mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,463
- 3,932
Habari wanaJF,
kile kilio cha ajira kwa Walimu na Wapinzani kutaka kufanya ajenda kubwa kwenye uchaguzi wa mwaka huu kinaenda kuisha mwezi huu
Mkajipange tena sijui mje na sera gani tena ajira za Walimu kutolewa mwezi huu raha ya CCM, raha ya Magufuli ana ahidi na kutelekeza na ikumbukwe hii ni ahadi yake aliyoitoa kwenye mkutano wa mkuu wa CWT Dodoma wakati wanafanya uchaguzi wao.JPM Mitano Tena.
Hatimaye Kupitia Serikali sikivu Kuanzia Kesho ajira.tamisemi.go.tz itaanza kutembelewa kwa Sana.
Vijana Tujiandae kuomba hiyo Kesho na Mungu asimame Nasi.
kile kilio cha ajira kwa Walimu na Wapinzani kutaka kufanya ajenda kubwa kwenye uchaguzi wa mwaka huu kinaenda kuisha mwezi huu
Mkajipange tena sijui mje na sera gani tena ajira za Walimu kutolewa mwezi huu raha ya CCM, raha ya Magufuli ana ahidi na kutelekeza na ikumbukwe hii ni ahadi yake aliyoitoa kwenye mkutano wa mkuu wa CWT Dodoma wakati wanafanya uchaguzi wao.JPM Mitano Tena.
Hatimaye Kupitia Serikali sikivu Kuanzia Kesho ajira.tamisemi.go.tz itaanza kutembelewa kwa Sana.
Vijana Tujiandae kuomba hiyo Kesho na Mungu asimame Nasi.