Mabadiliko ya Sheria ya Uchaguzi: Je Tupige Ndege Wawili kwa Jiwe Moja kwa Uchaguzi Serikali za Mitaa/Mkuu, Ufanyike Siku Moja au Tuendeleze Mazoea?

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,498
113,604
Wanabodi,

Tume Huru.png

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu elimishi kwa Maslahi ya Taifa, ambazo ni kuhusu jambo lolote la Kisiasa, Kiuchumi au Kijamii . Bandiko la leo ni bandiko muendelezo Mnaonaje Uchaguzi wa Serikali za Mtaa Ufanywe Siku Moja na Uchaguzi Mkuu na Usimamiwe na Tume Huru ya Uchaguzi? Samia Atabarikiwa Sana!

Mabadiliko haya ya sheria yanaletwa katika mkutano wa Bunge hili, hivyo huu ni ushauri kwa Rais Samia na serikali yake, katika kubadili sheria ya uchaguzi, na kuunda Tume Huru ya Uchaguzi, nashauri jee tupige ndege wawili kwa jiwe moja?, au tuendelee kufanya chaguzi zetu kwa mazoea?

Ndege wa kwanza ni uchaguzi wa serikali za mitaa, usifanyike tena mwaka 2024 wala usisimamiwe tena na Tamisemi, na badala yake ufanyike mwaka 2025 pamoja na uchaguzi Mkuu na kusimamiwa na Tume huru na Shirikishi ya Uchaguzi.

Maendeleo ya kweli na maendeleo endelevu ni kukubali kubadilika kwa kwenda na wakati uliopo, tuache kufanya vitu kwa mazoea!

Tangu tumeanza kufanya chaguzi zetu, Tanzania tumekuwa tukifanya chaguzi mbili tofauti kwa muda tofauti, zikitumia sheria mbili tofauti na kusimamiwa na mamlaka mbili tofauti.

Chaguzi hizi ni uchaguzi wa serikali za mitaa ambao hufanyika mwaka mmoja kabla ya uchaguzi Mkuu, na husimamiwa na Tamisemi, huku ndiko madudu ya ajabu ya ukiukwaji wa demokrasia kuanzia.

Chama kinachoshinda serikali za mitaa, ndicho chama kinachokuja kushinda uchaguzi Mkuu unaofuata.

Ukiondoa chama kikubwa, na chama kikongwe CCM, vyama vingine vyote vya upinzani Tanzania ni vyama cha mtoto, viko too myopic havioni mbali, vinajikita kujipanga kwa nguvu kubwa kujiandaa kwa uchaguzi Mkuu wa 2025, kumbe mchezo haswa hufanywa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.

Kwa vile Rais wetu Samia, ameonyesha nia njema ya dhati kwa mawazo, maneno na matendo, kuwatendea haki Watanzania, kwa kukubali kufanya mabadiliko ya sheria ya uchaguzi, na kuunda Tume huru na Shirikishi ya u
Uchaguzi, Mnaonaje kama kwenye mabadiliko haya ya sheria yanayokuja, tutapiga ndege wawili kwa jiwe moja?.

Kwanza naendelea kusisitiza
kufanya mabadiliko ya sheria bila mabadiliko ya katiba, ni sawa na kula bila kunawa, hivyo tunaipongeza serikali yetu kukubali kubadili sheria ya uchaguzi na kutupatia tume huru ya uchaguzi, ila nashauri tuanze kwanza mabadiliko ya katiba ndipo twende kwenye sheria!

Pendekezo la pili, ni tufanye uchaguzi wote kwa siku moja, na kusimamiwa na Tume moja huru ya uchaguzi. Kama Zanzibar wanaweza kufanya chaguzi 5 kwa siku moja, Tanzania hatuwezi kushindwa kufanya chaguzi 4 kwa siku moja!. Mnaonaje Uchaguzi wa Serikali za Mtaa Ufanywe Siku Moja na Uchaguzi Mkuu na Usimamiwe na Tume Huru ya Uchaguzi? Samia Atabarikiwa Sana!

Hakuna haja ya kufanya uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2024 halafu uchaguzi Mkuu 2025, kwa sasa tufanye mabadiliko ya katiba na sheria, halafu 2025 tufanye chaguzi zote 4 kwa siku moja, Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge, Madiwani na serikali za mitaa.

Kwa vile msingi mkuu na matatizo makuu ya uendeshaji wa siasa zetu yako kwenye katiba, katiba ndio kichwa cha yote na mengine yote ni kiwiliwili.

Kwa vile kuna mchakato wa katiba mpya utakaanza hivi karibuni, lakini kwa minaajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa wa 2024 na uchaguzi Mkuu wa 2025, tuanze na mabadiliko ya katiba hii hii iliyopo kwa kuibadilisha kwa hati ya dharura, ndipo tuje kwenye mabadiliko ya sheria za uchaguzi na kurekebisha Tume ya Uchaguzi tuunde Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi.

Bandiko hili ni bandiko
mwendelezo wa bandiko hili Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!. Je Watanzania Tuna Haraka Sana na Uchaguzi Hadi Tukimbilie Kula Bila Kunawa?

