako umeondoa kabisa mfumo dume," mwisho wa kunukuu.Itoshe tu kusema kwamba maneno haya ni mazito kwa mtu anpayejua ajenda iliyopo ya kusambaratisha familia,na hayapaswi kabisa kupuuzwa.

Upo ushahidi wa kutosha, kwamba minyukano hii inahamasishwa na kupewa financial support and backing na nguvu zilizo-jificha za nchi za magharibi through NGOs, vyombo vya habari, mitandao, internet na hata wakati mwingine makampuni ya simu, ili kuvunja familia na ustawi wa jamii yetu kwa maslahi mapana ya nchi hizo au Mfumo Mpya wa Dunia au NWO(New World Order).Kama hatutakuwa makini kama taifa,baada ya miaka kumi ijayo, familia zetu na jamii vitakuwa vime-sambaratika kabisa.

Mimi sina shaka yeyote kwamba kuchaguliwa wanawake tupu kwenye kinyang'anyiro hicho kumewezekana kwa kuwa wajumbe wengi waliohudhuria ni Wanawake. Lakini je, kuchaguana kijinsia kuna tija kwa taifa letu? Ukweli ni kwamba hapana, kwa kuwa hii ita-compromize kwa kiwango kikubwa weledi na hii ni hatari kwa ustawi wa Taifa letu.

Lipo wazo la kugawana madaraka 50/50. Kwa nini kuwe na target ndilo jambo linalokera. Linakera kwa kuwa likely-hood ya ku-compromize weledi ili kua-chieve target is obvious. Hili nimeliona sehemu nyingi sana tayari. Infact hata leo kule Dodoma jambo hili limejionyesha wazi. Who knows, labda katika wale wagombea wanaume walio-achwa, some are more competent than the ladies elected.

Sina tatizo na wanawake kupewa responsible positions, naomba nieleweke, nina tatizo na ku-compromize professionalism at the expence of gender equality. Our main target should be professionalism, not gender equality.

Nafurahi kwamba wapo wanawake wanao-jitambua, ambao hawataki kupewa nafasi yeyote as a reward, wanapenda kupewa nafasi kwa kuwa wanastahili. Ningependa huu ndio uwe msimamo wa wanawake wote. Tuache professionalism iwe ndio kigezo pekee cha mtu kupata nafasi yeyote anywhere. Minyukano hii inayo-endelea sasa kwa sababu ya kuganga njaa, sio healthy sana, tutangulize mbele kwanza maslahi ya Taifa letu.


Ili uweze kupata.picha kamili ya kile kilichotokea Dodoma leo na kwa nini kimetokea,tafadhali fuata link ifuatayo.Hii ni vita kamili dhidi ya familia,and the sooner we realize that and do something about it the better.




Follow also the following link to see how the family is being attacked in Kenya.

 
WABABA TUSALIMIANE KWA JINA LA JMT. Kazi ina Endelea. Duh? sasa hii inaitwa watawanye ili uwatawale. Sasa hawa wamama wameamua kututawanya wa baba ili tutawaliwe vizuri. Sasa tutegemee CDF..., IGP.., JAJI MKUU.. PM, Ma RC, MaDc, n.k wasaidizi wa vitengo kwa uchache watakuwa wababa kwa mbaaaaali.
 
Mheshimiwa, umepigwa chini au! Hiyo minyukano ndani ya CCM inatuhusu Watanzania wote, hata sisi tusio na vyama, au ni nyinyi wenyewe tu makada wa CCM?

Pole sana kama umeangukia pua.
Matatizo katika chama tawala katika nchi yenye upinzani dhaifu ni matatizo ya uongozi wa taifa.

Sijui usahihi wa hoja ya mleta mada, lakini nakwambia hutakiwi kudharau matatizo ya uongozi katika CCM, kwa kusema wewe si mwana CCM.

Kwa sababu, sera za CCM ndizo zinaongoza taifa. Wana CCM ndiyo viongozi wa taifa.

Kama CCM wezi, unaweza kusema hilo si tatizo lako kwa kuwa wewe si mwana CCM, wakati wao ndio wanapanga bajeti na kupitisha mikataba?
 
Baada ya matokeo nilimwambia Jamaa yangu tusipokuwa makini tutapotea kama taifa..... Na mianaume inashangiliaa hadi inapanda juu ya viti....
Uko sahihi 100% mkuu.Nilichokiona Dodoma leo ni dalili mbaya kwa taifa,tukikichekea tutakula mabua.
 
Mheshimiwa, umepigwa chini au! Hiyo minyukano ndani ya CCM inatuhusu Watanzania wote, hata sisi tusio na vyama, au ni nyinyi wenyewe tu makada wa CCM?

Pole sana kama umeangukia pua.
Wala sikuwa mgombea mkuu,nilikuwa nyumbani nafuatilia mkutano.

Ila kilichotokea Dodoma ni kitu ambacho kila anaye-itakia mema nchi yetu,anapaswa kukilaani kwa nguvu zake zote kwa kuwa sio kizuri kwa mustakabali wa Taifa letu.
 
