wanafunzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Infantry Soldier

    Kwani Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) haiwezi kuwa na accounts za malengo kwa wanafunzi wa darasa la kwanza?

    Habari zenu waungwana wa humu jamiiforums Kwanini Bodi ya mikopo ya elimu ya juu (HESLB) isianzishe campaign ya kuhamasisha wazazi kuanza kuwalipia watoto wao pesa kidogokidogo katika accounts maalum ya bodi wangali wakiwa bado wanasoma elimu ya msingi (Darasa la Kwanza)? Jenga picha mtoto...
  2. Analogia Malenga

    Arumeru: Wanafunzi walazimika kujisaidia porini kwa kukosa huduma ya vyoo

    Zaidi ya wanafunzi elfu moja wa shule ya msingi Olimringaringa iliyopo kijiji cha Kimnyaki wilayani Arumeru wako hatarini kupata magonjwa ya milipuko kutokana na kulazimika kujisaidia porini kwa kukosa huduma ya vyoo. Akizungumzia changamoto hiyo ya uhaba wa matundu ya vyoo mwalimu mkuu wa...
  3. Kurzweil

    Wanafunzi wa UDSM waliwahi kuchangia matibabu ya Dkt. John Magufuli

    Aliyekuwa Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. P Mlama aliwahi kuchangisha fedha za matibabu ya Dkt. John Pombe Magufuli. Prof. Mlama alieleza kuwa Mwanafunzi wa Shahada ya Uzamili katika Sayansi, John Magufuli anasumbuliwa na Ugonjwa wa 'Hypertropic Cardiomyopathy'...
  4. OLS

    DC wa Temeke, Godwin Gondwe hayuko sahihi katika kufukuza wanafunzi, watu wa haki za watoto na Haki Elimu nategemea sauti yenu katika hili

    Gazeti la Mwananchi liliripoti kuwa shida ya Shule ya Msingi Toangoma ni uchache wa madrasa na wingi wa wanafunzi ambao automatically inakuwa ngumu kwa walimu kudhibiti tabia za wanafunzi. Since tatizo ni wingi wa wanafunzi kwa upande mmoja ambapo, mwanafunzi sio mkosaji in the first place...
  5. Idugunde

    Vijana wengi wanafungwa na kuteseka magerezani kwa kubambikiwa mimba na wanafunzi. Je, ushahidi wa mhanga unatosha kumtia hatiani mtuhumiwa?

    Wanabodi hili suala ni changamoto kubwa sana katika jamii. Utakuta binti anaanza mapenzi bado mdogo, tena yupo primary school au secondary school. Wazazi wanajua nini kinaendelea. Maana binti kama analiwa huwa hajifichi. Mara ghafla anapata mimba. Ili kuondoa aibu wazazi wanajifanya kwenda...
  6. Analogia Malenga

    Mtwara: Wanafunzi wasababisha tatizo la umeme kwa wilaya nne

    Wilaya nne za mkoa wa Mtwara zimekosa nishati ya umeme kwa takribani saa ishirini na nne na kupelekea baadhi ya shughuli za kiuchumi kusimama, baada wanafunzi wa kidato cha tatu na cha pili wa shule ya sekondari Mnyawi kuchezea laini kubwa ya umeme kwa kurusha miti na kufurahia mwanga pale nyaya...
  7. Analogia Malenga

    Watakaopata daraja la 4 na sifuri elimu ya sekondari watashtakiwa kwa uhujumu uchumi

    Afisa Elimu wa Mkoa Kilimanjaro, Paulina Mkwama amesema watakaopata chini ya Division 3 wajiandae kushtakiwa kwa uhujumi Uchumi. Ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Umbwe walipokuwa katika ziara ya Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, Gerald Mweri...
  8. Miss Zomboko

    Wanafunzi wa Kunduchi Girls wafanya mgomo kwa zaidi ya siku 2. TAKUKURU yaanza kumchunguza Mmiliki

    JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA Anwaniya Simu:”UCHUNGUZI” Mtaa wa Jamhuri, Simu Nambari: 262323315 S. L. P 1291, Nukushi: 26232332 41101 DODOMA, BaruaPepe: dgeneral@pcc.go.tz TANZANIA. Tovuti: www.pccb.go.tz Unapojibu tafadhalitaja: TAARIFA KWA UMMA...
  9. Sam Gidori

    Wanafunzi 7 wafariki baada ya kuanguka kutoka ghorofa ya nne nchini Bolivia

    Takriban wanafunzi saba wamefariki dunia na wengine watano wamejeruhiwa vibaya baada ya kuanguka kutoka ghorofa ya nne kufuatia kuvunjika kwa chuma kilichokuwa katika korido katika Chuo Kikuu cha El Alto kilichopo karibu na mji mkuu wa Bolivia, La Paz. Video za tukio hilo zinawaonesha wanafunzi...
  10. M

    Watekaji Nigeria wamewaachia haraka wanafunzi kwasababu wote ni wa Dini yao

    Watekaji magaidi ambao wengi wao ni Fulani waliowateka wasichana wanafunzi katika shule ya boarding kaskazini mwa Nigeria wamewaachia huru wanafunzi wote haraka sana bila hata kuwadhuru wala kuwadhalilisha. Kilichowasaidia awa mabinti wote walikuwa Waislamu. Pia miezi michache iliyopita hawa...
  11. waziri2020

