Wakili Getrude LHRC: Kutembea bila Nguo sio kosa Kisheria

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,377
8,120
1705388583655.png

"Tuna masuala ya kisheria na masuala ya kimaadili. Mfano nikitoka hapa kwenye kipindi nikasaula nguo zangu, nikashuka chini nikaanza kutembea sina chochote sio kosa la kisheria lakini ni kosa la kimaadili.

Na hamtoniamini kunileta kwenye kipindi kwa sababu kimaadili sio kitu sahihi lakini sio kosa kisheria kwamba huyu mtu ametembea uchi, sio kosa.

Kwahiyo inapofikia hatua mtu anasema nguo wanazovaa wanawake zinawashawishi wanaume wawabake sio kweli" - Wakili Getrude Dyabene, Kutoka Kituo Cha sheria na haki za Binadamu (LHRC)
 
Tungeona kwanza alivyo bila nguo ili tujiridhishe kama ni kosa au sio kosa, then tuone namna ya kulitengenezea sheria ya kulihalalisha au kubatilisha.

Kwasasa hakuna sheria juu ya hilo ispokua mila, desturi na tamaduni tu ya kujisitiri 🐒
 
Sasa hivi unakubali kwanza , unamzungusha zungusha ndio unakuja kuiona.

Sasa inch si inakua tofauti kutokana na mazingira? Au kama mtu hajavaa nguo inakua kudumu Chama Cha Mapinduzi muda wote?

Au wewe unataaluma ya kuangalia tu unajua kukadiria?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom