Inasemekana wanawake wa thirty plus (30+) hawana maana katika maisha ya ndoa ya sasa

Melki the Storyteller

JF-Expert Member
May 3, 2022
5,699
9,777
Habari wanajamvi,

Kuna huu msemo umezidi kushamiri katika maeneo mengi tofauti! Ni kuhusiana na kushushwa thamani ya kuwepo katika ndoa kwa wanawake aina ya thate plus!

Thate plus ni mwanamke wa aina gani?
  • Mwanamke kuanzia miaka thelathini na kuendelea, ingawa wanaume wengi huwahesabia kuanzia miaka 27
  • Mwanamke mwenye mtoto au watoto aliyowapata pasi na ndoa ama maisha ya ndoa
Mwanamke yupi huchukuliwa kuwa anafaa kwa ndoa katika jamii?
Mtazamo wa wanaume walio wengi huwachukulia wanawake wenye sifa hizi kuwa wanafaa kwa ajili ya ndoa:
  • Mwanamke mwenye elimu ya kawaida tu, asiye na elimu ya chuo kikuuu, maake waliomaliza vyuo vikuuu huonekana kutumika sana kingono
  • Mwanamke asiye na kazi ama shughuli/biashara kubwa. Mwanamke mwenye kazi yake huleta kiburi ndani ya nyumba kwa mumewe
  • Umri miaka 16 hadi 24, hawa huonekana kutopitia mikiki mingi ya kimaisha hasa katika swala zima la kimapenzi, tofauti na walio na umri mkubwa kwa kuwa wamekuwa wakomavu zaidi na wamepitia majaribu ya wanaume wengi
  • Mwenye asili ya maisha ya kawaida, yasiyo ya kimaskini sana ama ya kitajiri! Wanaume huamini kuwa mabinti wa kikata zaidi wametumiwa zaidi na wanaume wengi ili kujipatia mahitaji yao, pia wale kitoka familia za kitajiri ni wababaishaji, mguu nje mguu ndani
  • Mwenye elimu msingi, yaani ya kidato cha nne! Kwa sababu wanakuwa wameondoa ujinga ndani yao, wamejifunza ku-interact na watu! Kama zilivyo ajira za siku hizi za unesi kuwajali waliosoma diploma na ndivyo ambavyo wanaume wengi hupenda kuoa wasichana wadogo waliosomea diploma! hawana mambo mengi!
Mwanamke mwenye miaka 30 na kuendelea hana njia yoyote ya kumshawishi mwanaume kuwa hana mtoto hata kama hana kweli! Maake kisayansi imebainika kuwa wanawake miaka 26 huwa na matamanio ya hali ya juu ya kumiliki mtoto!

Angalizo kwa wanawake walioko Red Line (Danger zone)
  • Ukipata nafasi kutoka kwa mtu serious ya kukuoa katika umri wako sahihi kabla ya kuwa thate mamaa mkubarie tu, angalau ufiche aibu utakayoipata kwa kukosa mume ama kuwa mke wa nne kwa mahali ya ugoro wa bibi badala ya khanga ya mama!
  • Mwanaume halingiwi, thamani yake hupanda kila kukicha, thamani ya mwanamke hushuka kila kukicha! Sasa we jidai na hivyo vingereza vya I can't
Maoni zaidi:
Wanaume, mnawachukulia vipi wanawake aina ya thate plus kwa mtazamo wenu?
 
Haya mambo ya mahusiano hayana formula sahihi japo kuna nadharia nyingi kama hzi ulizotuletea hapa. Unaloliona wewe kuwa si zuri kwa mwingine ndio analiona the best option. TUSIKARIRISHANE MAISHA HAPA MJINI.
 
Haya mambo ya mahusiano hayana formula sahihi japo kuna nadharia nyingi kama hzi ulizotuletea hapa. Unaloliona wewe kuwa si zuri kwa mwingine ndio analiona the best option. TUSIKARIRISHANE MAISHA HAPA MJINI.
Mkuu unaanza vipi kupeleka mwanamke mwenye 36 yrs old kutambulisha nyumbani kama ndoa yako ya kwanza?
Kwa mtazamo wangu, ungelikuwa ni wewe husingekubariana na hii situation! Nahisi ni wanaume wote wa sasa!!
 
Mkuu unaanza vipi kupeleka mwanamke mwenye 36 yrs old kutambulisha nyumbani kama ndoa yako ya kwanza?
Kwa mtazamo wangu, ungelikuwa ni wewe husingekubariana na hii situation! Nahisi ni wanaume wote wa sasa!!
Inawezekana kabisa as long as age zenu zinaendana na wote walichelewa kuoa/kuolewa. Hakuna jambo linaloshindikana lililo ndani ya uwezo wa binadamu.
 
Linapofka swala la ndoa kila mtu huwa na chaguo lake, kuna wanaooa wanawake wenye miaka zaid ya 30 na wanaish nao vzur tuu(ingawa changamoto za hapa na pale zpo, maana unaish mwanadamu n as malaika).

Na pia kuna wanaoa weny miaka 16-24 mwsho wa sku wanaishia talaka na msambaratko usiyokifani, sasa bas miaka s kipimo cha ustahimilivu ndoani.

Hakuna aliye na ukamilifu, sasa bas ustarajie makubwa mnoo kutoka kwa mwenz wako kwa maana na yy pia n mwanaadamu kama ulivyo ww.

Miaka syo kipimo, n sawa na useme weny umr mkubwa wote wana hekima huku ukisahau wapumbav pia huzeeka. Vivyo hvyo na kuwachukulia weny umr wa miaka 16-24(hapa sjakupinga wala sjakuunga mkono, maana weny umri huo hata shule hawajamaliza huenda huko kwnu ndoa znaanzia hapo swez kukupangia) n vmalaika bila kujua na wao wana madhaifu yao tena mazto kuliko unavyoweza kufkiri.

Angalizo: kila mtu aoe/aoane na anayeona sahihi kwake, maana ndoa n zaid ya miaka. Tunahitaj mtu aliyekomaa kiakili, mweny uwezo wa kustahimili na kukabiliana na changamoto na s miaka ya mtu.
 
Mkuu unaanza vipi kupeleka mwanamke mwenye 36 yrs old kutambulisha nyumbani kama ndoa yako ya kwanza?
Kwa mtazamo wangu, ungelikuwa ni wewe husingekubariana na hii situation! Nahisi ni wanaume wote wa sasa!!
Hao wanakomenti sifa ukweli wanaujua

Mimi unafki nilishaacha kitambo . yaani siwezi oa mwanamke wa 30s labda wa kujipigia

Na wengi mentality yetu ni hii
 
Habari wanajamvi,

Kuna huu msemo umezidi kushamiri katika maeneo mengi tofauti! Ni kuhusiana na kushushwa thamani ya kuwepo katika ndoa kwa wanawake aina ya thate plus!

Thate plus ni mwanamke wa aina gani?
  • Mwanamke kuanzia miaka thelathini na kuendelea, ingawa wanaume wengi huwahesabia kuanzia miaka 27
  • Mwanamke mwenye mtoto au watoto aliyowapata pasi na ndoa ama maisha ya ndoa

Mwanamke yupi huchukuliwa kuwa anafaa kwa ndoa katika jamii?
Mtazamo wa wanaume walio wengi huwachukulia wanawake wenye sifa hizi kuwa wanafaa kwa ajili ya ndoa:
  • Mwanamke mwenye elimu ya kawaida tu, asiye na elimu ya chuo kikuuu, maake waliomaliza vyuo vikuuu huonekana kutumika sana kingono
  • Mwanamke asiye na kazi ama shughuli/biashara kubwa. Mwanamke mwenye kazi yake huleta kiburi ndani ya nyumba kwa mumewe
  • Umri miaka 16 hadi 24, hawa huonekana kutopitia mikiki mingi ya kimaisha hasa katika swala zima la kimapenzi, tofauti na walio na umri mkubwa kwa kuwa wamekuwa wakomavu zaidi na wamepitia majaribu ya wanaume wengi
  • Mwenye asili ya maisha ya kawaida, yasiyo ya kimaskini sana ama ya kitajiri! Wanaume huamini kuwa mabinti wa kikata zaidi wametumiwa zaidi na wanaume wengi ili kujipatia mahitaji yao, pia wale kitoka familia za kitajiri ni wababaishaji, mguu nje mguu ndani
  • Mwenye elimu msingi, yaani ya kidato cha nne! Kwa sababu wanakuwa wameondoa ujinga ndani yao, wamejifunza ku-interact na watu! Kama zilivyo ajira za siku hizi za unesi kuwajali waliosoma diploma na ndivyo ambavyo wanaume wengi hupenda kuoa wasichana wadogo waliosomea diploma! hawana mambo mengi!

Mwanamke mwenye miaka 30 na kuendelea hana njia yoyote ya kumshawishi mwanaume kuwa hana mtoto hata kama hana kweli! Maake kisayansi imebainika kuwa wanawake miaka 26 huwa na matamanio ya hali ya juu ya kumiliki mtoto!

Angalizo kwa wanawake walioko Red Line (Danger zone)
  • Ukipata nafasi kutoka kwa mtu serious ya kukuoa katika umri wako sahihi kabla ya kuwa thate mamaa mkubarie tu, angalau ufiche aibu utakayoipata kwa kukosa mume ama kuwa mke wa nne kwa mahali ya ugoro wa bibi badala ya khanga ya mama!
  • Mwanaume halingiwi, thamani yake hupanda kila kukicha, thamani ya mwanamke hushuka kila kukicha! Sasa we jidai na hivyo vingereza vya I can't

Maoni zaidi:
Wanaume, mnawachukulia vipi wanawake aina ya thate plus kwa mtazamo wenu?

Nina miaka 48, nimeachana na mke kwa tabia zake za hasira, ugomvi na matumizi MABAYA ya fedha.

Ningekutana na mwanamke mwenye kuanzia 35 kwenda juu na mtoto mmoja ningemuoa.

Hakuna mtu asiye na Thamani, thaman ipo kwenye utu na namna mtu anavyojiweka.
 
Back
Top Bottom