Kuna Wakili Mmoja Nguli kaniambia huyu Muuaji Kato Rasta aliyemuua Afisa JWTZ akijitetea hivi wala hatofungwa na ataachiwa Huru upesi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,647
109,036
"Kama unajuana na huyo Kijana Kato Rasta au Rasta Mayele aliyemchoma Kisu Afisa wa JWTZ Kanali Deogratius Muna mwambie akienda Mahakamani ajitetee kuwa baada ya Kupigwa Vibao na Afande huyo huku akitukanwa nae alimuona Afande Muna anajishika Kiunoni akiashiria kutaka kutoa Pistol hivyo kwa kumjua kuwa alikuwa ni Mwanajeshi na Yeye Kato Rasta akaamua Kujilinda na kupelekea Umauti wako.

Kato Rasta aseme kuwa ulikuwa ni Ugomvi hivyo kila Mtu akaamua Kujitetea. Au Waambie Ndugu zake wanitafute na Nitamtetea na wala Hatofungwa. Kesi imekaa vizuri sana Kwake Kato Rasta kushinda ila Ajiamini na Asiogope kwani ni Kesi nyepesi sema tu inaonekana ni Kubwa na inatisha kwakuwa inamhusisha huyo Afisa wa JWTZ na huenda JWTZ nao wakaipambania japo kwa mazingira nao JWTZ haiwahusu sana kwakuwa Aliyekufa hakuwa Kazini kwa wakati huo na hakuvaa Sare zao hivyo ni Tukio la Uraiani ( Nje )" amesema Wakili Nguli ambaye GENTAMYCINE namhifadhi kwa sasa.

Haya Ndugu zake na Dogo Kato Rasta / Rasta Mayele mmeshapewa tayari Maujanja hivyo yawasilisheni Kwake ili awe Huru.

Je, huyu Wakili Nguli yuko sahihi au?
 
"Kama unajuana na huyo Kijana Kato Rasta au Rasta Mayele aliyemchoma Kisu Afisa wa JWTZ Kanali Deogratius Muna mwambie akienda Mahakamani ajitetee kuwa baada ya Kupigwa Vibao na Afande huyo huku akitukanwa nae alimuona Afande Muna anajjshika Kiunoni akiashiria kutaka kutoa Pistol hivyo kwa kumjua kuwa alikuwa ni Mwanajeshi na Yeye Kato Rasta akaamua Kujilinda na kupelekea Umauti wako. Kato Rasta aseme kuwa ulikuwa ni Ugomvi hivyo kila Mtu akaamua Kujitetea. au Waambie Ndugu zake wanitafute na Nitamtetea na wala Hatofungwa. Kesi imekaa vizuri sana Kwake Kato Rasta kushinda ila Ajiamini na Asiogope kwani ni Kesi nyepesi sema tu inaonekana ni Kubwa na inatisha kwakuwa inamhusisha huyo Afisa wa JWTZ na huenda JWTZ nao wakaipambania japo kwa mazingira nao JWTZ haiwahusu sana kwakuwa Aliyekufa hakuwa Kazini kwa wakati huo na hakuvaa Sare zao hivyo ni Tukio la Uraiani ( Nje )" amesema Wakili Nguli ambaye GENTAMYCINE namhifadhi kwa sasa.

Haya Ndugu zake na Dogo Kato Rasta / Rasta Mayele mmeshapewa tayari Maujanja hivyo yawasilisheni Kwake ili awe Huru.

