Peter Madeleka: DPP acha kupotosha umma, hakuna sheria inayomzuia wakili kuweka nyaraka mitandaoni

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Jul 21, 2021
1,126
4,169
Nataka kumwambia DPP aache KUPOTOSHA UMMA. Hakuna SHERIA yoyote inayomzuia WAKILI kuweka NYARAKA kwenye MTANDAO. Kama DPP anataka kuwa MWANAHARAKATI wa KUMTETEA ndugu PAULINE GEKUL, basi, AACHE Ofisi ya Umma na AJE TUPAMBANE JUKWAANI.

Ni muhimu JAMII ifahamu kwamba, HASHIM ALLY hakuridhika na kitendo cha DPP kuiondoa MAHAKAMANI kesi ya JINAI dhidi ya PAULINE GEKUL. Hivyo AMEKATA RUFAA. Kama DPP anadhani alikuwa SAHIHI kufanya alivyofanya, basi TUKUTANE MAHAKAMANI

Alichokisema DPP
 
Madereka ni moja kati ya majitu ya hovyo hovyo sana, ndio maana akina Kibatala wamejitenga naye, hajawahi kushinda hata kesi moja.
 
Nataka kumwambia DPP aache KUPOTOSHA UMMA. Hakuna SHERIA yoyote inayomzuia WAKILI kuweka NYARAKA kwenye MTANDAO. Kama DPP anataka kuwa MWANAHARAKATI wa KUMTETEA ndugu PAULINE GEKUL, basi, AACHE Ofisi ya Umma na AJE TUPAMBANE JUKWAANI.

Ni muhimu JAMII ifahamu kwamba, HASHIM ALLY hakuridhika na kitendo cha DPP kuiondoa MAHAKAMANI kesi ya JINAI dhidi ya PAULINE GEKUL. Hivyo AMEKATA RUFAA. Kama DPP anadhani alikuwa SAHIHI kufanya alivyofanya, basi TUKUTANE MAHAKAMANI

Alichokisema DPP
View attachment 2862353
Huyu babu alipandaje mpk akawa DPP?
 
Halafu huyu DPP ana conflict of interest kuifuta hiyo kesi hasa ukizingatia kwamba Ghekul alikuwa naibu wazuri wa sheria, mwenye kuifuta kesi ndio mwendesha mashtaka ya kisheria. Hapa office hii ya DPP ilipaswa kujiweka Kando na kesi hii na kuwateuwa private attorneys waiendeshe bila kuwaingilia…
Ni ajabu sana Kwa DPP mwenye kujua hiyo conflict of interest ilivyokaa kuingilia kesi au kutokum- recuse himself ktk kesi hii…
Sasa na tuone huko kwenye rufaa kumekaaje…
 
Hawa mapoyoyo ya sheria kama Madeleka. Mwabukusi: et al wamepata ng’ombe wa maziwa kupitia ‘Sauti ya watanzania’ and they aim to fleece them as they can.

Kisheria kama serikali kama serikali aina shida ya kumshitaki ya Gekul.

Madeleka angeweza kufungua civil case dhidi ya Gekul kutaka kuona haki ya dogo inapatilana.

Hawa watu msiangaike nao hasa Madeleka, Mwakabusi au Dr Slaa; hizi jitihada zao uchwara ni kwa mantiki ya kukomba michango ya mapoyoyo ya sauti ya watanzania (a bunch of confused diaspora) lakini hao watu wanaowachangia ain’t shit.

Madeleka. Mwakabusi tells you hata huko ulaya kumejaa mitanzania mijinga tu.

Halafu huko najiamini hakuna fala wa kwenda toe to with toe with.

A bunch of stupid ambao Madeleka, Lissu na Mwabukusi wanawalia hela; ndio maana wanatafuta matukio.

Stupid sauti ya watanzania
 
Hawa mapoyoyo ya sheria kama Madeleka. Mwabukusi: et al wamepata ng’ombe wa maziwa kupitia ‘Sauti ya watanzania’ and they aim to fleece them as they can.

Kisheria kama serikali kama serikali aina shida ya kumshitaki ya Gekul.

Madeleka angeweza kufungua civil case dhidi ya Gekul kutaka kuona haki ya dogo inapatilana.

