vyuma

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MakinikiA

    Wanasubiriwa raia watoke katika kiwanda cha vyuma Mariupol kisha vitu vizito vya Urusi vinadondoshwa kwa askari 2000 wa Ukraine waliopo

    Vita Ukraine: Raia wa Ukraine waokolewa katika kiwanda cha kutengenezea vyuma Mariupol ikumbukwe ni kama wiki mbili zimepita wakiwa chini ya handaki raia 1000 na askari 2000 na tangu Putin alivyotaka askari wa ukraine wajisalimishe wakagoma ndipo Putin akaagiza hakuna kitu chochote kutoka au...
  2. BigTall

    Dar: Wakamatwa wakifungua vyuma vya nguzo Daraja la TANZANITE

    Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata watu wawili (2) waliokuwa wanajaribu kuharibu kwa kukata baadhi ya vyuma vya ngazi moja ya nguzo namba P9 ya Daraja la Tanzanite lililopo maeneo ya Salender, Ilala. Kamanda wa Polisi Kanda Maalum, Muliro J. Muliro amesema watuhumiwa hao...
  3. sky soldier

    Msaada: Ndugu yangu (22) kaanza ubabe kwangu (31), kisa karefuka na anabeba vyuma

    copy paste fb 😂😂 JE NICHUKUE UAMUZI UPI KAMA MTU MZIMA. Ni mtoto wa ndugu yangu, mara ya mwisho kuonana nae ilikuwa kama miaka 7 iliyopita, kipindi hicho tulitokea kuwa na mazoea sana, kahamia mkoani kwangu huku kiukweli dogo kapanda hewani yupo kama futi 6 .3,,,mimi nipo 5.9 Sasa kahamia...
  4. Sky Eclat

    Utaalamu wa kufua vyuma ulianzia Afrika

    Did you know? Towns called Amuzu in Igbo land arose from ancient settlements of blacksmiths Awka clan is prominently known for their smithing prowess but they were not the only clan that excelled in smithing... The Agbaja clan before them excelled in smithing, it is even believed the skills...
  5. Elitwege

    Je, huko waliko vyuma vimekaza au vimelegea?

    Habari, Sekeseke la kuwabana wakwepa kodi kwa kutumia task force na kufunga biashara zao lilizua mjadala kila kona kwamba hilo zoezi linawasababishia hao wakwepa kodi ugumu wa maisha na vyuma kukaza hivyo TRA wakaamuliwa kuachana nalo. Sasa TRA wanakusanya kodi kwa kuwabembeleza wakwepa kodi...
  6. Linguistic

    Nape: Sasa hivi vyuma vimelegea, Rais Samia kamwaga pesa mtaani tofauti na awamu iliyopita

    Je Kauli Ya Nape Ni Ya Kweli Kwamba Vyuma Vilikaza Na Sasa Vimeachia? Kweli vimelegea nyama imeshuka bei kutoka 6000 kwa kg Hadi 8000 kwa kg Mafuta ya aina yote bei imeshuka Sana kuliko miaka yote hongera sana kwake
  7. The lost

    USHAURI: Shirika la reli uzeni mali zote ambazo hazitumiki mathalani Vyuma chakavu

    Nimepita maeneo mbalimbali nimejionea namna shirika la reli limekuwa likitunza mavyuma chakavu kama mabehewa mataruma na makaravati ambayo yamechakaa. Hivyo nashauri mali hizo ziuzwe kama malighafi kwa viwanda vyetu vya ndani vya kutengeneza material ya chuma (steal industry) ili tuweze kupata...
  8. Nyankurungu2020

    Vyuma vitalegea?

    Pamoja na machinga kusema kuwa hayati JPM alikuwa mkombozi wao maana hakupenda waonewe. Lakini ukweli ni kuwa wana hali mbaya sana kibiashara. Mama lishe nao wapo hoi bin taabani, wanauza kwa kwa kuchechemea maana pasi ndefu ndio mtindo uliopo sasa. Biashara nyingi zimefungwa hasa masupamarket...
  9. mwanamwana

    Arusha: DC Kenani awachapa mboko wanafunzi 3 kwa tuhuma za kuiba madawati 108 na kuyauza kama vyuma chakavu

    Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Kenani Kihongosi amewacharaza bakora wanafunzi watatu wa kidato cha kwanza shule ya sekondari Sinoni kwa tuhuma za kuiba madawati 108 ya shule hiyo na kuyauza kama vyuma chakavu. Wanafunzi hao wanadaiwa kuiba madawati hayo kwa nyakati tofauti na kuwauzia watu watano...
  10. CUF Habari

    Uchaguzi 2020 Prof. Lipumba akiwa Handeni Vijijini: Hali ya maisha ya watanzania ni ngumu sana vyuma vimekaza nichagueni nifute umasikini katika nyanja zote

    HALI YA MAISHA YA WATANZANIA NI NGUMU SANA VYUMA VIMEKAZA NICHAGUENI OKTOBA 28, NIFUTE UMASIKINI KATIKA NYANJA ZOTE "PROF.LIPUMBA" HANDENI VIJIJINI Ukuaji wa uchumi wa Tanzania haujaambatana na kasi kubwa ya kupungua kwa watu masikini. Idadi ya watu masikini kwa kutumia kipimo cha taifa cha...
  11. FrankLutazamba

    Kuna haja ya kuuonesha uma mkufu wa dhahabu na almasi ni upi hasa kwa wasanii wetu,wengi wanavaa vyuma siyo mikufu

    Nilikwenda mlimani city kwa Mara ya kwanza mwaka 2007 nikaoneshwa mkufu wa dhahabu nilitoa macho kiasi kwamba ukimpa msichana kama zawadi lazima umuoe,kwani unang'aa kama jua linachomoza au kuzama. Pia nilimuona Dada mmoja amevaa udsm kidani cha almasi kwa jinsi kinavyochoma lazima umfuate,sasa...
  12. kanyagio

    Napata wapi vyuma vya kutengeneza jukwaa kupiga wakati wa kupiga plasta?

    Nauliza vyuma vya kutengenezea jukwaa kuweka wakati wa kupiga plaster. Navipata wapi na Sh ngapi. Mfano kama huu chini:
  13. Elon Mzebuluni

    Tunatengeneza urembo wa mageti, fensi, madirisha, milango, balcon na vitanda

    Habari! Kwa mahitaji ya urembo wa mageti, madirisha, milango, balcon na vitanda usisite kutucheki tukuhudumie. Pia tunafanya kazi yeyote ya casting. Karibu bei zetu ni za kishindani na nafuu. Tupo Mbeya mjini.
Back
Top Bottom