Je, huyu Wakili Nguli yuko sahihi au?
Nonsense from bush lawyer

USSR

Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
 
"Kama unajuana na huyo Kijana Kato Rasta au Rasta Mayele aliyemchoma Kisu Afisa wa JWTZ Kanali Deogratius Muna mwambie akienda Mahakamani ajitetee kuwa baada ya Kupigwa Vibao na Afande huyo huku akitukanwa nae alimuona Afande Muna anajjshika Kiunoni akiashiria kutaka kutoa Pistol hivyo kwa kumjua kuwa alikuwa ni Mwanajeshi na Yeye Kato Rasta akaamua Kujilinda na kupelekea Umauti wako. Kato Rasta aseme kuwa ulikuwa ni Ugomvi hivyo kila Mtu akaamua Kujitetea. au Waambie Ndugu zake wanitafute na Nitamtetea na wala Hatofungwa. Kesi imekaa vizuri sana Kwake Kato Rasta kushinda ila Ajiamini na Asiogope kwani ni Kesi nyepesi sema tu inaonekana ni Kubwa na inatisha kwakuwa inamhusisha huyo Afisa wa JWTZ na huenda JWTZ nao wakaipambania japo kwa mazingira nao JWTZ haiwahusu sana kwakuwa Aliyekufa hakuwa Kazini kwa wakati huo na hakuvaa Sare zao hivyo ni Tukio la Uraiani ( Nje )" amesema Wakili Nguli ambaye GENTAMYCINE namhifadhi kwa sasa.

Haya Ndugu zake na Dogo Kato Rasta / Rasta Mayele mmeshapewa tayari Maujanja hivyo yawasilisheni Kwake ili awe Huru.

Je, huyu Wakili Nguli yuko sahihi au?
Wenye kesi za mauaji hupewa mawakili wa serikali ....rondom selection from private sector ( chama cha wanasheria) .....kesi ni kesi sio rahisi kama mbavyoamua uswazi....baada miaka 3 huko....sio leo hata!! Atakaa sana ndaniii......akipona saanaa ...kuua bila kukusudiaa....
 
"Kama unajuana na huyo Kijana Kato Rasta au Rasta Mayele aliyemchoma Kisu Afisa wa JWTZ Kanali Deogratius Muna mwambie akienda Mahakamani ajitetee kuwa baada ya Kupigwa Vibao na Afande huyo huku akitukanwa nae alimuona Afande Muna anajjshika Kiunoni akiashiria kutaka kutoa Pistol hivyo kwa kumjua kuwa alikuwa ni Mwanajeshi na Yeye Kato Rasta akaamua Kujilinda na kupelekea Umauti wako. Kato Rasta aseme kuwa ulikuwa ni Ugomvi hivyo kila Mtu akaamua Kujitetea. au Waambie Ndugu zake wanitafute na Nitamtetea na wala Hatofungwa. Kesi imekaa vizuri sana Kwake Kato Rasta kushinda ila Ajiamini na Asiogope kwani ni Kesi nyepesi sema tu inaonekana ni Kubwa na inatisha kwakuwa inamhusisha huyo Afisa wa JWTZ na huenda JWTZ nao wakaipambania japo kwa mazingira nao JWTZ haiwahusu sana kwakuwa Aliyekufa hakuwa Kazini kwa wakati huo na hakuvaa Sare zao hivyo ni Tukio la Uraiani ( Nje )" amesema Wakili Nguli ambaye GENTAMYCINE namhifadhi kwa sasa.

Haya Ndugu zake na Dogo Kato Rasta / Rasta Mayele mmeshapewa tayari Maujanja hivyo yawasilisheni Kwake ili awe Huru.

Je, huyu Wakili Nguli yuko sahihi au?
achana na mawakili waongo hao. anaongea wakati kilichoandikwa kwenye jalada si ukute ni tofauti, akijichanganay anafungwa kunyongwa wakati wakili anaenda zake home. kwa kifupi ni kwamba kesi zote za mauaji hata kama hauna uwezo kuajiri wakili, serikali huwa inamlipa wakili kwa ajili yako. na utetezi pekee alionao yeye hapo, kwa uzoefu wangu na picha ninayoiona hata kama sijaona jalada, ni either provocation na kesi itashuka toka murder kuwa manslaughter, na atakaa gerezani kwa muda fulani. adhabu ya juu ya manslaughter ni life imprisonment, ila kulingana na circumstances inaweza kushuka hadi miaka kadhaa.

asije kujaribu kuweka self-defence, wakati ametumia excessive force, pia asije kujiroga wakati kesi inashushwa kwenda manslaughter akagoma kwamba anataka murder iendelee ili awe acquitted, atakuwa kwenye hatihati ya fiftyfifty kwasababu kesi na influence ya wajeda wataifuatilia hadi mwisho.

