walimu

  1. U

    Walimu watakaojitolea miezi saba Temeke kuajiriwa

    Hakuna nchi duniani inachukulia elimu kitu cha kipuuzi kama Tanzania! Imagine tuna walimu wamehitimu halafu mashule hayana walimu? Tunajenga taifa la namna gani? Halafu tunakuja na rushwa za hovyo kama hizi kwamba fundisha seven month free ndio tukuajiri? Are we serious?
  2. NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

    Ndugu Karugutu (Afisa Elimu msingi Wilaya ya Uyui) jirekebishe, acha kuwatesa walimu kwa kuwafokea badala ya kuwaeleza kwa adabu na utu!

    Wanabodi za asubuhi! Leo nakuja na malalamiko ya walimu wa shule za msingi katika Wilaya ya Uyui kumhusu huyu Karugutu. Wanaanza kwa kueleza kuwa kwenye zoezi la kuboresha daftari la wapiga kura mwaka jana Karugutu aliwalazimisha walimu wa saini hela ya chakula 15,000/= kwa maana ya kifungua...
  3. Superbug

    Walimu kama mmepata mshahara tulipeni madeni yetu.

    Walimu kama mshalipwa mtulipe bana hii gvt yenu si inawajali? It pays you on time and a lot of money na mmeongezwa mishahara sijui madaraja nk. So plz lipeni madeni yetu huku mtaani. Wiki hii ikiisha naanza kuwafukuza kwenye nyumba yangu.
  4. Nsumba ntale tz

    Walimu wana wakati mgumu! Darasa limejaa wanafunzi zaidi ya mia moja hana hata pa kukanyaga!

    Katika pitapita zangu nimekutana na hii video ikionesha wanafunzi walivyorundikana kwenye chumba cha darasa kama ng'ombe tena wakiwa wamekaa chini, na bado tukiendelea kupiga makofi kuhusu ununuaji wa madege ya dreamliner. Kama Taifa tunapaswa kupaza sauti zetu kama wananchi wa Taifa Tanzania...
  5. Miss Zomboko

    Wanafunzi kuanza kupiga kura za siri ili kuwataja walimu wenye mahusiano ya kimapenzi ya wanafunzi

    MKOA wa Rukwa wanafanya mpango wa wanafunzi kupiga kura za siri ili kuwabaini walimu ‘wakware’ linatarajiwa kuanza wakati wowote kuanzia sasa Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Joachim Wangabo kwa kile alichodai kuongezeka kwa walimu wa kiume katika shule za msingi na sekondari...
  6. Suley2019

    Kenya: Walimu 3 wa Garrisa wameuawa mapema leo na watu wanaoaminiwa kuwa wanamgambo wa kundi la al Shabaab

    Habari za punde zinasema watu 3; wote walimu wamauawa mapema leo kufuatia uvamizi watu wanaoaminiwa kuwa wanamgambo wa kundi la al Shabaab. Tukio hilo lilitokea 3 am Jumatatu, Januari 13 katika Kamuthe Resource Centre mjini Garissa. Katika shambulizi hilo mnara wa kampuni ya mawasiliano ya...
  7. beth

    Kibano wanafunzi watoro chawadia

    Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia ipo katika hatua za mwisho za kukamilisha waraka kudhibiti utoro shuleni ambao pamoja na mambo mengine, utapunguza siku na kuwa chini ya 90. Kauli hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki jijini hapa na Mkurugenzi Msaidizi Msingi na Uendelezaji wa Sera wa Wizara...
  8. kasanga70

    Nahitaji Mwalimu mkufunzi wa walimu wa nursery haraka

    Habari ndugu zangu! Ninahitaji Mwalimu mzoefu anaeweza kumtrain Mwalimu wa kawaida wa shule ya msingi kupitia crash program ya wiki tatu nimlipe kisha tuachane naye! Kama upo unajitambua na unajielewa tuwasiliane kwa wasap +255625602588 Ahsante
  9. Erythrocyte

    Mzee Kikwete ashangaa Walimu kukosa ajira

    Sasa mimi namkumbusha tu Mzee wangu kwamba nini walimu bhana ! Kwa ujumla Tanzania haina ajira kwa vijana , kuanzia madaktari hadi wahasibu . Nchi yeyote isiyotoa ajira kwa raia wake yenyewe wala nyongeza ya mshahara kwa wafanyakazi wake ambao ni wachache kuliko wafanyakazi wa nchi yeyeto...
  10. YEHODAYA

    Kwanini walimu wa kumfundisha mwanamke aishi vipi kwenye ndoa ni wanaume na sio wanawake?