    Bodi ya maziwa yazindua mpango wa unywaji maziwa kwa wanafunzi na watumishi wa serikali ili kuboresha afya za Watanzania

    Bodi ya maziwa yazindua mpango wa unywaji maziwa kwa wanafunzi na watumishi wa serikali nchini. Wizara ya mifugo na Uvuvi kupitia Bodi ya Maziwa Tanzania, imeanza utekelezaji wa mpango wa unywaji wa maziwa kwa wanafunzi wa shule za msingi sanjari na ofisi za serikali ukiwa na malengo kuboresha...
  12. J

    Wabunge wa CCM kuna wakati wanachekesha sana, Hamis Taletale atoa msaada wa taulo za kike kwa wanafunzi

    Kuna wakati huwa najiuliza kama hawa wabunge waliopita bila kupingwa wana tija yoyote kwa Chama na jamii kwa ujumla. Mbunge wa Morogoro kusini mashariki mh Hamis Taletale aka Babu Tale ametoa msaada wa taulo za kike kwa wanafunzi wa shule moja ya msingi jimboni kwake. Babu Tale amesema msaada...
  13. Analogia Malenga

    Wanafunzi Shule ya Msingi Namalombe wasomea chini ya mkorosho

    Wanafunzi wa Shule ya Msingi Namalombe wilaya ya Nanyumbu mkoa wa Mtwara na Mwalimu mkuu wao Bwanaheri Akili wameiomba serikali kuwajengea madarasa kwani kwasasa wanapata shida kusomea chini ya mkorosho kama darasa, kutokana na shule hiyo kuwa na darasa moja tangu ilipoanzishwa mwaka 2014...
  14. Mapensho star

    Mijadala mashuleni inaongeza ufaulu na kukuza uelewa wa wanafunzi

    Kwa mara ya kwanza kabisa naingia jukwaa hili la elimu nimepitia michango michache nami nina jambo naona ni muhimu pia kwa lengo la kuboresha elimu yetu Shule chache za Sekondari zimekuwa na utaratibu huu wakuwaandalia wanafunzi mijadala na morning speech hata kipindi nasoma hii kitu ilikuwa...
  15. Sky Eclat

    Kibonzo cha Kipanya leo kinamhusu kiongozi wa wale 19 walioaposhwa garage

  16. Ngalikihinja

    Wale wanafunzi waliohamishia NGURDOTO toka Njiro, kuhamishwa tena.... tetesi zinasema, safari hii ni Arusha University

    Inasemekana kwamba, wamiliki wa hotel ya Ngurdoto, wamewapa chuo cha uhasibu Arusha, siku zisizozidi 90 kuwa wamewahamisha wanafunzi wote walihamishiwa hapo Ngurdoto kutokea Njiro Compus. Tetesi zinasema kuwa sababu kubwa ni uharibifu uliokwishatokea toka wanafunzi hao wahamie hapo Ngurdoto hadi...
  17. incognitoTz

    Je, na wewe unadhani Uhusiano mbaya kati ya walimu na wanafunzi ni moja ya chanzo cha kuwapo kwa maisha magumu kwa walimu?

    Wataalamu na watafiti wa elimu ya mendeleo ya watoto wadogo wanaamini kuwa zaidi ya asilimia 90 ya maendeleo ya ubongo hutokea kati ya kipindi cha umli wa mwaka mmoja (1) hadi miaka mitano (5). Hiki nikipindi muhimu sana kwa mtoto na hapa huwa anajua kipi kizuri kufanyiwa na kipi kibaya kufanyia...
  18. Limbweni

    Wanafunzi wakipeana mimba Sheria inasemaje?

    Kama kichwa cha habari kinavyouliza Je, Wanafunzi kwa Wanafunzi Wakipeana Mimba je kwa upande wa Sheria upoje Maana kuna Mwanafunzi wa Darasa la Tano kapewa Mimba na Mwanafunzi wa Form Four huko Wilaya ya Ulanga halafu hakuna kilichojiri.
  19. M

    Uongozi wa SUA wasababisha majonzi kwa wanafunzi wa ESM na BRD kwa kuwafutia boom la quarter two huku wakilazishwa kwenda field

    Uzi huu nimeamua kufikisha jamvin kwa lengo la kuonyesha njinsi Uongoz wa SUA unavyofanya mambo kwa kutokutafakari kwa kina kama Ifuatavyo; Hivi punde uongoz umechukua maamuz ya kuwafutia pesa ya boom wanafunzi wa Esm na Brd huku wakilazimishwa kwenda field mwez wa pili wakati idadi kubwa ya...
  20. Miss Zomboko

    Songwe: Baba agoma kupeleka mwanaye kidato cha kwanza akidai hana akili na Shuleni Wanafunzi wanachapwa sana viboko

    Mzazi mmoja mkazi wa kijiji cha Ilanga, kata ya Mlale, iliyopo wilaya ya Ileje mkoa wa Songwe, amegoma kumpeleka mwanaye kujiunga na kidato cha kwanza akidai kuwa mwanaye hana akili na kwamba watoto wamekuwa wakichapwa tu wanapokuwa shuleni. Mzazi huyo anayejulikana kwa jina la Anania Mdolo...
Back
Top Bottom