nilikiuwa naangalia kama kuna transferred malice, ila naona ipo mbali sana kwasababu kwa story ilyotolewa humu inaonekana kisu alichotumia kumuua mjeda alikuwa amekiandaa kabisa kwenda kumchomea mwizi wa bajaji yake hivyo mjeda aliambulia tu.

pia kwenye haya mambo, watu wameongea mengi, shetani/mchawi akiamua kukutafuta atakutafutia sababu kibao, kama mjeda alikua amepandishwa cheo anaenda kureport, imebaki siku moja aondoke ndio ameenda kutengeneza gari ya kusafiria, ndo mauti inamkuta hapo, kwa wabongo ni ngumu kuamini kwamba hapakuwa na mtego wa mwindaji kwenye ulimwengu wa roho. nawaza tu kitanzania. kato si ukute ameambulia tu ila kuna mtu alisharusha ndumba hapo anakitaka icho cheo. ndo maana tunawaambia watu wakae na Mungu, hakuna uchawi ukimwamini Yesu Kristo, wachawi wakisikia Jina la Yesu wanakimbia hadi wanajisaidia ovyo. Okokeni, kuna faida nyingi hata kama hautapata mengi ya dunia hii.
 
achana na mawakili waongo hao. anaongea wakati kilichoandikwa kwenye jalada si ukute ni tofauti, akijichanganay anafungwa kunyongwa wakati wakili anaenda zake home. kwa kifupi ni kwamba kesi zote za mauaji hata kama hauna uwezo kuajiri wakili, serikali huwa inamlipa wakili kwa ajili yako. na utetezi pekee alionao yeye hapo, kwa uzoefu wangu na picha ninayoiona hata kama sijaona jalada, ni either provocation na kesi itashuka toka murder kuwa manslaughter, na atakaa gerezani kwa muda fulani. adhabu ya juu ya manslaughter ni life imprisonment, ila kulingana na circumstances inaweza kushuka hadi miaka kadhaa.

asije kujaribu kuweka self-defence, wakati ametumia excessive force, pia asije kujiroga wakati kesi inashushwa kwenda manslaughter akagoma kwamba anataka murder iendelee ili awe acquitted, atakuwa kwenye hatihati ya fiftyfifty kwasababu kesi na influence ya wajeda wataifuatilia hadi mwisho.

nilikiuwa naangalia kama kuna transferred malice, ila naona ipo mbali sana kwasababu kwa story ilyotolewa humu inaonekana kisu alichotumia kumuua mjeda alikuwa amekiandaa kabisa kwenda kumchomea mwizi wa bajaji yake hivyo mjeda aliambulia tu.

pia kwenye haya mambo, watu wameongea mengi, shetani/mchawi akiamua kukutafuta atakutafutia sababu kibao, kama mjeda alikua amepandishwa cheo anaenda kureport, imebaki siku moja aondoke ndio ameenda kutengeneza gari ya kusafiria, ndo mauti inamkuta hapo, kwa wabongo ni ngumu kuamini kwamba hapakuwa na mtego wa mwindaji kwenye ulimwengu wa roho. nawaza tu kitanzania. kato si ukute ameambulia tu ila kuna mtu alisharusha ndumba hapo anakitaka icho cheo. ndo maana tunawaambia watu wakae na Mungu, hakuna uchawi ukimwamini Yesu Kristo, wachawi wakisikia Jina la Yesu wanakimbia hadi wanajisaidia ovyo. Okokeni, kuna faida nyingi hata kama hautapata mengi ya dunia hii.
Hivi GENTAMYCINE nisingechokoza kama nilivyofanya ili nipate hii Elimu yenu Kubwa Legal Gurus kama Wewe ningepata wapi haya Madini yako mapana ya Uzoefu wako mkubwa wa Kisheria?

Mkuu Heko sana uko vyema Kisheria.
 
Kuna kitu sijaelewa GENTAMYCIME labda unisaidie, taarifa ya awali iliyoletwa hapa jamii forum ni kua Rasta kati au mayele alikamatwa tu baada ya kufanya lile tukio, mkasema wanajeshi Wanamtaka mhalifu ila polisi wamekataa kuwapa mhalifu huyo

Jana au juzi naona taarifa kua jamaa ndo kakamatwa....

