Ze Bulldozer
JF-Expert Member
- Jun 12, 2020
- 999
- 520
Ndugu Wananchi wenzetu,
Mpaka Rais Samia anaingia madarakani zaidi ya watoto wa masikini elfu 10 hawakupewa mikopo,
Leo tayari ameongeza Tshs 106BL sawa na 23% yaani kutoka Tshs 464BL FY2020/21 hadi 570BL FY2021/22
Kwa Sasa,kila mtoto wa masikini aliyefaulu kwenda chuo kikuu kupatiwa mkopo bila kujali historia ya alikosomea shule za chini,
Lakini pia amefuta kabisa ile 6% ya ada ya thamani ya mkopo ( Value Retention Fee-VRF ) kwenye mikopo hiyo na Sasa wanufaika watakatwa 9% ( single digits) FY2021/22 kutoka 15% ya FY2020/21.
Take home za watu hawa zimepaa kwa 6% ,hongereni Sana Mhe Rais.
TLP ni akina nani hata tusione haya na kupongeza na hii ndio maana ya Siasa safi.
Mama chapa kazi tupo na wewe.
TLP Tanzania kwanza,
Mpaka Rais Samia anaingia madarakani zaidi ya watoto wa masikini elfu 10 hawakupewa mikopo,
Leo tayari ameongeza Tshs 106BL sawa na 23% yaani kutoka Tshs 464BL FY2020/21 hadi 570BL FY2021/22
Kwa Sasa,kila mtoto wa masikini aliyefaulu kwenda chuo kikuu kupatiwa mkopo bila kujali historia ya alikosomea shule za chini,
Lakini pia amefuta kabisa ile 6% ya ada ya thamani ya mkopo ( Value Retention Fee-VRF ) kwenye mikopo hiyo na Sasa wanufaika watakatwa 9% ( single digits) FY2021/22 kutoka 15% ya FY2020/21.
Take home za watu hawa zimepaa kwa 6% ,hongereni Sana Mhe Rais.
TLP ni akina nani hata tusione haya na kupongeza na hii ndio maana ya Siasa safi.
Mama chapa kazi tupo na wewe.
TLP Tanzania kwanza,