johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,976
Tunakumbushana tu kama kuna kitu kinafanywa siri kati ya wabunge 19 wasiojulikana chama chao, basi siri hiyo iko karibu kutoka.
Ikumbukwe kati ya wabunge hao 19 siyo wote wamekata rufaa Baraza kuu la CHADEMA.
Unajua ni kwanini?
Viongozi wa CCM wengi siyo wajanja, siasa za CHADEMA ni za kimjini sana kuna mtu ataachiwa manyoya siku si nyingi.
Kazi Iendelee!
Ikumbukwe kati ya wabunge hao 19 siyo wote wamekata rufaa Baraza kuu la CHADEMA.
Unajua ni kwanini?
Viongozi wa CCM wengi siyo wajanja, siasa za CHADEMA ni za kimjini sana kuna mtu ataachiwa manyoya siku si nyingi.
Kazi Iendelee!