Akifafanua kwa waandishi wa habari mjini Njombe,Wakili Mligo amesema katiba ni mbovu kwasababu Rais analindwa na katiba inayompa mamlaka yakutokulazimika kutendea kazi ushauri wowote kwa wasaidizi wake asipopenda.
Amefafanua kuwa Katiba ya maoni ya Warioba iliondoa kipengele cha kinga kwa Rais...