vyuo

  1. Sky Eclat

    Ni lini vyuo vyetu vya elimu ya juu vitakua chanzo cha mapato kwa Taifa kwa kusajili wanafunzi nje ya Tanzania?

    Kumekua na ongezeko kubwa la vyuo vya elimu ya juu, tofauti na idadi tuliyokuwa nayo mpaka miaka ya 90. Licha ya elimu nje ya bara la Afrika, kuna waliobahatika kupata elimu ya juu katika nchi za Afrika hususan Makerere Uganda, Kenyata Kenya, Afrika ya Kusini, Nigeria, Misri, Botswana. Hizi...
  2. sky soldier

    Mbeya Mjini kuna Vyuo vingi. Je, hivi Vyuo vinawezaje kuwa fursa ya kibiashara?

    Kutokana na utitiri wa vyuo hivi, je unaona kuna fursa ipi ya biashara. Vyuo hivi hapa CHUO - SEHEMU MUST - Iyunga MCHAS (Tawi la UDSM) - Mjini TIA - Airport ya zamani MZUMBE - Foresti SAUT - Foresti UTUMISHI (tpsc) - soko matola ADEM - Foresti UCC (Tawi la UDSM) - uzunguni CBE – Mjini TEKU -...
  3. sky soldier

    Je, wajua kuwa Mbeya inashika nafasi ya pili kwa vyuo vingi?

    CHUO - SEHEMU MUST - Iyunga MCHAS (tawi la udsm) - Mjini TIA - Airport ya zamani MZUMBE - Foresti SAUT - Foresti UTUMISHI (tpsc) - soko matola ADEM - Foresti UCC (tawi la udsm) - uzunguni CBE – Mjini TEKU - Block T OPEN UNIVERSITY - Foresti TUMAINI - uyole KILIMO - Uyole USTAWI WA JAMII - Uyole...
  4. maroon7

    Serikali haina uwezo kuajiri walimu vyuo vikuu au sio kipaumbele?

    Katika kitu kinashangaza ni hili la vyuo vya umma vya elimu ya juu kuwa na upungufu mkubwa mno wa waalimu. Yaani kitu ninachojiuliza ni kwamba serikali haina uwezo kuajiri kuziba huu upungufu mkubwa wa waalimu au ni kwamba sio kipaumbele chao. Inashangaza zinatolewa ajira za walimu wa sekondari...
  5. N

    Ushauri wenu juu ya kozi hii ya kijana wangu!

    Amechaguliwa kwenda kusomea kozi ya performing and visual arts (bado siajajua kama ni certificate au diploma. Mzazi mimi sina uelewa wowote wa masuala ya elimu, achilia mbali habari za vyuo na makozi yake. Kwa kozi kama hiyo, wadau naomba mnijuze na kunishauri; itamfanya awe nani? Msaada wake...
  6. S

    Special Thread: Ushauri kuhusu Programs za Kuomba chuo kwa wanafunzi wa kidato cha sita waliosoma masomo ya sanaa

    Kama mada inavyojieleza hapo juu, kwa tunaosubiria matokeo ya kidato Cha sita tunaomba mliopita/mliopo & mnaofahamu juu ya kozi mbalimbali vyuoni mtupatie ushauri kwamba kwa watu wenye division Fulani wasithubutu kuziomba Bali waombe kozi Fulani (mfano tunasikia kwamba sheria UDSM na Mzumbe ni...
  7. justin mwanshinga

    Uchaguzi wa Wanafunzi Kidato cha Tano na vyuo ni kilio kwa Wazazi masikini

    Na Mwl Matete Siku tatu zilizopita serikali ilitoa majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano na vyuo mbalimbali, kilichowastua wengi ni namna uchaguzi huo ulivyofanywa. Wazazi wengi wanalia hasa wale masikini ambao hawana uwezo wa kuwapeleka watoto wao shule binafsi...
  8. Kijana ushe2

    Selection form five na vyuo vya kati 2021/2022

    Wanajamvi nimekuwekea link ya moja kwa moja kuangalia machagulio ya SHULENI na tahasusi kwa SHULENI zote Tanzania Uchaguzi wa Kidato cha Tano na Vyuo vya Kati, 2021
  9. Jembemtaji

    Vyuo visivyotambuliwa ndio vyuo gani?

    Mara nyingi zinapotoka nafasi za kazi hasa zile zinatangazo Serikali. Kunakua na kukusisitiza waombaji wawe wametoka kwenye vyuo vinavyotambuliwa na Serikali. Sasa najiulizaga maswali sipati majibu 1. Vyuo ambavyo havitambuliwi na serikali ni vipi? 2. Kama havitambuliwi mbona wanatambua kua...
  10. Ferdinand Junior

    Business Plan kwenye mazingira ya vyuo kama Mipango-Dodoma

    Habar zenu wana JF. Hope wote wazima. Naombeni ushauri wa biashara nitakayoifanya mazingira ya chuo yenye kupata faida ukiachana na biashara ya kula na kuvaa. Frame ninayo ambayo ni kubwa 2 nimeanza na uwakala. Asanteni
  11. mdau mpya