Hitimisho,
Kwenye mabadiliko haya ya Sheria ya Uchaguzi yanayotarajiwa kuletwa Bungeni kwa hati ya dharura kwenye mkutano huu, mnaonaje tukimshauri Rais Samia tupige ndege wawili kwa jiwe moja, kwa kufanya uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi Mkuu kwa siku moja au tuendelee na mazoea?.

Naamini kabisa Rais Samia ana nia njema kuwatendea haki Watanzania, na rais msikivu akiongoza serikali yetu ni serikali sikivu.

Pia naomba kutoa angalizo la kitu kinachoitwa karma ambacho viongozi wetu hawakijui na matokeo ya kuidharau karma.

Kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi Mkuu 2020, nilitoa ombi fulani humu jukwaani lenye kitu kiitwacho karmic consequencesOmbi Maalum, Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa 2020, Uendeshwe kwa Ceteris Peribus, Sio Kwa Mutatis Mutandis. Tutabarikiwa! kwenye bandiko hilo nilizungumzia karma ya nini kitatokea iwapo ushauri huo usipotekelezwa!, hivyo hata ikitokea ushauri huu nao ukapuuzwa kama ushauri ule, pia hakuna shida, mimi kwa upande wangu nitakuwa nimetimiza wajibu wangu.

Wasalaam.

Paskali
 
Uchaguzi wa mitaa ubaki hukohuko, Local Government saizi yao, pia unatusaidia kusoma upepo wa wananchi ili uchaguzi mkuu, tuwe tunajua wapi panavuja
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu elimishi kwa Maslahi ya Taifa, ambazo ni kuhusu jambo lolote la Kisiasa, Kiuchumi au Kijamii . Bandiko la leo ni ushauri kwa Rais Samia na serikali yake, katika kubadili sheria ya uchaguzi, na kuunda Tume Huru ya Uchaguzi, nashauri jee tupige ndege wawili kwa jiwe moja?, au tuendelee kufanya chaguzi zetu kwa mazoea?.

Ndege wa kwanza ni uchaguzi wa serikali za mitaa, usifanyike tena mwaka 2024 wala usisimamiwe tena na Tamisemi, na badala yake ufanyike mwaka 2025 pamoja na uchaguzi Mkuu na kusimamiwa na Tume huru na Shirikishi ya Uchaguzi.

Maendeleo ya kweli na maendeleo endelevu ni kukubali kubadilika kwa kwenda na wakati uliopo, tuache kufanya vitu kwa mazoea!

Tangu tumeanza kufanya chaguzi zetu, Tanzania tumekuwa tukifanya chaguzi mbili tofauti kwa muda tofauti, zikitumia sheria mbili tofauti na kusimamiwa na mamlaka mbili tofauti.

Chaguzi hizi ni uchaguzi wa serikali za mitaa ambao hufanyika mwaka mmoja kabla ya uchaguzi Mkuu, na husimamiwa na Tamisemi, huku ndiko madudu ya ajabu ya ukiukwaji wa demokrasia kuanzia.

Chama kinachoshinda serikali za mitaa, ndicho chama kinachokuja kushinda uchaguzi Mkuu unaofuata.

Ukiondoa chama kikubwa, na chama kikongwe CCM, vyama vingine vyote vya upinzani Tanzania ni vyama cha mtoto, viko too myopic havioni mbali, vinajikita kujipanga kwa nguvu kubwa kujiandaa kwa uchaguzi Mkuu wa 2025, kumbe mchezo haswa hufanywa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.

Kwa vile Rais wetu Samia, ameonyesha nia njema ya dhati kwa mawazo, maneno na matendo, kuwatendea haki Watanzania, kwa kukubali kufanya mabadiliko ya sheria ya uchaguzi, na kuunda Tume huru na Shirikishi ya u
Uchaguzi, Mnaonaje kama kwenye mabadiliko haya ya sheria yanayokuja, tutapiga ndege wawili kwa jiwe moja?.

Kwanza naendelea kusisitiza
kufanya mabadiliko ya sheria bila mabadiliko ya katiba, ni sawa na kula bila kunawa, hivyo tunaipongeza serikali yetu kukubali kubadili sheria ya uchaguzi na kutupatia tume huru ya uchaguzi, ila nashauri tuanze kwanza mabadiliko ya katiba ndipo twende kwenye sheria!.

Pendekezo la pili, ni tufanye uchaguzi wote kwa siku moja, na kusimamiwa na Tume moja huru ya uchaguzi. Kama Zanzibar wanaweza kufanya chaguzi 5 kwa siku moja, Tanzania hatuwezi kushindwa kufanya chaguzi 4 kwa siku moja!. Mnaonaje Uchaguzi wa Serikali za Mtaa Ufanywe Siku Moja na Uchaguzi Mkuu na Usimamiwe na Tume Huru ya Uchaguzi? Samia Atabarikiwa Sana!

Hakuna haja ya kufanya uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2024 halafu uchaguzi Mkuu 2025, kwa sasa tufanye mabadiliko ya katiba na sheria, halafu 2025 tufanye chaguzi zote 4 kwa siku moja, Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge, Madiwani na serikali za mitaa.

Kwa vile msingi mkuu na matatizo makuu ya uendeshaji wa siasa zetu yako kwenye katiba, katiba ndio kichwa cha yote na mengine yote ni kiwiliwili.

