Ikitokea Jimbo au kata mbunge au diwani wa CCM amekufa hapo kijana ingia chap unapata nafasi, ikitokea mbunge au diwani ametangaza kutoendelea na madaraka hapo kijana usizubae chukua nafasi haraka.
Ikitokea mbunge au diwani ndugu yako sana msihi akutupie taulo akiridhia chukua nafasi haraka...
Siku nyingine muwe mnawaambia hao Waandishi wenu walio katika Payroll zenu wajikite zaidi katika Data and Research Journalism ili wenye Akili kubwa tusiwafharau na tusiwaone Wapumbavu.
Imeisha hiyo.....!!!!!!
Mimi ni kijana niliesomea uhasibu kwa ngazi ya Diploma, na pia nimesomea ICT kwa ngazi ya certificate.
Nina changamoto ya usikivu hafifu.
Hali hii ya kutosikia vizuri imekuwa inaninyima fursa za ajira sana hadi ikafikia kipindi napata msongo wa mawazo.
Naomba mwenye uwezo wa kunisaidia...
1. Msg haziji kwa wakati zinapofanyika au kungiza transaction.............zinachelewa sana , one day sometimes compared to other banks
2. Salary, pension advances, nisogeze hazifanyiki kazi hadi leo
3. ATM ni moja kwenye miji mingi. shida tupu!
SHIDAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA TUHAMIE WAPI?
Mrisho Gambo kwa jinsi ulivyoumiza watu Sana , nakupa huu ushauri huu usiharibu kiinua Mg on go chako kugombea.
I hope you gonna shine with another way Nigga.
Salaam team!
Nimezunguka sehemu kubwa ya nchi yetu baada ya kifo cha hayati John Pombe Joseph Magufuli.
Kwa ujumla nimekuta, nimeona Miradi mingi imetekelezwa, au inaendelea kutekelezwa.
Mitano mingine inamfaa.
21 June 2025
Dar es Salaam, Tanzania
TWIGA STARS YATWAA KOMBE LA MICHUANO YA CECAFA
FULL MATCH FINAL CECAFA 2025 KENYA VS TANZANIA
https://m.youtube.com/watch?v=0D7FA4xY-K4
Hivyo michuano ya CECAFA yazidi kuiimarisha kuelekea michuano ya mataifa ya kiafrika ya mpira wa miguu WAFCON itakayoanza...
Mnada wa kampuni inayoitwa KC GLOBAL unaoendelea pale Bunju mianzini jamaa anajinadi anauza tv 43 inch smart laki tatu na 55 inch laki tano laptop laki moja monitor 24 inch elfu 50 nimefika pale kwa lengo la kununua monitor 24 inch lakini zilikua zimeisha zimabaki za inch 17 bei yake ni elfu 30...
Rais mstaafu, Jakaya Kikwete amesema, licha ya vyama mbalimbali vya siasa kuwa na kauli mbiu zake zikiwamo za "Piga kura linda kura (ACT Wazalendo, "Oktoba tunatiki ya CCM na No Reforms No Election ya Chadema, itakapofika siku ya kupiga kura, " akili za kuambiwa changanya na zako."
Ameyasema...
No reforms no election!
Iran piga hao Israel!
Nilikuwa form five ambapo siku moja nilipewa kazi ya kudeki choo cha walimu, bila kufanya ajizi nikachukua ndoo zangu mbili nikaenda bombani kuchota maji.
Nilipotoka bombani wakati nakaribia choo cha waalimu ambalo lilikuwa karibu kabisa na staff...
Nimekuwa nikitafakari juu ya hotuba na kauli mbalimbali za raisi wetu, ambaye ndio kiongozi wa juu kabisa nchini, na kugundua ana hasira sana. Anachukizwa hata na vitu vidogo vidogo ambavyo anapaswa kuvipuuzia na kutovijibu au kuvifanyia malumbano. Ana silka ya kumwagia petroli kwenye mambo...
Camfed ni watu gani hawa? Wana fanya kazi kwa utaratibu gani?
Anae wafahamu vizuri ni nani?
How comes mnamuandikisha mtoto kwenye mpango wa kumsomesha kwamba anaishi kwenye mazingira magumu bila kuwashirikisha wazazi wake?
Mimi baba Nina uwezo wa kumsomesha mtoto wangu. Ghafla naambiwa...
Naaandika kwa Uchungu na machozi
Kipindi cha mazungumzo ya nyuklia na Marekan. Mrusi alileta air defence nyingi sana. Kama zawadi ya kupewa drone za shaheed.
Na wakaingia mkataba wa urafiki mkubwa usio na Mipaka.
Sasa naona kama bwana mkubwa iran katapeliwa hivi. Tena yale maeneo muhimu...
Kwa taarifa Tu. Tunaendelea vyema kulipa deni letu huko Iran. Hatuja default hata mara moja (kwa lugha ya kimkopo).
Sema sasa ukiniuliza Mkopo tulifanyia nn ndio sijui.
Wabillah Taufiq.
---
EHRAN- Based on an agreement signed between Tanzania and Iran, the African country will pay its debts...
Kuna mchambuzi mmoja wa kimataifa UTV/Azam huwa wanapenda sana kumuweka achambue siasa za kimataifa, huwa anavaa sana kisela, jeans za ajabu ajabu na tisheti, ukimuangalia hakai kama mchambuzi wa kimataifa kabisa. Ni vyema Azam TV ikiwa kama brand kubwa Africa ijitahidi hata kumnunulia angalau...
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, ameipongeza Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) kwa kubuni na kuandaa shindano la stadi za ufundishaji kwa walimu wa shule za msingi na sekondari, akisema kuwa tuzo zinazotolewa kwa washindi zinaleta motisha na kuwatia hamasa walimu...
Unakuta mwanaume pua imejaa mafuta hadi inatoa vinywele vyeupe, kwenye kucha nako ni chafu, tena kam anafanya kazi gerage ndio kabisa. Wengine nyuma ya mikono kumekakamaa sana, hata mafuta hawapaki, hii sio sawa.
Mwanaume unakua na ngozi laini, kucha safi, kama huwezi kwenda saluni basi sugua...
Tazama jinsi mmoja wa viongozi walio uwawa alivyopigwa akiwa chumbani kwake sijui amelala au anamgegeda wife
Unajiuliza hawa jamaa walikusanya vipi hizi intel na kupiga shabaha zao zote kwa ufani mkubwa?
Halafu kuna watu wanadai eti pale Gaza IDF inakazi ya kupiga wanawake na watoto
Kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.