Kwa siku za karibuni, kumekuwepo na mjadala mkubwa sana juu ya sakata la wabunge 19 wa viti maalumu kutoka Chama cha Demokraaia na maendeleo ( CHADEMA)
Kwa mujibu wa ibara ya 71 (1)(e) ya katiba ya jamhuri wa muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, inasema mbunge atakoma kuwa mbunge endapo...