Kwa vile kuna mchakato wa katiba mpya utakaanza hivi karibuni, lakini kwa minaajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa wa 2024 na uchaguzi Mkuu wa 2025, tuanze na mabadiliko ya katiba hii hii iliyopo kwa kuibadilisha kwa hati ya dharura, ndipo tuje kwenye mabadiliko ya sheria za uchaguzi na kurekebisha Tume ya Uchaguzi tuunde Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi.

Bandiko hili ni bandiko
mwendelezo wa bandiko hili Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!. Je Watanzania Tuna Haraka Sana na Uchaguzi Hadi Tukimbilie Kula Bila Kunawa?

Hitimisho,
Kwenye mabadiliko haya ya Sheria ya Uchaguzi yanayotarajiwa kuletwa Bungeni kwa hati ya dharura kwenye mkutano huu, mnaonaje tukimshauri Rais Samia tupige ndege wawili kwa jiwe moja, kwa kufanya uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi Mkuu kwa siku moja au tuendelee na mazoea?.

Naamini kabisa Rais Samia ana nia njema kuwatendea haki Watanzania, na rais msikivu akiongoza serikali yetu ni serikali sikivu.

Pia naomba kutoa angalizo la kitu kinachoitwa karma ambacho viongozi wetu hawakijui na matokeo ya kuidharau karma.

Kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi Mkuu 2020, militia ombi hili humu jukwaani Ombi Maalum, Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa 2020, Uendeshwe kwa Ceteris Peribus, Sio Kwa Mutatis Mutandis. Tutabarikiwa! kwenye bandiko hilo nilizungumzia karma ya nini kitatokea iwapo ushauri huo usipotekelezwa!, hivyo hata ikitokea ushauri huu nao ukapuuzwa kama ushauri ule, pia hakuna shida, mimi kwa upande wangu nitakuwa nimetimiza wajibu wangu.

Wasalaam.

Paskali
Siku Moja au iwe siku 2 mfululizo
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu elimishi kwa Maslahi ya Taifa, ambazo ni kuhusu jambo lolote la Kisiasa, Kiuchumi au Kijamii . Bandiko la leo ni bandiko muendelezo Mnaonaje Uchaguzi wa Serikali za Mtaa Ufanywe Siku Moja na Uchaguzi Mkuu na Usimamiwe na Tume Huru ya Uchaguzi? Samia Atabarikiwa Sana!

Mabadiliko haya ya sheria yanaletwa katika mkutano wa Bunge hili, hivyo huu ni ushauri kwa Rais Samia na serikali yake, katika kubadili sheria ya uchaguzi, na kuunda Tume Huru ya Uchaguzi, nashauri jee tupige ndege wawili kwa jiwe moja?, au tuendelee kufanya chaguzi zetu kwa mazoea?.

Ndege wa kwanza ni uchaguzi wa serikali za mitaa, usifanyike tena mwaka 2024 wala usisimamiwe tena na Tamisemi, na badala yake ufanyike mwaka 2025 pamoja na uchaguzi Mkuu na kusimamiwa na Tume huru na Shirikishi ya Uchaguzi.

Maendeleo ya kweli na maendeleo endelevu ni kukubali kubadilika kwa kwenda na wakati uliopo, tuache kufanya vitu kwa mazoea!

Tangu tumeanza kufanya chaguzi zetu, Tanzania tumekuwa tukifanya chaguzi mbili tofauti kwa muda tofauti, zikitumia sheria mbili tofauti na kusimamiwa na mamlaka mbili tofauti.

Chaguzi hizi ni uchaguzi wa serikali za mitaa ambao hufanyika mwaka mmoja kabla ya uchaguzi Mkuu, na husimamiwa na Tamisemi, huku ndiko madudu ya ajabu ya ukiukwaji wa demokrasia kuanzia.

Chama kinachoshinda serikali za mitaa, ndicho chama kinachokuja kushinda uchaguzi Mkuu unaofuata.

Ukiondoa chama kikubwa, na chama kikongwe CCM, vyama vingine vyote vya upinzani Tanzania ni vyama cha mtoto, viko too myopic havioni mbali, vinajikita kujipanga kwa nguvu kubwa kujiandaa kwa uchaguzi Mkuu wa 2025, kumbe mchezo haswa hufanywa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.

Kwa vile Rais wetu Samia, ameonyesha nia njema ya dhati kwa mawazo, maneno na matendo, kuwatendea haki Watanzania, kwa kukubali kufanya mabadiliko ya sheria ya uchaguzi, na kuunda Tume huru na Shirikishi ya u
Uchaguzi, Mnaonaje kama kwenye mabadiliko haya ya sheria yanayokuja, tutapiga ndege wawili kwa jiwe moja?.

Kwanza naendelea kusisitiza
kufanya mabadiliko ya sheria bila mabadiliko ya katiba, ni sawa na kula bila kunawa, hivyo tunaipongeza serikali yetu kukubali kubadili sheria ya uchaguzi na kutupatia tume huru ya uchaguzi, ila nashauri tuanze kwanza mabadiliko ya katiba ndipo twende kwenye sheria!.

Pendekezo la pili, ni tufanye uchaguzi wote kwa siku moja, na kusimamiwa na Tume moja huru ya uchaguzi. Kama Zanzibar wanaweza kufanya chaguzi 5 kwa siku moja, Tanzania hatuwezi kushindwa kufanya chaguzi 4 kwa siku moja!. Mnaonaje Uchaguzi wa Serikali za Mtaa Ufanywe Siku Moja na Uchaguzi Mkuu na Usimamiwe na Tume Huru ya Uchaguzi? Samia Atabarikiwa Sana!