Je alitoroka?
Acha Shobo jadili cha sasa na kilichopo sawa?
 
Hoja ya hovyo kabisa,kwanini?
1.kama afisa hakuvaa sare za jeshi,muuaji alijuaje kama mtu anaetaka kupambana nae ni askari?
2.muuaji aliiona hyo pistol kwa marehemu?
3.je,ni kweli kwa muda huo marehemu alikuwa na pistol?(swali litajibiwa na watu wa familia yake pamoja na watu waliompeleka marehemu hospital baada ya tukio)
 
Hoja ya hovyo kabisa,kwanini?
1.kama afisa hakuvaa sare za jeshi,muuaji alijuaje kama mtu anaetaka kupambana nae ni askari?
2.muuaji aliiona hyo pistol kwa marehemu?
3.je,ni kweli kwa muda huo marehemu alikuwa na pistol?(swali litajibiwa na watu wa familia yake pamoja na watu waliompeleka marehemu hospital baada ya tukio)
nakazia.
 
achana na mawakili waongo hao. anaongea wakati kilichoandikwa kwenye jalada si ukute ni tofauti, akijichanganay anafungwa kunyongwa wakati wakili anaenda zake home. kwa kifupi ni kwamba kesi zote za mauaji hata kama hauna uwezo kuajiri wakili, serikali huwa inamlipa wakili kwa ajili yako. na utetezi pekee alionao yeye hapo, kwa uzoefu wangu na picha ninayoiona hata kama sijaona jalada, ni either provocation na kesi itashuka toka murder kuwa manslaughter, na atakaa gerezani kwa muda fulani. adhabu ya juu ya manslaughter ni life imprisonment, ila kulingana na circumstances inaweza kushuka hadi miaka kadhaa.

asije kujaribu kuweka self-defence, wakati ametumia excessive force, pia asije kujiroga wakati kesi inashushwa kwenda manslaughter akagoma kwamba anataka murder iendelee ili awe acquitted, atakuwa kwenye hatihati ya fiftyfifty kwasababu kesi na influence ya wajeda wataifuatilia hadi mwisho.

nilikiuwa naangalia kama kuna transferred malice, ila naona ipo mbali sana kwasababu kwa story ilyotolewa humu inaonekana kisu alichotumia kumuua mjeda alikuwa amekiandaa kabisa kwenda kumchomea mwizi wa bajaji yake hivyo mjeda aliambulia tu.

pia kwenye haya mambo, watu wameongea mengi, shetani/mchawi akiamua kukutafuta atakutafutia sababu kibao, kama mjeda alikua amepandishwa cheo anaenda kureport, imebaki siku moja aondoke ndio ameenda kutengeneza gari ya kusafiria, ndo mauti inamkuta hapo, kwa wabongo ni ngumu kuamini kwamba hapakuwa na mtego wa mwindaji kwenye ulimwengu wa roho. nawaza tu kitanzania. kato si ukute ameambulia tu ila kuna mtu alisharusha ndumba hapo anakitaka icho cheo. ndo maana tunawaambia watu wakae na Mungu, hakuna uchawi ukimwamini Yesu Kristo, wachawi wakisikia Jina la Yesu wanakimbia hadi wanajisaidia ovyo. Okokeni, kuna faida nyingi hata kama hautapata mengi ya dunia hii.
Noted Advocate
 
Kuna kitu sijaelewa GENTAMYCIME labda unisaidie, taarifa ya awali iliyoletwa hapa jamii forum ni kua Rasta kati au mayele alikamatwa tu baada ya kufanya lile tukio, mkasema wanajeshi Wanamtaka mhalifu ila polisi wamekataa kuwapa mhalifu huyo

Jana au juzi naona taarifa kua jamaa ndo kakamatwa....

Je alitoroka?
Hata mm ndonajua ivyo kumbe ilikuwa ni uongo.
 
Inategemea na namna alivyomchoma, alichoma Hilo bisu mara ngapi na sehemu zipi. Lakini mara baada ya tukio Hilo bwana Kato kakimbia na hakuwahi kujisalimisha hata mara baada ya hali ya mambo kutulia. Japo pia murder case always ni ngumu upande wa jamhuri!
 
Back
Top Bottom