Inasikitisha sana, kukuta gari, inazobeba wanafunzi, mda wote ziko mbio. Hii ni mbaya sana.Kama ajali iliyotokea Mtwara.
Vyombo husika, kila mkoa, kuandikwe namba maalumu ya simu, ili wananchi tukiona gari la shule, linavunja sheria, mwendo wa kasi, kujaza wanafunzi, nk tupige simu...