Hakuna haja ya kufanya uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2024 halafu uchaguzi Mkuu 2025, kwa sasa tufanye mabadiliko ya katiba na sheria, halafu 2025 tufanye chaguzi zote 4 kwa siku moja, Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge, Madiwani na serikali za mitaa.

Kwa vile msingi mkuu na matatizo makuu ya uendeshaji wa siasa zetu yako kwenye katiba, katiba ndio kichwa cha yote na mengine yote ni kiwiliwili.

Kwa vile kuna mchakato wa katiba mpya utakaanza hivi karibuni, lakini kwa minaajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa wa 2024 na uchaguzi Mkuu wa 2025, tuanze na mabadiliko ya katiba hii hii iliyopo kwa kuibadilisha kwa hati ya dharura, ndipo tuje kwenye mabadiliko ya sheria za uchaguzi na kurekebisha Tume ya Uchaguzi tuunde Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi.

Bandiko hili ni bandiko
mwendelezo wa bandiko hili Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!. Je Watanzania Tuna Haraka Sana na Uchaguzi Hadi Tukimbilie Kula Bila Kunawa?

Hitimisho,
Kwenye mabadiliko haya ya Sheria ya Uchaguzi yanayotarajiwa kuletwa Bungeni kwa hati ya dharura kwenye mkutano huu, mnaonaje tukimshauri Rais Samia tupige ndege wawili kwa jiwe moja, kwa kufanya uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi Mkuu kwa siku moja au tuendelee na mazoea?.

Naamini kabisa Rais Samia ana nia njema kuwatendea haki Watanzania, na rais msikivu akiongoza serikali yetu ni serikali sikivu.

Pia naomba kutoa angalizo la kitu kinachoitwa karma ambacho viongozi wetu hawakijui na matokeo ya kuidharau karma.

Kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi Mkuu 2020, militia ombi hili humu jukwaani Ombi Maalum, Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa 2020, Uendeshwe kwa Ceteris Peribus, Sio Kwa Mutatis Mutandis. Tutabarikiwa! kwenye bandiko hilo nilizungumzia karma ya nini kitatokea iwapo ushauri huo usipotekelezwa!, hivyo hata ikitokea ushauri huu nao ukapuuzwa kama ushauri ule, pia hakuna shida, mimi kwa upande wangu nitakuwa nimetimiza wajibu wangu.

Wasalaam.

Paskali
Tunataka katiba mpya

Na tume huru ya uchaguzi

Vinginevyo mwakani hatupigi kura
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu elimishi kwa Maslahi ya Taifa, ambazo ni kuhusu jambo lolote la Kisiasa, Kiuchumi au Kijamii . Bandiko la leo ni bandiko muendelezo Mnaonaje Uchaguzi wa Serikali za Mtaa Ufanywe Siku Moja na Uchaguzi Mkuu na Usimamiwe na Tume Huru ya Uchaguzi? Samia Atabarikiwa Sana!

Mabadiliko haya ya sheria yanaletwa katika mkutano wa Bunge hili, hivyo huu ni ushauri kwa Rais Samia na serikali yake, katika kubadili sheria ya uchaguzi, na kuunda Tume Huru ya Uchaguzi, nashauri jee tupige ndege wawili kwa jiwe moja?, au tuendelee kufanya chaguzi zetu kwa mazoea?.

Ndege wa kwanza ni uchaguzi wa serikali za mitaa, usifanyike tena mwaka 2024 wala usisimamiwe tena na Tamisemi, na badala yake ufanyike mwaka 2025 pamoja na uchaguzi Mkuu na kusimamiwa na Tume huru na Shirikishi ya Uchaguzi.

Maendeleo ya kweli na maendeleo endelevu ni kukubali kubadilika kwa kwenda na wakati uliopo, tuache kufanya vitu kwa mazoea!

Tangu tumeanza kufanya chaguzi zetu, Tanzania tumekuwa tukifanya chaguzi mbili tofauti kwa muda tofauti, zikitumia sheria mbili tofauti na kusimamiwa na mamlaka mbili tofauti.

Chaguzi hizi ni uchaguzi wa serikali za mitaa ambao hufanyika mwaka mmoja kabla ya uchaguzi Mkuu, na husimamiwa na Tamisemi, huku ndiko madudu ya ajabu ya ukiukwaji wa demokrasia kuanzia.

Chama kinachoshinda serikali za mitaa, ndicho chama kinachokuja kushinda uchaguzi Mkuu unaofuata.

Ukiondoa chama kikubwa, na chama kikongwe CCM, vyama vingine vyote vya upinzani Tanzania ni vyama cha mtoto, viko too myopic havioni mbali, vinajikita kujipanga kwa nguvu kubwa kujiandaa kwa uchaguzi Mkuu wa 2025, kumbe mchezo haswa hufanywa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.

Kwa vile Rais wetu Samia, ameonyesha nia njema ya dhati kwa mawazo, maneno na matendo, kuwatendea haki Watanzania, kwa kukubali kufanya mabadiliko ya sheria ya uchaguzi, na kuunda Tume huru na Shirikishi ya u
Uchaguzi, Mnaonaje kama kwenye mabadiliko haya ya sheria yanayokuja, tutapiga ndege wawili kwa jiwe moja?.

