jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Tunapoenda kuunda Timu ya Serikali yenye muelekeo wa uhuru kamili na kujitegemea tunatakiwa kuwaogopa sana wabunge wasanii wenye mbinu za kujipitisha,kujionesha na kufanya vibweka ili waonekane.
Wito ni kwa all government organs and machineries kuhakikisha anayepenya kwenye uwaziri au unaibu waziri n.k ni muadilifu haswa na mwenye mrengo wa kuongoza taifa katika kujitegemea na sio kutegemea wahisani waliokuja kuchuma fedha.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Wito ni kwa all government organs and machineries kuhakikisha anayepenya kwenye uwaziri au unaibu waziri n.k ni muadilifu haswa na mwenye mrengo wa kuongoza taifa katika kujitegemea na sio kutegemea wahisani waliokuja kuchuma fedha.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA