wanaume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Eti wanaume huwa mnafikiria nini?

    Nitawasalimu baadaye, Kuna jambo moja huwa mnanishangaza nalo ndugu zangu wapendwa wa jinsia Me, Naombeni mnisaidie Leo, huwa kwenye akili zenu mnafikiria nini pale unakuta mkaka anaenda ku confess hisia zake kwa mwanamke mwingine, while each and every day unaona anapost either ni girlie wake...
  2. Kizazi cha Wanaume Wahongaji chapotea taratibu, kizazi cha Wanaume bahili chashika chati kwa kasi

    Habari wadau Mimi nakumbuka nilionga sana ada yangu alafu kuirudisha ikawa shida nikauza vitu vyangu vya getto Nikamaliza chuo nikapata kazi sehemu nikawa nahonga mshara wangu nusu kama fungu la kumi lakini bada ya kuteswa na mahusiano na kugundua kuwa wanawake ni waongo na walafi sikuizi...
  3. Brazil kuanza kulipa sawa kati ya wanasoka Wanaume na Wanawake

    Shirikisho la Mpira wa Miguu la Nchini, Brazil limetangaza sera mpya ya malipo na posho kwa wanasoka Wanawake na Wanaume Sera hiyo itafawanya wanasoka Wanawake na Wanaume wawe wanalipwa kiwango sawa. CBF, imeeleza kuwa Wachezaji wa Timu za Taifa(Wanaume na Wanawake) za Brazil kwa ngazi zote...
  4. Kwanini wanaume 'waliorogwa' na 'kurogeka' vizuri na wake zao huwa wanakuwa 'Wabishi' ukitaka kuwasaidia na wakiona unawafuatilia wanaweza kukudhuru?

    Inasikitisha kweli kweli yaani Mwanaume analala Saa 7 Usiku na Kuamka Saa 9 Usiku ili aanze Kujiandaa na kuitafuta Vingunguti Machinjioni halafu bado kila akipata tu Mshahara wake anaupeleka wote kwa Mkewe na anapangiwa Bajeti ya Pesa yake anayotakiwa kuwa nayo Mfukoni mwake ama kwa Siku au kwa...
  5. Ni kwanini Wazungu na Waarabu, wake zao wakijifungua huwa hawawasaliti lakini kwa Waafrika na Wahindi husaliti mno?

    Rejea zako tu Kichwa cha Habari hapo juu kisha anza 'Kutiririka' na 'Kuserereka' zako. Nitashangaa sana nikiona kuna Mwanaume mwenzangu wa Kiafrika atasema kuwa Yeye Mkewe/Mpenzi wake alipojifungua tu hakutoka nje (hakumsaliti ) Kimahusiano. Nitapenda kuona zaidi Wanaume 'tukikiri' hapa kuwa...
  6. Wanaume wenye tabia za kiunafiki hata wake zao huwadharau

    Kuna siku moja nilienda mkoa x kikazi, na katika timu niliyoikuta huko nilikutana na jamaa yangu mmoja nilisoma naye chuo miaka kadhaa iliyopita. Sikuwa na mahusiano naye ya karibu huko nyuma kutokana na tabia zake za kiunafiki au undumilakuwili, hasa kupenda majisifu yasiyokuwa na tija na yuko...
  7. Mama atumia picha ya binti yake kuwasiliana na wanaume mtandaoni

    Mama mmoja huko Marekani, alijiunga kwenye mtandao mmoja wa kijamii na kuweka picha ya mwanae mwenye umri wa miaka 18. Kisha alianza kuwasiliana na wanaume huku akijifanya kuwa yeye ndiye huyo binti kwenye hiyo picha. Kutokana na urembo wa binti wanaume wengi mtandaoni hawakusita kumfuata...
  8. Temba wa TMK wanaume ashushwa jukwaani baada ya kuwaponda Polisi kwenye jukwaa la wasanii wa CCM uwanja wa UHURU

    Msanii Temba baada ya kuimba wimbo wake wa Nampenda yeye, akawaambia ma-DJ watulie kuna jambo anataka kusema. Na haya hapa ni maneno yake! "Acha niseme na wanyonge wangu na tupo ardhi ya nyumbani, Polisi nyie ni masikini wenzetu tu hivyo mnapaswa kutulinda na siyo kutuwinda" Kilichofuatia...
  9. Kenya: Mwanamke awaonyesha wanaume wake wawili hadharani, she refers to them as hubby 1 & hubby 2

    A black woman happily shows off her two husbands and reveals they are happy together A woman who is happily married to two men and live in the same house with them has shared photos of them together while speaking about their relationship. Kenya Stevens is in a polyamorous relationship and is...
  10. A

    30% ya wadada wanaenda kwenye dinner date na wanaume, ili tu kupata msosi wa bure