Kwanza naendelea kusisitiza
kufanya mabadiliko ya sheria bila mabadiliko ya katiba, ni sawa na kula bila kunawa, hivyo tunaipongeza serikali yetu kukubali kubadili sheria ya uchaguzi na kutupatia tume huru ya uchaguzi, ila nashauri tuanze kwanza mabadiliko ya katiba ndipo twende kwenye sheria!.

Pendekezo la pili, ni tufanye uchaguzi wote kwa siku moja, na kusimamiwa na Tume moja huru ya uchaguzi. Kama Zanzibar wanaweza kufanya chaguzi 5 kwa siku moja, Tanzania hatuwezi kushindwa kufanya chaguzi 4 kwa siku moja!. Mnaonaje Uchaguzi wa Serikali za Mtaa Ufanywe Siku Moja na Uchaguzi Mkuu na Usimamiwe na Tume Huru ya Uchaguzi? Samia Atabarikiwa Sana!

Hakuna haja ya kufanya uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2024 halafu uchaguzi Mkuu 2025, kwa sasa tufanye mabadiliko ya katiba na sheria, halafu 2025 tufanye chaguzi zote 4 kwa siku moja, Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge, Madiwani na serikali za mitaa.

Kwa vile msingi mkuu na matatizo makuu ya uendeshaji wa siasa zetu yako kwenye katiba, katiba ndio kichwa cha yote na mengine yote ni kiwiliwili.

Kwa vile kuna mchakato wa katiba mpya utakaanza hivi karibuni, lakini kwa minaajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa wa 2024 na uchaguzi Mkuu wa 2025, tuanze na mabadiliko ya katiba hii hii iliyopo kwa kuibadilisha kwa hati ya dharura, ndipo tuje kwenye mabadiliko ya sheria za uchaguzi na kurekebisha Tume ya Uchaguzi tuunde Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi.

Bandiko hili ni bandiko
mwendelezo wa bandiko hili Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!. Je Watanzania Tuna Haraka Sana na Uchaguzi Hadi Tukimbilie Kula Bila Kunawa?

Hitimisho,
Kwenye mabadiliko haya ya Sheria ya Uchaguzi yanayotarajiwa kuletwa Bungeni kwa hati ya dharura kwenye mkutano huu, mnaonaje tukimshauri Rais Samia tupige ndege wawili kwa jiwe moja, kwa kufanya uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi Mkuu kwa siku moja au tuendelee na mazoea?.

Naamini kabisa Rais Samia ana nia njema kuwatendea haki Watanzania, na rais msikivu akiongoza serikali yetu ni serikali sikivu.

Pia naomba kutoa angalizo la kitu kinachoitwa karma ambacho viongozi wetu hawakijui na matokeo ya kuidharau karma.

Kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi Mkuu 2020, militia ombi hili humu jukwaani Ombi Maalum, Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa 2020, Uendeshwe kwa Ceteris Peribus, Sio Kwa Mutatis Mutandis. Tutabarikiwa! kwenye bandiko hilo nilizungumzia karma ya nini kitatokea iwapo ushauri huo usipotekelezwa!, hivyo hata ikitokea ushauri huu nao ukapuuzwa kama ushauri ule, pia hakuna shida, mimi kwa upande wangu nitakuwa nimetimiza wajibu wangu.

Wasalaam.

Paskali
tutakuwa na malalamiko mengi sana,kujizonga alafu usifananishe zanzibar na bara coz geopraphical bara ni kubwa hata population yake ni mara 3 ya zanzibar japo faida itakuwepo kweny bajet reduction.
 
Waongeze vigezo vya washiriki katika hizi chaguzi.

Serikali za Mitaa iwe lazima mtu awe na Astashahada Kikomo cha miaka 5

Udiwani iwe lazima mtu awe na stashahada Kikomo cha Miaka 10

Ubunge iwe lazima Shahada, uwe na kikomo cha miaka 15

Urais iwe lazima mtu awe na Shahada

Hivyo vyote viwe kwenye vyuo vinavyotambulika na TCU

Wote lazima waandike mali walizo nazo na kuziweka hadharani kabla ya kupitishwa

Wagombea huru wawe

Viti maalumu waondolewe maana hawana msaada katika taifa

Majimbo ya Uchaguzi yawekwe kutokana na idadi ya watu angalau
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu elimishi kwa Maslahi ya Taifa, ambazo ni kuhusu jambo lolote la Kisiasa, Kiuchumi au Kijamii . Bandiko la leo ni bandiko muendelezo Mnaonaje Uchaguzi wa Serikali za Mtaa Ufanywe Siku Moja na Uchaguzi Mkuu na Usimamiwe na Tume Huru ya Uchaguzi? Samia Atabarikiwa Sana!

Mabadiliko haya ya sheria yanaletwa katika mkutano wa Bunge hili, hivyo huu ni ushauri kwa Rais Samia na serikali yake, katika kubadili sheria ya uchaguzi, na kuunda Tume Huru ya Uchaguzi, nashauri jee tupige ndege wawili kwa jiwe moja?, au tuendelee kufanya chaguzi zetu kwa mazoea?.

