wanawake

Maendeleo Ya Wanawake Organisation (MYWO) is a women's NGO that deals with issues to do with women's rights and gender equity in Kenya. It was founded by Jemimah Gecaga in 1952 and has approximately 600,000 groups contributing to a total membership of about two million women. It is currently chaired by Rukia Subow and has various agendas in its mission statement, including maternal, child health and family planning and training women in leadership and development.Historically it was promoted by the British during their colonial rule over Kenya and helped provide services only for those against the Mau Mau anti-colonial uprising.Ruth Habwe served as secretary general of the organization from 1968 until 1971.

View More On Wikipedia.org
  1. King Savi

    Duuh, wanawake visirani sana

    Wakuu heshima kwenu, Mwenyezi Mungu awatie nguvu katika yote mnayopitia zaidi neema yake ikawe juu yenu. Jana yamenikuta kijana mwenzenu, Shemeji yenu mtarajiwa anafanya kazi ofisi moja na bamkwe wake ila hawajatambulishwa tuu.... Sasa katika mishe za maisha huyu mtarajiwa alifanya matumizi...
  2. Robert Heriel Mtibeli

    Sijawahi kuwadhalilisha Wanawake; isipokuwa wapumbavu hujishtukia

    Habari Wakuu! Kuna baadhi ya watu wameingiwa na uchungu Kwa baadhi ya maandiko ninayoandika kuhusu Wanawake wetu. Wapo wamenipigia siku kuomba ufafanuzi, wapo wameni-dm na Wale wenye uvumilivu mdogo waliishia kutukana tukana Kama wenyewe walivyo Kama matusi Yao. Taikon hajawahi kumchukia...
  3. B

    Wadau yamenikuta, hawa Wanawake hawa…

    Habari ya usiku huu. Kijana mwenzenu yamenikuta aisee. Ngoja niingie kwenye mada moja kwa moja. Kuna binti nilikuwa nae na nilipanga kumuoa,lakini masiku ya hivi karibuni nimeona amebadilika hayuko kama zamani (hapa najua wakubwa wenzangu mmenielewa kwamba kitu kidogo anakasirika na kukuza...
  4. Mtamba wa Panya

    Je, wanawake wanapenda show za kibabe au kipolepole?

    Hi, Naomba kujua wanawake wanapenda nini wawapo kitandani? 1. Rough 2. Gentle Pia, wanapenda izamishwe yote au juu juu? Ahsante Edit: Naona uzi umevamiwa na wajinga... wazee wa kuComment kila post inayowekwa Jf.
  5. masara

    Wanawake kuweni na ushirikiano kwenye tendo la ndoa

    Heri ya mwaka mpya. Niende kwenye mada moja kwa moja, kwa dada zangu ingawa sio wote ila walio wengi. kwa wale wanaume maabaharia wanaelewa namaanisha nini ila kwa wale waaminifu kwenye mahusiano yao sio rahisi kuelewa. Unakuta uko na mwanamke faragha kwa ajili ya shughuli moja tu ya kuvunja...
  6. M

    Jumuiya Wanawake Vyama vya Siasa: Ndugai aombe radhi kwa kauli yake kuhusu mikopo

    NDUGAI AOMBE RADHI Shirika la Ulingo Tanzania linaloundwa na Jumuiya za Wanawake wa vyama siasa hapa nchini (TWCP) kupitia Mratibu wake Dkt. Ave Maria Semakafu limemtaka Spika wa Bunge na Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai kuomba radhi kutokana na maneno ambayo ameyaongea hivi karibuni...
  7. Bondpost

    Ukatili wa kijinsia kwa wanawake dhidi ya wanaume

    Wanabodi nimekutana na hii habari kutoka ITV kiukweli imenifanya nimfikirie sana namna ambayo jamii inazodi kuharibika. Wanawake wamekuwa wakilaumu wanaume kuwa wanawanyanyasa, sasa huu UKATILI ni wa mwanamke dhidi ya mwanaume. Kuna mwanamke amemwagia maji ya moto mumewe ambae ni mwalimu huko...
  8. beth

    Afghanistan: Wanawake wapigwa marufuku kusafiri mbali bila ndugu wa kiume

    Taliban imesema Wanawake wanaotaka kusafiri umbali mrefu (zaidi ya Kilomita 72) wasipewe usafiri barabarani isipokuwa wakiwa wamesindikizwa na ndugu wa kiume wa karibu Mwongozo huo wa Serikali ambao umekosolewa na Wanaharakati pia umetoa wito kwa wamiliki wa magari kukataa kuwapandisha Wanawake...
  9. M

    Isabel Maganga ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Equity Bank Tanzania; afuata nyayo za Ruth Zaipuna wa NMB

    Equity Bank Tanzania names new boss Ms Isabel Maganga Equity Tanzania's new boss Equity Bank Tanzania has announced the appointment of Ms Isabel Maganga (pictured) as the new managing director in an acting capacity effective December 23, 2021. She is a career banker with over fifteen years...
  10. nyboma

