Muvi ya kutisha na kuchosha.
Kama igizo lakini ni kweli.
Niwaambie kitu ambacho wengi hamkijui?!
Mlishajiuliza, ni kwa nini serikali ya Mh. Rais Samia iliamua kufuta vipande vya hotuba za Baba wa Taifa, katika Television na Radio zote?
Kachunguzeni, Mwinyi wala Mkapa hawakudiriki kuzuia...