    Uchunguzi huu uliofanyika Marekani ulisema hivo, kati ya wadada 850 waliofanyiwa research, baadhi ya hao wadada walikiri kuwa hawakuwapenda wanaume waliowaita mgahawani, ila walienda mgahawani, ili tu wapate msosi wa bure. Wanaita "foodie calls" Hio ni marekani ambako wabongo tunasema wanawake...
  11. Serikali iingilie kati. Wanaume wengi siku hizi kuna kitu kinawapata. Ushahidi Huu

    Alianza Mc Pilipili kulia mbele za watu akiwa haamini kama ataenda kupata papuchi ile iliyokuwa mbele yake.alilia sana... Ilinishtua. Zamani kipindi kama kile wanawake ndo walikuwa wanalia. Lakini sasa ikawa mwanaume.nikanyamaza. Akaja Lijua Kali. Akalia mbele ya wabunge wanawake na...
  12. N

    Wanaume jueni ukweli huu ya wanawake utawasaidia

    Maandiko yaliwaonya ishini na wanawake kwa akili. Wanaume jueni haya juu ya wanawake ambayo hamyajui au mnayajua Ila hamtaki kukubali huu ndio ukweli. 1)wanawake baadhi sio wote wakipenda wanapenda kweli,wanauwezo wa kuwa na huyo mwanaume mmoja maisha yao yote ndani ya ndoa .Ila ni baadhi...
  13. Nafurahishwa na namna wanawake wanavyotengwa na sisi wanaume misikitini na kwenye mazishi hujifanya nijione kidume

    Mimi ni mkatoliki ila nakiri wazi kwamba nafurahishwa na namna waislam kwenye ibada zao na mazishini wanavyowatenga wanawake wake peke yao. Yani nikiwaona wanawake wako nyuma wamekaa peke yao wamejifunika kanga au shungi au sisi wanaume tunapanda magari kwenda kuzika wao tunawaacha nyumbani...
  14. P

    Hayati Mkapa ni aina ya wanaume wachache wenye misimamo migumu kwenye mahusiano

    Kwa Kheri mzee wetu Mkapa, Mungu akurehemu huko uendako. Nimevaa viatu vya mzee Mkapa kwenye mahusiano yake yenye moyo wa kipekee, havinitoshi kabisa na sio mimi tu karibia wanaume wengi wa karne hii hawawezi kuwa na ujasiri wa moyo kama aliokuwa nao huyu mzee wetu ni wa kipekee kabisa. Hebu...
  15. Wanaume tuoneeni huruma tu, inawezekana kweli tunawakosea

    Habari za usiku. Kwa masikitiko makubwa na huzuni isiyoyakawaida imeutawala moyo wangu. Wanaume,inawezekana kweli tunawakwaza,iwe ni kwa kujua au kutokujua lakini haifanyi ukamwanika mke wako wa ndoa kwa mchepuko kwa kiwango cha lami kabisa Leo nikiwa niko saloon nasafisha kucha, akaja mdada...
  16. Tabia za hovyo 17 hizi hapa walizonazo wanaume Malaya/mabaharia/Players

    Nimeitoa mahali huko FB na nimeona pana ukweli 1. Hawatuliagi na mwanamke moja 2. Wanapenda kudinya tu, hawana mapenzi ya dhati 3. Wana vipaji sana kwenye kudanganya 4. Huongea kwa utaratibu kwa hisia kali pindi wanapotongoza 5. Ni wavunjaji wakubwa wa mioyo na kuwaacha na maumivu mabinti...
  17. B

    Uchepukaji wetu wanaume hauna madhara tofauti na nyinyi

    Mwanaume anaweza kuchepuka na bado akawa na upendo wa dhati kwa mke wake lakini mwanamke hawezi kuchepuka na akaendelea kumpenda mume wake kwa dhati. Nasema hivi kwasababu mwanaume hafanyi tendo la ndoa kwa hisia, mwanamke hawezi kufanya tendo la ndoa bila hisia mguso. Ndiyo maana wanaume...
  18. Neno/Ujumbe kwa wanaume wote

    Mwanaume ukiwa huna hela amini nakuambia, mwanamke atakayekupenda kwa dhati ni MAMA yako tu.
  19. Je, wajua kwanini wanaume wa kikongo hata walioko Tanzania hupenda kuvaa kitajiri wakati ni maskini? Angalia video

    Wanaume wa kikongo hupenda kuvaa kitajiri sana hata kama wanaishi maisha ya chini pa kulala pabovu Sababu yake hiyo hapo
  20. Utegemezi wa Wadada kwa Wanaume au wapenzi wao

    Kwa asilimia kubwa wadada wengi ni wategemezi kwa wanaume au wapenzi wao, hata kama wao wana kazi nzuri inayowalipa vizuri lakini bado watategemea cha mwanaume wake. Kwa hali hiyo wakuu si bora uoe au utafute mpenzi (mdada) ambaye ni jobless tu. Cha kwake ni cha kwake, na cha kwako ni cha kwenu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…