    Wanawake mjitahidi sana pale mnapotofoutiana na wanaume zenu huko kwenye ndoa msikutane na sisi wanaume

    Hii kitu ni mbaya sana kwa wanawake, kwa ufupi nimegundua ndoa nyingi zina mifarakano mikubwa na wenza wengi wanaishi ili siku zisonge tu. Hisia na kujaliana kwa wenza wengi hakupo tena, wanaume wengi pia hawajali kuhusu kujua ratiba za wake zao zipo vipi. Mwisho kabisa niwaase wana ndoa kama...
  11. Translator and 97 others

    Jinsi ya kuwaelewa wanaume au wanawake kwenye mahusiano

    Kumuelewa mwanamke ingia kwenye mahusiano na wanawake wengi kadri uwezavyo, hii itakusaidia kukutana na maumivu ya kila aina yanayosababishwa na wanawake kwenye mahusiano na hivyo kuwa sugu na kuona ni ya kawaida. Wanawake hawataacha kuwaumiza wanaume njia pekee ya kuwaelewa ni kuhimili...
  12. The Sunk Cost Fallacy

    Wanawake Chukueni hili kuwahusu wanaume wa Kichaga mtakuja kunishukuru.

    Wanawake nawafikishia ujumbe na mjumbe hauwawi,msijesema hamkuambiwa.
  13. dracular

    Nilichoshudia leo kwa wanawake wanaojiuza

    Marry Christmas to everyone in here.. Jamani mwenzenu nilikuwa siamini kama biashara ya ngono huwa hipo.. Karibu na hapa napoishi kuna sehemu maarufu sana kwa biashara hiyo ya ngono basi nikajisemea lazima leo nikanunue mmoja wapo ili nipate experience kidogo kuhusu biashara hiyo. Nikajongea...
  14. kavulata

    Wanawake wana haraka kuliko miaka 60 ya Uhuru

    Unapouliza mapungufu kwenye masuala ya demokrasia yetu nchini ni rahisi sana kusikia kuwa demokrasia yetu bado ni changa sana ukilinganisha Na nchi za marekani Na ulaya, hivyo bado tunajifunza polepole ili tufike kwa wenzetu wenye zaidi ya miaka 200 na kuombwa tusijilinganishe nao. Uchanga...
  15. Dam55

    Hizi ndo akili za baadhi ya wanawake

    HUYU DADA ANAOMBA USHAURI Jamani naombeni ushauri wenu, sijui nifanye nini. Mimi ni binti wa miaka 23, nipo chuo mwaka wa tatu. Naomba ushauri wako, mwaka jana nilikua na mpenzi wangu, ni mwanafunzi mwenzangu, lakini tukagombana tukaachana na yeye akamchukua rafiki yangu. Nikiwa katika maumivu...
  16. J

    Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo apongeza Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT)

    CHONGOLO AWAPONGEZA UMOJA WA WANAWAKE TANZANIA (UWT) Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Daniel Chongolo amewapogeza Jumuiya ya umoja wa wanawake Tanzania (UWT) kwa kazi kubwa wanayoendelea kuifanya katika maeneo mbalimbali nchini ikiwa ni pamoja na kuandikisha wanachama wapya...
  17. Kipenzi Changu

    "Ukifa utaniacha nateseka na watoto" kauli ya ajabu kwa wanawake

    Utasikia "ukifa utaniacha nateseka na watoto" Aaaaghhh hii kauli ya kiwaki sana. Huu ni ushahidi mwingine wanawake ni watu wa ajabu sana. Yaani ananiwazia kufa tu. Hivi serikali haiwezi kupiga marufuku hii kauli? Huku ni kunitishia kifo
  18. Doctor MD

    Litambue tatizo la nywele kukatika au kunyonyoka kwa wanawake

    Kwanza awali ya yote napenda uelewe kwamba Kichwa Cha binadamu kinaunda na vishikizi vipatavyo 100,000 Hadi 300,000 ambapo kuptia vishikizi hivi nywele huota Nywele huota kutokana na sababu zipatazo mbili kuu ambazo ni pamoja na homoni na virutubisho ikiwemo vifamin mbalimbali na madini ya...
  19. LIKUD

    Wanawake wasio kuwa Na makovu/ weusi Kati Kati ya mapaja hatarini kutoweka

    Ndio maana wanaume wengine kabla haja lala Na mwanamke mpya huwa wanaomba watumiwe Kwanza picha za utupu at least waone muonekano WA ndani. Siku hizi imekuwa NADRA Sana kukutana Na mwanamke ambae Hana makovu makovu au maukurutu katikati ya mapaja. Tatizo Ni Nini? HII ishu huwa inanikata sana...
  20. Mario Kempes

    Kwanini wanawake wengi wa siku hizi wana makalio makubwa?

    Yaani leo nipo kkoo katika wanawake 10 unaopishana nao basi 7 wamefungasha na wana mizigo kweli. Nini siri ya mafanikio? English figure zinaanza kupotea
Back
Top Bottom