mediaman
JF-Expert Member
- Mar 20, 2011
- 451
- 687
Naomba kupata sababu kama kumi kwanini Wanawake/wasichana wengi wa kiafrika wanapenda kuvaa mawigi siku hizi?
Sababu moja tu kubwa niliyoisikia kutoka kwa wanawake ni kwamba wanadai wakivaa mawigi ndio wanapendeza. Mawigi ninayoyaona mengi ni ya nywele zinazofanana na nywele au mitindo ya nywele za wazungu. Kama sababu yao kubwa ndiyo hiyo ina maana wazungu tu ndio wanaopendeza?
Elimu ni bahari, naombeni majibu ya kina, Wakuu.
Sababu moja tu kubwa niliyoisikia kutoka kwa wanawake ni kwamba wanadai wakivaa mawigi ndio wanapendeza. Mawigi ninayoyaona mengi ni ya nywele zinazofanana na nywele au mitindo ya nywele za wazungu. Kama sababu yao kubwa ndiyo hiyo ina maana wazungu tu ndio wanaopendeza?
Elimu ni bahari, naombeni majibu ya kina, Wakuu.