    Msaada: Mishahara vyuo vikuu Tanzania

    Kwanza nawasalimu kwa jina la Muungano wa Tanzania. Nina ndugu yangu yuko nje ya nchi alikuwa akifanya kazi sasa ameomba kazi hapa Tanzania kwenye moja ya vyuo vikuu maana ni PhD holder. Na pia Alipata kazi South Africa japo yeye anapendelea kurudi nyumbani. Sasa anapenda kujua mishahara ya vyuo...
  12. R

    Dirisha la udahili wa masomo ya Astashahada/stashahada kwa mwaka 2021/2022 kwa vyuo vilivyo chini ya NACTE limefunguliwa 27/05/2021

    TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUFUNGULIWA KWA DIRISHA LA UDAHILI WA NAFASI ZA MASOMO KWA MWAKA 2021/2022 Haya vijana muda ndio huu. Fanya applicatons mapema kuepuka last-minute congestion/scramble! ==== JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA BARAZA LA TAIFA LA...
  13. M

    Ubora wa Vyuo vya Elimu ya Juu Uganda

    Habari wana bodi? Naomba kujua ubora wa vyuo vingi vya Uganda, hasa vya private ukoje? maana nlijarbu kutembelea website ya "TCU" ya kwao :D :D :D naona vyuo vingi vya private vina usajili wa muda (Provisional License to operate as University) je viko vizuri? maana kimtaan vina majina makubwa...
  14. beth

    Prof. Anangisye: Chuo Kikuu makini hakiwezi kuvumilia Wanataaluma wasiofanya Utafiti

    Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Prof. William Anangisye amesema Utafiti ni muhimu kwa maendeleo kwa Umma na ulimwengu wa ujumla akiongeza kupitia Tafiti hizo, Chuo vina wajibu wa kutatua changamoto zinazokabili jamii. Ameeleza hayo Mei 24, 2021 katika Maadhimisho ya Sita ya...
  15. L

    Wapendwa naomba kujuzwa kuhusu vyuo hivi kuelekea udahili wa masomo ngazi ya astashahada na stahada 2021/2022

    Habari za wakati huu kila mmoja,poleni kwa majukumu ya kulijenga taifa. wapendwa naomba kujuzwa kati ya vyuo hivi LUGALO MILLITARY MEDICAL SCHOOL,KIBAHA COLLEGE OF HEALTH AND ALLIED SCIENCE,TANGA COLLEGE OF HEALTH AND ALLIED SCIENCE,MBEYA COLLEGE OF HEALTH AND ALLIED SCIENCE,MTWARA COLLEGE OF...
  16. kmbwembwe

    Wahitimu wa vyuo wanajitolea Serikalini na mashirika yake wapewe kipaumbele ajira

    Kuna vijana wahitimu wa vyuo vikuu wengi wameajiriwa kwa mikataba ya kujitolea serikali za mitaa serikali kuu na mashirika ya umma. Hakika inauma sana unapoona mtu amesota miaka miwili halafu nafasi imetoka anaomba halafu anapewa mtu mpya hajatoa jasho lolote kujitolea. Kwa vyovyote yafaa...
  17. Meneja Wa Makampuni

    Mbunge wa Kahama Mjini ashauri Vyuo Vikuu kuwajibika kutafuta ajira kabla ya kusajili Wanafunzi

    Ili kukabiliana na changamoto ya ajira kwa wahitimu wa vyuo vikuu hapa nchini,Mbunge wa Kahama Mjini, Jumanne Kishimba ameshauri vyuo vikuu kuwajibika kutafuta ajira kabla ya kusajili wanafunzi. Amesema wazazi wengi hasa vijijini wanatumia wamechoshwa na mfumo wa elimu jinsi unavyofilisi...
  18. S

    Sera ya Vyuo Vikuu kubakiza wahitimu wenye ufaulu wa juu badala ya kuajiri wasomi walio- practice unaathri ubora wa elimu inayotolewa vyuoni

    Utaratibu huu ambao ndio kama sera ya vyuo vikuu vingi nchini kiliwemo Chuo Kikuu cha Dar -es-Salaam, sio tu umepitwa na wakati, bali pia haufai kwani unachangia vyuo kuwa na walimu ambao hawaja-practice katika field wanazofundisha na hivyo kuzalisha wasomi wenye kukosa maarifa na uzoefu...
  19. N

    Vyuo Vikuu vya Umma; Mama Samia Rais wetu vinusuru Vyuo hivi

    Naandika kwa masikitiko makubwa sana juu ya hali ilivyo katika vyuo vikuu vyetu vya umma. Ninazo hoja sita, leo nitawasilisha mbili na zingine nitawasilisha ndani ya juma hili. Ajira za Maprofesa katika vyuo vikuu vya umma na hali halisi ilivyo hivi sasa katika vyuo hivi Mitaala ya Vyuo Vikuu...
  20. Mwalimu-Mkuu

    Maprofessa wetu tatizo ni elimu au vyuo walivyosomea?

    Kwa jina la Jamhuri salaam wana bodi, Tatizo ni nini wana jamvi? Kila ninapopata nafasi ya kumfatilia profesa na baadhi ya madaktari wanaofahamika ambao wengi wao wana nyadhifa mbalimbali hasa za kisiasa, nashindwa kuelewa kama ni wasomi au la! Unapata professa anatoa povu tu na haeleweki...
Back
Top Bottom