    Wanaume wengi wawe viongozi wa dini au wa kijamii au wa mitaani ndio huwa wanakomalia kufundisha mwanamke anavyotakiwa kuishi na mwanaume. Ukienda Misikitini unakuta Maimamu na Mashehe ndio walimu wa kumsomesha mwanamke aishije na mwanaume. Ukienda kwa Wasabato unakuta wanaume ndiyo walimu...
  11. Sky Eclat

    Waitara anakubali kuwa kuna upungufu wa walimu na ajira zilisimama

  12. N

    Walimu Lindi wanateseka, Jumamosi na Jumapili kwao zimekuwa siku za kazi

    1. Tangu mwaka huu uanze, Jumamosi imekuwa ni sehemu ya siku za kazi....si hiyari bali kwa shuruti kubwa. Mitihani yote, iwe midterm, mock ya aina yoyote, siku ya Jumamosi imekuwa ndani ya ratiba ratiba! Kwa baadhi ya shule za msingi, kazi zinafanyika hadi Jumapili.....Mitwero Primary School...
  13. Puna

    Tuelezane changamoto tunazokutana nazo walimu na namna ya kuzikabili.

    Tukiwaambia mtupatie teaching allowance hamtaki,mtuongezee mishahara hamtaki, kutupandisha madaraja hamtaki.Basi muanzishe uhamisho wa dharura pale Mwalimu anapokutana na changamoto hizi:- 1.Kuachia ushuzi wa Sauti.Hapa ushapiga ugali wako kwa njugu mawe,ukashushia na Mtindi alafu uko class...
  14. Tracer

    NAOMBEN MSAAADA JUU YA VYUO VYA DIPLOMA VYA KUJAZA KATIKA SELFORM KIDATO CHA NNE

    Samahanin wakubwa.... NINA SWALI MOJA HIVI... .. ... ... Wakat wa kujaza selform form 4 unapewa na karatas flan hiv linakua limejazwa vyuo mbal mbal vinavyotoa diploma .. .. Sasa nauliza je, Unaruhusiwa kujaza vyuo vingine tofaut na vile vilivyopo qwenye lile karatas?? .. .. Mfano nikajaza...
  15. hashimrashidy

    Mfumo wa 'Online Teachers Applications System(OTEAS)' upo hewani. Waombaji wa kazi za ualimu wanaweza kuendelea

    Muhimu 1. Hakikisha upo katika internet nzuri. 2. Nyaraka ziwe katika pdf na kila moja isizidi 1Mb. 3. Mwombaji akiwa na changamoto apige simu zilizopo kwenye video manual. 4. Deadline ya kuwasilisha maombi ni 15.03.2019. Kila la kheri DICT TAMISEMI. 04.03.2019 BONYEZA HAPA CHINI KUPATA...
  16. hashimrashidy

    Mfumo wa *Online Teachers Applications System(OTEAS)* upo hewani. Waombaji wa kazi za ualimu wanaweza kuendelea.

    *Muhimu* 1. Hakikisha upo katika internet nzuri. 2. Nyaraka ziwe katika pdf na kila moja isizidi 1Mb. 3. Mwombaji akiwa na changamoto apige simu zilizopo kwenye video manual. 4. Deadline ya kuwasilisha maombi ni 15.03.2019. Kila la kheri DICT TAMISEMI. 04.03.2019 BONYEZA HAPA KUPATA MAELEKEZO...
Back
Top Bottom