Baada ya matokeo nilimwambia Jamaa yangu tusipokuwa makini tutapotea kama taifa..... Na mianaume inashangiliaa hadi inapanda juu ya viti....
Hao waliokuwa wanashangilia sio wanaume ni mashoga tu. Mwanaume unashangiliaje maswala ya wanawake?! Hao ndio hata mkewe anamwambia ninasafiri kikazi na boss kwenda mkoani, tutakaa miezi mitatu, anacheka cheka tu.... Manina kabisa.
 
WABABA TUSALIMIANE KWA JINA LA JMT....Kazi ina Endelea. Duh? sasa hii inaitwa watawanye ili uwatawale. Sasa hawa wamama wameamua kututawanya wa baba ili tutawaliwe vizuri. Sasa tutegemee CDF..., IGP.., JAJI MKUU.. PM, Ma RC, MaDc, n.k wasaidizi wa vitengo kwa uchache watakuwa wababa kwa mbaaaaali.
Mkuu nikuambie nini,Mama Samia kusimikwa kuwa Rais amewasha moto,kama kuna mwanaume ambaye halioni hili,ni kipofu.Wanaume tujiandae yajayo yanafurahisha.

And then nashangaa,kuna mijianaume sijui mijianaume gani,inapigia makofi hatari!Ni ajabu sana.
 
Kwani wanawake hawafai kuongoza? Kama huridhiki kakate rufaa.Kwanza tulichelewa Sana kuwa na viongozi wanawake.Wanawake wengi ni waadilifu kazini
Peleka ufala wako huko. Mwanamke anakuongoza wewe kama nani wewe unaongoza nini sasa?!

Watu wengine mnapewa Mip*mb* ya bure tu hamna hata guts za kiume.....
 
Wote tunafahamu msemo usemao umoja ni nguvu,na utengano ni udhaifu. Hakuna shaka yeyote kwamba penye mafarakano hakuna mafanikio. Bwana Yesu alipoambiwa kwamba anatoa pepo kwa kumtumia Belzebuli, alisema, "nyumba ikifitinika haiwezi kusimama!"

Leo kule Dodoma nimeona nyumba ya mama Tanzania ikifitinika, nimeona mafarakano ya wazi kati ya Wanawake na Wanaume, mafarakano ambayo si ya afya kwa taifa letu. Nilitegemea kwamba ujio wa Rais mwanamke, Mama Samia Suluhu, ungeleta umoja, badala yake naona mbegu za minyukano zikipandwa. Ni kama wenzetu wanawake walikuwa wanasubiri nafasi hii, ili waendeleze minyukano zaidi, ambayo kiukweli tayari ilikuwepo.

Sijui kama it's mere coincidence kwamba katika wagombea sita wa kujaza nafasi za NEC, waliochaguliwa kujaza nafasi hiyo, wote ni wanawake! Mimi naamini sio coincidence, bali ndio minyukano kati ya Wanaume na Wanawake imeanza. Maneno aliyotamka Mama Kabaka Mwenyekiti wa UWT, wakati anatoa hotuba ya kumtunuku Rais zawadi,yanathibitisha hili.

Upo ushahidi wa kutosha,kwamba minyukano hii inahamasishwa na kupewa financial support and backing na nguvu zilizo-jificha za nchi za magharibi through NGOs, vyombo vya habari, mitandao, internet na hata wakati mwingine makampuni ya simu, ili kuvunja familia na ustawi wa jamii yetu kwa maslahi mapana ya nchi hizo.Na kama hatutakuwa makini kama taifa,baada ya miaka kumi ijayo, familia zetu na jamii vitakuwa vime-sambaratika kabisa.

Mimi sina shaka yeyote kwamba kuchaguliwa wanawake tupu kwenye kinyang'anyiro hicho kumewezekana kwa kuwa wajumbe wengi waliohudhuria ni Wanawake. Lakini je, kuchaguana kijinsia kuna tija kwa taifa letu? Ukweli ni kwamba hapana, kwa kuwa hii ita-compromize kwa kiwango kikubwa weledi na hii ni hatari kwa wa ustawi wa Taifa letu.

Lipo wazo la kugawana madaraka 50/50. Kwa nini kuwe na target ndilo jambo linalokera. Linakera kwa kuwa likely-hood ya ku-compromize weledi ili kua-chieve target is obvious. Hili nimeliona sehemu nyingi sana. Infact hata leo kule Dodoma jambo hili limejionyesha wazi. Who knows, labda katika wale wagombea wanaume walio-achwa, some are more competent than the ladies elected.

Sina tatizo na wanawake kupewa responsible positions, naomba nieleweke, nina tatizo na ku-compromize professionalism at the expence of gender equality. Our main target should be professionalism, not gender equality.

Nafurahi kwamba wapo wanawake wanao-jitambua, ambao hawataki kupewa nafasi yeyote as a reward, wanapenda kupewa nafasi kwa kuwa wanastahili. Ningependa huu ndio uwe msimamo wa wanawake wote. Tuache professionalism iwe ndio kigezo pekee cha mtu kupata nafasi yeyote anywhere. Minyukano hii inayo-endelea sasa kwa sababu ya kuganga njaa, sio healthy sana, tutangulize mbele kwanza maslahi ya Taifa letu.
Wangechaguliwa wote wanaume ungeandika haya uliyoyaandika?

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
'
IMG_20210430_131741.jpg
 
Back
Top Bottom