Ndege wa kwanza ni uchaguzi wa serikali za mitaa, usifanyike tena mwaka 2024 wala usisimamiwe tena na Tamisemi, na badala yake ufanyike mwaka 2025 pamoja na uchaguzi Mkuu na kusimamiwa na Tume huru na Shirikishi ya Uchaguzi.

Maendeleo ya kweli na maendeleo endelevu ni kukubali kubadilika kwa kwenda na wakati uliopo, tuache kufanya vitu kwa mazoea!

Tangu tumeanza kufanya chaguzi zetu, Tanzania tumekuwa tukifanya chaguzi mbili tofauti kwa muda tofauti, zikitumia sheria mbili tofauti na kusimamiwa na mamlaka mbili tofauti.

Chaguzi hizi ni uchaguzi wa serikali za mitaa ambao hufanyika mwaka mmoja kabla ya uchaguzi Mkuu, na husimamiwa na Tamisemi, huku ndiko madudu ya ajabu ya ukiukwaji wa demokrasia kuanzia.

Chama kinachoshinda serikali za mitaa, ndicho chama kinachokuja kushinda uchaguzi Mkuu unaofuata.

Ukiondoa chama kikubwa, na chama kikongwe CCM, vyama vingine vyote vya upinzani Tanzania ni vyama cha mtoto, viko too myopic havioni mbali, vinajikita kujipanga kwa nguvu kubwa kujiandaa kwa uchaguzi Mkuu wa 2025, kumbe mchezo haswa hufanywa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.

Kwa vile Rais wetu Samia, ameonyesha nia njema ya dhati kwa mawazo, maneno na matendo, kuwatendea haki Watanzania, kwa kukubali kufanya mabadiliko ya sheria ya uchaguzi, na kuunda Tume huru na Shirikishi ya u
Uchaguzi, Mnaonaje kama kwenye mabadiliko haya ya sheria yanayokuja, tutapiga ndege wawili kwa jiwe moja?.

Kwanza naendelea kusisitiza
kufanya mabadiliko ya sheria bila mabadiliko ya katiba, ni sawa na kula bila kunawa, hivyo tunaipongeza serikali yetu kukubali kubadili sheria ya uchaguzi na kutupatia tume huru ya uchaguzi, ila nashauri tuanze kwanza mabadiliko ya katiba ndipo twende kwenye sheria!.

Pendekezo la pili, ni tufanye uchaguzi wote kwa siku moja, na kusimamiwa na Tume moja huru ya uchaguzi. Kama Zanzibar wanaweza kufanya chaguzi 5 kwa siku moja, Tanzania hatuwezi kushindwa kufanya chaguzi 4 kwa siku moja!. Mnaonaje Uchaguzi wa Serikali za Mtaa Ufanywe Siku Moja na Uchaguzi Mkuu na Usimamiwe na Tume Huru ya Uchaguzi? Samia Atabarikiwa Sana!

Hakuna haja ya kufanya uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2024 halafu uchaguzi Mkuu 2025, kwa sasa tufanye mabadiliko ya katiba na sheria, halafu 2025 tufanye chaguzi zote 4 kwa siku moja, Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge, Madiwani na serikali za mitaa.

Kwa vile msingi mkuu na matatizo makuu ya uendeshaji wa siasa zetu yako kwenye katiba, katiba ndio kichwa cha yote na mengine yote ni kiwiliwili.

Kwa vile kuna mchakato wa katiba mpya utakaanza hivi karibuni, lakini kwa minaajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa wa 2024 na uchaguzi Mkuu wa 2025, tuanze na mabadiliko ya katiba hii hii iliyopo kwa kuibadilisha kwa hati ya dharura, ndipo tuje kwenye mabadiliko ya sheria za uchaguzi na kurekebisha Tume ya Uchaguzi tuunde Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi.

Bandiko hili ni bandiko
mwendelezo wa bandiko hili Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!. Je Watanzania Tuna Haraka Sana na Uchaguzi Hadi Tukimbilie Kula Bila Kunawa?

Hitimisho,
Kwenye mabadiliko haya ya Sheria ya Uchaguzi yanayotarajiwa kuletwa Bungeni kwa hati ya dharura kwenye mkutano huu, mnaonaje tukimshauri Rais Samia tupige ndege wawili kwa jiwe moja, kwa kufanya uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi Mkuu kwa siku moja au tuendelee na mazoea?.

Naamini kabisa Rais Samia ana nia njema kuwatendea haki Watanzania, na rais msikivu akiongoza serikali yetu ni serikali sikivu.

Pia naomba kutoa angalizo la kitu kinachoitwa karma ambacho viongozi wetu hawakijui na matokeo ya kuidharau karma.

Kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi Mkuu 2020, militia ombi hili humu jukwaani Ombi Maalum, Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa 2020, Uendeshwe kwa Ceteris Peribus, Sio Kwa Mutatis Mutandis. Tutabarikiwa! kwenye bandiko hilo nilizungumzia karma ya nini kitatokea iwapo ushauri huo usipotekelezwa!, hivyo hata ikitokea ushauri huu nao ukapuuzwa kama ushauri ule, pia hakuna shida, mimi kwa upande wangu nitakuwa nimetimiza wajibu wangu.

Wasalaam.

