MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Wanafunzi kumaliza Mitihani yao ya Darasa la Saba Mwezi Septemba na Kuwaacha tu wanarandaranda Mitaani hadi Mwezi Disemba majibu yao yakitoka ni Hatari mno Kwao.
Nitoe Kongole kwa baadhi ya Shule ambazo zilishaiona hii Hatari na kwamba Wanafunzi wao wakimaliza tu Darasa la Saba kuna Program huwa wanawaandalia ili kuwafanya wasiwe wanazurula Mitaani.
Niiombe Serikali ije ya Ubunifu wa Program Maalum ambayo itawafanya hawa Wanafunzi wanaomaliza Darasa la Saba wawe wanaifanya / wanaifuata mpaka pale Matokeo yao yakitangazwa ili Kuwaepusha na Mabaya mengi ambayo huwa yanawakuta.
Nimeshashuhudia Mabinti / Wasichana wanaomaliza Darasa la Saba Wakimimbika ( wakijazwa Ujauzito ) na Wanaume tena kwa Kununuliwa tu Muhigo ya Jero Jero na Bagia na Kukatisha rasmi Safari yao ndefu ya Kitaaluma.
Nimeshashuhudia Vijana / Wavulana wanaomaliza Darasa la Saba wakianza Kujiingiza katika Makundi mabaya ya Uhalifu huku wengine wakifanywa ni Mawakala wa Kuuza Bangi kwa Kulipwa Chips Soda tu na hatimaye wananogewa huko na kutotamani tena kuendelea na Masomo.
Nitashukuru huu Ushauri wangu ukifanyiwa Kazi na Wadau na Jambo lenye Tija Kwao ( hawa Vijana na Mabinti ) zetu Wapendwa likifanyika.
Nawatakia Mitihani mwema wote leo.
Nitoe Kongole kwa baadhi ya Shule ambazo zilishaiona hii Hatari na kwamba Wanafunzi wao wakimaliza tu Darasa la Saba kuna Program huwa wanawaandalia ili kuwafanya wasiwe wanazurula Mitaani.
Niiombe Serikali ije ya Ubunifu wa Program Maalum ambayo itawafanya hawa Wanafunzi wanaomaliza Darasa la Saba wawe wanaifanya / wanaifuata mpaka pale Matokeo yao yakitangazwa ili Kuwaepusha na Mabaya mengi ambayo huwa yanawakuta.
Nimeshashuhudia Mabinti / Wasichana wanaomaliza Darasa la Saba Wakimimbika ( wakijazwa Ujauzito ) na Wanaume tena kwa Kununuliwa tu Muhigo ya Jero Jero na Bagia na Kukatisha rasmi Safari yao ndefu ya Kitaaluma.
Nimeshashuhudia Vijana / Wavulana wanaomaliza Darasa la Saba wakianza Kujiingiza katika Makundi mabaya ya Uhalifu huku wengine wakifanywa ni Mawakala wa Kuuza Bangi kwa Kulipwa Chips Soda tu na hatimaye wananogewa huko na kutotamani tena kuendelea na Masomo.
Nitashukuru huu Ushauri wangu ukifanyiwa Kazi na Wadau na Jambo lenye Tija Kwao ( hawa Vijana na Mabinti ) zetu Wapendwa likifanyika.
Nawatakia Mitihani mwema wote leo.