nimeelewa vema. asante sanaHii ni huduma kama nipige tafu.
Mfano: Ninahitaji kununua kifurushi cha Tsh 1000 kwa mpesa lakini salio langu halitoshelezi labda nina 600 tu kwa mpesa yangu. Wanachokifanya ni kukuongea pesa iliyopungua(Tsh 400). Kisha wao watakukata juu kwa juu kwenye muamala wowote wa mpesa utakaoingia kwako.(lkn pia kuna kamisheni wanachaji kulingana na kiasi walichokukopesa)
Sent using Jamii Forums mobile app
ebu eleza vema bila mifano ya biaYaani wale wanakupa tu mapesa unaenda kunywa bia. Tarehe 21 walinipa tsh 20000 nikanywa bia kesho yake nikaweka pesa wakachukua leo nataka niende mjini nikanywe tena. Lazima wanipe pesa hata kama sina. Yaani unaweka buku tano tu kwenye M,pesa kisha unatoa nyingi zaidi harafu wanaweka riba kama asilimia kumi hivi. Utawalipa ujipiga bingo mwaka kesho
Sent using Jamii Forums mobile app
Una buku 4000 bt unataka upate buku 10000 so wakakuongezea buku 6000 Yao na pia wakakuongezea kama buku 1500 ya kutolea hyo pesa ,ukijumlisha na hyo riba au garama ya huduma labda buku 1500. Hvyo lazima ulipe buku 8000 mpaka 9000.kumbe ni garama bt kwenye shda Hakuna namna Mzee babaDah wanakata hela kubwa Sana.
Nilikuwa na elfu nne KWENYE mpesa nikataka kutoa elfu kumi wwkanisogezea freshi kuchek salio hata hiyo elfu nne wamechukua.
Muziki ukaja wakati nimeongeza salio la mpesa 20,000 TU wakakata elfu 9 nzima nikabaki najiuliza huu mchanganuo ukoje na nimechajiwa sh ngapi!!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wachangiaji wa uzi huu wengi ni wakipato chini,yaani ntu awaza elfu tano apate elfu 20? Duh! ,pole zenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Umasikini ni dhambi ,kama hujui tambua hivyo,biblia inasema usitamani,lakini masikini haishi kutamani,
Sent using Jamii Forums mobile app
ni dawa ya kuongeza nguvu za kiumeJamani hii kitu inaitwa Songesha nini nini na inafanyaje kazi? Maana wao hawaaminiki maelezo yao siyaamini, haya makampuni ya simu ni wezi!
Nitakutukana usikasirike, subiri maana nyinyi vidudu mna tabu sana humu JF!
Uko sahihi mkuu, sahihi kabisa, naona wamekata ghalama Mara mbili, zile za kutoa peza,na riba ya mkopo wao.Una buku 4000 bt unataka upate buku 10000 so wakakuongezea buku 6000 Yao na pia wakakuongezea kama buku 1500 ya kutolea hyo pesa ,ukijumlisha na hyo riba au garama ya huduma labda buku 1500. Hvyo lazima ulipe buku 8000 mpaka 9000.kumbe ni garama bt kwenye shda Hakuna namna Mzee baba
Note:hiko kiwango cha riba au garama sina uhakika nacho nimeasume tu .
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona eh! Nimemuweka kiporo, leo asingelipata usingizi!
Hii dunia haijawahi kuwa na isawa.Wachangiaji wa uzi huu wengi ni wakipato chini,yaani ntu awaza elfu tano apate elfu 20? Duh! ,pole zenu
Sent using Jamii Forums mobile app