Hawa watu msiangaike nao hasa Madeleka, Mwakabusi au Dr Slaa; hizi jitihada zao uchwara ni kwa mantiki ya kukomba michango ya mapoyoyo ya sauti ya watanzania (a bunch of confused diaspora) lakini hao watu wanaowachangia ain’t shit.

Madeleka. Mwakabusi tells you hata huko ulaya kumejaa mitanzania mijinga tu.

Halafu huko najiamini hakuna fala wa kwenda toe to with toe with.

A bunch of stupid ambao Madeleka, Lissu na Mwabukusi wanawalia hela; ndio maana wanatafuta matukio.

Stupid sauti ya watanzania
Bado haujasema na utasema Yani Bado hujasema

Sent from my Pixel 6 Pro using JamiiForums mobile app
 
Serikali aina nia ya kufungua kitu kinacho mzuia Madeleka kufungua civil case dhidi ya Gekul.

Ni ujinga kwa serikali kupoteza muda na wapumbavu ya kikundi cha sauti ya watanzania ni kikundi cha bored diaspora ujinga tupu wanaochangishana kama kanisa la Mwamposa.
 
Bado haujasema na utasema Yani Bado hujasema

Sent from my Pixel 6 Pro using JamiiForums mobile app
Like seriously kama Madeleka ana uchungu wa huyo dogo kupata haki ni kipi kinachomzuia kutafuta ushahidi na kufungua civil case zidi ya Gekul.

Hana huo uelewa wa sheria zaidi ya kukusanya michango ya mapoyoyo ya diaspora ya sauti ya watanzania kama vile anafanya; mijamaa mifala kweli.

Sio kwa sababu watu wapo nje ya nchi ya nchi unadhani wote wana akili:sauti ya watanzania ni bunch of bored useless individual huko walipo. Na kuna watu wamepata namna ya kula hela zao (mind you wachangiaji hawana hasara ni hela ndogo)

But then ni mijitu mijinga kwa umoja wao
 
As a nation rudini kwenye drawing board

Hata sijui hiyo nchi kuna kitu gani imebibea kitaalamu.

Kwa mijadala ya IGA iliyokuwa ikiendelea Tanzania hakuna mwanasheria wa kushinda kesi ulaya; Japo IGA ni standard agreement huko Kwenye value exchange ambapo kuna mikataba ya siri tumetandikwa kisasa sawa.

Haya mambo yanaanza na watu kama kina Mwabukusi kututoa kwenye hoja za msingi na kuanza kusiiiliza ujinga wao.
 
Vitamgeukia tu....hakuna shirki milele....ipo siku itamgeukia....sasa watu hawaendi kuhotel chake hakuna kupeleka ma bus hapo hata kama amefukia kichwa cha mtu kwa uchawi hatuendiiii
Ana guest yake karibu na stand mpya chini nilienda pale kulala eti chumba elfu 70 hakuna hata Fance pakijinga kweli
 
Hawa mapoyoyo ya sheria kama Madeleka. Mwabukusi: et al wamepata ng’ombe wa maziwa kupitia ‘Sauti ya watanzania’ and they aim to fleece them as they can.

Kisheria kama serikali kama serikali aina shida ya kumshitaki ya Gekul.

Madeleka angeweza kufungua civil case dhidi ya Gekul kutaka kuona haki ya dogo inapatilana.

Hawa watu msiangaike nao hasa Madeleka, Mwakabusi au Dr Slaa; hizi jitihada zao uchwara ni kwa mantiki ya kukomba michango ya mapoyoyo ya sauti ya watanzania (a bunch of confused diaspora) lakini hao watu wanaowachangia ain’t shit.

Madeleka. Mwakabusi tells you hata huko ulaya kumejaa mitanzania mijinga tu.

Halafu huko najiamini hakuna fala wa kwenda toe to with toe with.

A bunch of stupid ambao Madeleka, Lissu na Mwabukusi wanawalia hela; ndio maana wanatafuta matukio.

Stupid sauti ya watanzania

Bado hujaropoka wewe mnafiki. Watu wakifanya harakati mnawatukana walikaa kimya mnawatukana. Very stupid
 
Back
Top Bottom