Paskali
Wanatupotezeaa muda na pesa zetu.....ufanyike siku 1 kwa sheria tume huru uchaguzi
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu elimishi kwa Maslahi ya Taifa, ambazo ni kuhusu jambo lolote la Kisiasa, Kiuchumi au Kijamii . Bandiko la leo ni bandiko muendelezo Mnaonaje Uchaguzi wa Serikali za Mtaa Ufanywe Siku Moja na Uchaguzi Mkuu na Usimamiwe na Tume Huru ya Uchaguzi? Samia Atabarikiwa Sana!

Mabadiliko haya ya sheria yanaletwa katika mkutano wa Bunge hili, hivyo huu ni ushauri kwa Rais Samia na serikali yake, katika kubadili sheria ya uchaguzi, na kuunda Tume Huru ya Uchaguzi, nashauri jee tupige ndege wawili kwa jiwe moja?, au tuendelee kufanya chaguzi zetu kwa mazoea?.

Ndege wa kwanza ni uchaguzi wa serikali za mitaa, usifanyike tena mwaka 2024 wala usisimamiwe tena na Tamisemi, na badala yake ufanyike mwaka 2025 pamoja na uchaguzi Mkuu na kusimamiwa na Tume huru na Shirikishi ya Uchaguzi.

Maendeleo ya kweli na maendeleo endelevu ni kukubali kubadilika kwa kwenda na wakati uliopo, tuache kufanya vitu kwa mazoea!

Tangu tumeanza kufanya chaguzi zetu, Tanzania tumekuwa tukifanya chaguzi mbili tofauti kwa muda tofauti, zikitumia sheria mbili tofauti na kusimamiwa na mamlaka mbili tofauti.

Chaguzi hizi ni uchaguzi wa serikali za mitaa ambao hufanyika mwaka mmoja kabla ya uchaguzi Mkuu, na husimamiwa na Tamisemi, huku ndiko madudu ya ajabu ya ukiukwaji wa demokrasia kuanzia.

Chama kinachoshinda serikali za mitaa, ndicho chama kinachokuja kushinda uchaguzi Mkuu unaofuata.

Ukiondoa chama kikubwa, na chama kikongwe CCM, vyama vingine vyote vya upinzani Tanzania ni vyama cha mtoto, viko too myopic havioni mbali, vinajikita kujipanga kwa nguvu kubwa kujiandaa kwa uchaguzi Mkuu wa 2025, kumbe mchezo haswa hufanywa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.

Kwa vile Rais wetu Samia, ameonyesha nia njema ya dhati kwa mawazo, maneno na matendo, kuwatendea haki Watanzania, kwa kukubali kufanya mabadiliko ya sheria ya uchaguzi, na kuunda Tume huru na Shirikishi ya u
Uchaguzi, Mnaonaje kama kwenye mabadiliko haya ya sheria yanayokuja, tutapiga ndege wawili kwa jiwe moja?.

Kwanza naendelea kusisitiza
kufanya mabadiliko ya sheria bila mabadiliko ya katiba, ni sawa na kula bila kunawa, hivyo tunaipongeza serikali yetu kukubali kubadili sheria ya uchaguzi na kutupatia tume huru ya uchaguzi, ila nashauri tuanze kwanza mabadiliko ya katiba ndipo twende kwenye sheria!.

Pendekezo la pili, ni tufanye uchaguzi wote kwa siku moja, na kusimamiwa na Tume moja huru ya uchaguzi. Kama Zanzibar wanaweza kufanya chaguzi 5 kwa siku moja, Tanzania hatuwezi kushindwa kufanya chaguzi 4 kwa siku moja!. Mnaonaje Uchaguzi wa Serikali za Mtaa Ufanywe Siku Moja na Uchaguzi Mkuu na Usimamiwe na Tume Huru ya Uchaguzi? Samia Atabarikiwa Sana!

Hakuna haja ya kufanya uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2024 halafu uchaguzi Mkuu 2025, kwa sasa tufanye mabadiliko ya katiba na sheria, halafu 2025 tufanye chaguzi zote 4 kwa siku moja, Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge, Madiwani na serikali za mitaa.

Kwa vile msingi mkuu na matatizo makuu ya uendeshaji wa siasa zetu yako kwenye katiba, katiba ndio kichwa cha yote na mengine yote ni kiwiliwili.

Kwa vile kuna mchakato wa katiba mpya utakaanza hivi karibuni, lakini kwa minaajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa wa 2024 na uchaguzi Mkuu wa 2025, tuanze na mabadiliko ya katiba hii hii iliyopo kwa kuibadilisha kwa hati ya dharura, ndipo tuje kwenye mabadiliko ya sheria za uchaguzi na kurekebisha Tume ya Uchaguzi tuunde Tume Huru na Shirikishi ya Uchaguzi.

Bandiko hili ni bandiko
mwendelezo wa bandiko hili Mabadiliko ya Sheria Bila Mabadiliko ya Katiba,Sawa na Kula Bila Kunawa!. Je Watanzania Tuna Haraka Sana na Uchaguzi Hadi Tukimbilie Kula Bila Kunawa?

Hitimisho,
Kwenye mabadiliko haya ya Sheria ya Uchaguzi yanayotarajiwa kuletwa Bungeni kwa hati ya dharura kwenye mkutano huu, mnaonaje tukimshauri Rais Samia tupige ndege wawili kwa jiwe moja, kwa kufanya uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi Mkuu kwa siku moja au tuendelee na mazoea?.

