Polepole azungumza na waandishi wa habari akiwa na ulinzi wa wasaidizi wake wote wanawake

Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM ndugu Polepole anazungumza na waandishi wa habari muda huu akiwa ameambatana na wasaidizi wake ambao wote ni wanawake.

Taarifa kamili inakuja.
Bila picha mkuu?

Kama vipi tupia ka-video
 
Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM ndugu Polepole anazungumza na waandishi wa habari muda huu akiwa ameambatana na wasaidizi wake ambao wote ni wanawake.

Taarifa kamili inakuja.

Alhamisi 29 Aprili 2021
Dodoma Tanzania


KATIBU Mwenezi wa chama cha Mapinduzi (CCM) leo Aprili 29, amezungumza na wanahabari kuelekea mkutano mkuu wa CCM utakaofanyika kesho Aprili 30, jijini Dodoma..
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom