The lost
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 2,695
- 8,209
Nimepita maeneo mbalimbali nimejionea namna shirika la reli limekuwa likitunza mavyuma chakavu kama mabehewa mataruma na makaravati ambayo yamechakaa.
Hivyo nashauri mali hizo ziuzwe kama malighafi kwa viwanda vyetu vya ndani vya kutengeneza material ya chuma (steal industry) ili tuweze kupata bidhaa mpya. Faida ya kufanya hivi.
Hivyo nashauri mali hizo ziuzwe kama malighafi kwa viwanda vyetu vya ndani vya kutengeneza material ya chuma (steal industry) ili tuweze kupata bidhaa mpya. Faida ya kufanya hivi.
- Shirika litapata pesa za kuendeshea mambo yake.
- Tutakuwa tunatunda mazingira yetu kwa kuruhusu uoto wa asili kumea katika maeneo vilipo vyuma hivyo.
- Tutatoa ajira kwa watanzania.
- Tutaongeza uzalishaji wa bidhaa mfano nondo, majenge etc