Naamini kabisa Rais Samia ana nia njema kuwatendea haki Watanzania, na rais msikivu akiongoza serikali yetu ni serikali sikivu.

Pia naomba kutoa angalizo la kitu kinachoitwa karma ambacho viongozi wetu hawakijui na matokeo ya kuidharau karma.

Kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi Mkuu 2020, militia ombi hili humu jukwaani Ombi Maalum, Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa 2020, Uendeshwe kwa Ceteris Peribus, Sio Kwa Mutatis Mutandis. Tutabarikiwa! kwenye bandiko hilo nilizungumzia karma ya nini kitatokea iwapo ushauri huo usipotekelezwa!, hivyo hata ikitokea ushauri huu nao ukapuuzwa kama ushauri ule, pia hakuna shida, mimi kwa upande wangu nitakuwa nimetimiza wajibu wangu.

Wasalaam.

Paskali
Kwanza,
naunga mkono pendekezo lako kwamba uchaguzi wa serikali za mtaa na uchaguzi Mkuu wa madiwani wabunge na Rais ufanyike siku moja na usimamiwe na tume huru moja na makini sana ya uchaguzi.

Pili,
Siungi mkono Jambo hili kufanyika kwa dharura hivi karibuni hata kidogo. Dharura ipi kwanza?
For your information mawaziri na wabunge hivi sasa matumbo jotroo, miili iko bungeni lakini mioyo na akili ziko jimboniiii, atareajea namna gani humo mjengoni. Mtu kama huyo atajadili jamo la maana kama hili kwa makini kweli? Si itakua ni ndio Mzee tu ili yaishe,halafu wananchi wakwazike bunge la hovyo.....

Tutuharibu mambo na tunaweza kutumbukia kwenye matatizo makubwa yenye madhara kwa Taifa mathalani migawanyiko isiyo na tija na halafu tutagundua kumbe hakukua na uharaka wala udharura wowote kuharakisha Jambo hili na kupitisha mabadiliko ya hovyo hovyo.

Tatu,
Jambo hili linahitaji umakini mkubwa, muda wa kutosha, utulivu na ushirikishwaji mpana wa waTanzania ili kwa pamoja tukubaliane namna ya kuyafanya mambo haya bila kuhatarisha umoja na mshikamano wa Mama Tanzania.

Mwisho kabisa,
Napendekeza,
Maandalizi wa chaguzi mbili kwa moja yaanze mara moja baada ya uchaguzi Mkuu 2025, sambamba na mchakato wa katiba mpya. Hapo tutakua na muda mzuri kushirikisha Taifa zima.
Lakini kwa wakati huu,
uchaguzi wa serikali za mtaa 2024 usimamiwe tu na Tamisemi kama kawaida na ule uchaguzi Mkuu usimamiwe na tume huru na makini sana ya uchaguzi.

Asanti sana Pascal....
 
Huo uchaguzi ungefanyika siku moja tu ili kuokoa hela za walipa kodi. Binafsi sijaona mantiki yoyote ile ya kuingia gharama kubwa kufanya huo uchaguzi wa Serikali za Mitaa, na ule mkuu katika nyakati mbili tofauti.
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na makala zangu elimishi kwa Maslahi ya Taifa, ambazo ni kuhusu jambo lolote la Kisiasa, Kiuchumi au Kijamii . Bandiko la leo ni bandiko muendelezo Mnaonaje Uchaguzi wa Serikali za Mtaa Ufanywe Siku Moja na Uchaguzi Mkuu na Usimamiwe na Tume Huru ya Uchaguzi? Samia Atabarikiwa Sana!

Mabadiliko haya ya sheria yanaletwa katika mkutano wa Bunge hili, hivyo huu ni ushauri kwa Rais Samia na serikali yake, katika kubadili sheria ya uchaguzi, na kuunda Tume Huru ya Uchaguzi, nashauri jee tupige ndege wawili kwa jiwe moja?, au tuendelee kufanya chaguzi zetu kwa mazoea?.

Paskali
Muswada wa mabadiliko haya umesomwa Bungeni kwa mara ya kwanza jana.
Kwanza nimempongeza Rais Samia kwa a Political will kukubali kubadili sheria Pongezi Rais Samia, Serikali, Kukubali Kubadili Sheria ya Uchaguzi, Tume Huru ya Uchaguzi!. Tuanze na Katiba Kwanza Ndipo Sheria Au?.

Kisha nikashauri tubadili nini na nini Mnaonaje Uchaguzi wa Serikali za Mtaa Ufanywe Siku Moja na Uchaguzi Mkuu na Usimamiwe na Tume Huru ya Uchaguzi? Samia Atabarikiwa Sana!

Siku miswada ilipoletwa nikapongeza tena

Na niliposoma kilichomo, ndani ya miswada hiyo, nilipigwa bumbuwazi ila nikashauri Tujifunze kuwa na Shukrani kwa Madogo ili Tupatiwe Makubwa!. Japo Tulitaka Kikubwa, Tumepewa Kiduchu!, Tukipokee Tushukuru, au Tususe Kudai Kikubwa?.

Tuna miezi 3 ya kutoa mapendekezo ya marekebisho, hivyo tuitumie hii miezi 3 kutoa mapendekezo yetu yajumuishwe.

P.
 
Back
Top Bottom