Sijawahi kuona vita nyepesi kama hii kwa wananchi

Mr Dudumizi

JF-Expert Member
Sep 9, 2020
6,864
12,293
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Ndugu zangu katika maisha yangu yote sijawahi kushuhudia vita nyepesi, na ya kipuuzi kama hii. Vita hii ni tofauti na ile ya kisiasa ya Sudan kati ya kiongozi wa RSF jeneral Mohamed Hamdan "Hemedti" Dagalo, dhidi ya jeshi la taifa la Sudan linaloongozwa na jeneral Abdel Fattah al - Burhan.

Vita hii ninayoizungumzia hapa ni vita ya kiuchumi kati ya wananchi wa Tanzania milioni 60 tukiongozwa na kiongozi wetu wa nchi, amiri jeshi na raisi wetu mheshimiwa Dr Samia Suluhu Hassan, dhidi ya maadui wa taifa, wapitisha madawa ya kulevya bandarini, wakwepa ushuru na kodi wa bandarini na chawa wao wasizidi hata elfu 10 nchini wakiongozwa na wanasiasa uchwara, mawakili njaa na boss wao anaewapa hela ya kupambana na serikali, huyu sio mungine bali ni mh Karamagi.

Sasa vita ya namna hii kwangu mimi naiona nyepesi Sana, sababu mahali popote duniani ukiona serikali ya nchi fulan inaingia vitani, huku ikiwa na support kubwa ya wananchi, basi uwezekano wa kushinda vita hiyo ni mkubwa kuliko ukubwa wa neno lenyewe.

Tumeona jinsi mkutano wa leo huko Bukoba kwao na yule mama wa mboga mboga ulivyowadhalilisha waandaji.

Anyway acha niache watu waone matokeo.
 
Baada ya kuandika haya uliyoandika, weka mkataba hapa utonyeshe unakoma lini, Tanzania itapata nini kwenye huo mkataba na muwakilishi aliyesaini kwa upande wa DP WORLD, vinginevyo tulia nyumbani kwako, kula vipande vyako vya rushwa ulivyopata, subiri wanao na wajukuu waje kutaabika kwa sababu ya mzazi wao kuendekeza njaa.
 
Baada ya kuandika haya uliyoandika, weka mkataba hapa utonyeshe unakoma lini, Tanzania itapata nini kwenye huo mkataba na muwakilishi aliyesaini kwa upande wa DP WORLD, vinginevyo tulia nyumbani kwako, kula vipande vyako vya rushwa ulivyopata, subiri wanao na wajukuu waje kutaabika kwa sababu ya mzazi wao kuendekeza njaa.
Watu wanaenda mahakamani huko Mbeya, na mkutanoni huko Bukoba wakiwa wamelewa chakali. Wewe peke yako ndo hukupata kitu ndo maana haujui kinachoendelea.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Ndugu zangu katika maisha yangu yote sijawahi kushuhudia vita nyepesi, na ya kipuuzi kama hii. Vita hii ni tofauti na ile ya kisiasa ya Sudan kati ya kiongozi wa RSF jeneral Mohamed Hamdan "Hemedti" Dagalo, dhidi ya jeshi la taifa la Sudan linaloongozwa na jeneral Abdel Fattah al - Burhan.

Vita hii ninayoizungumzia hapa ni vita ya kiuchumi kati ya wananchi wa Tanzania milioni 60 tukiongozwa na kiongozi wetu wa nchi, amiri jeshi na raisi wetu mheshimiwa Dr Samia Suluhu Hassan, dhidi ya maadui wa taifa, wapitisha madawa ya kulevya bandarini, wakwepa ushuru na kodi wa bandarini na chawa wao wasizidi hata elfu 10 nchini wakiongozwa na wanasiasa uchwara, mawakili njaa na boss wao anaewapa hela ya kupambana na serikali, huyu sio mungine bali ni mh Karamagi.

Sasa vita ya namna hii kwangu mimi naiona nyepesi Sana, sababu mahali popote duniani ukiona serikali ya nchi fulan inaingia vitani, huku ikiwa na support kubwa ya wananchi, basi uwezekano wa kushinda vita hiyo ni mkubwa kuliko ukubwa wa neno lenyewe.

Tumeona jinsi mkutano wa leo huko Bukoba kwao na yule mama wa mboga mboga ulivyowadhalilisha waandaji.

Anyway acha niache watu waone matokeo.
Jifunze kuandika kwa kifupi huku ukizingatia hoja
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Ndugu zangu katika maisha yangu yote sijawahi kushuhudia vita nyepesi, na ya kipuuzi kama hii. Vita hii ni tofauti na ile ya kisiasa ya Sudan kati ya kiongozi wa RSF jeneral Mohamed Hamdan "Hemedti" Dagalo, dhidi ya jeshi la taifa la Sudan linaloongozwa na jeneral Abdel Fattah al - Burhan.

Vita hii ninayoizungumzia hapa ni vita ya kiuchumi kati ya wananchi wa Tanzania milioni 60 tukiongozwa na kiongozi wetu wa nchi, amiri jeshi na raisi wetu mheshimiwa Dr Samia Suluhu Hassan, dhidi ya maadui wa taifa, wapitisha madawa ya kulevya bandarini, wakwepa ushuru na kodi wa bandarini na chawa wao wasizidi hata elfu 10 nchini wakiongozwa na wanasiasa uchwara, mawakili njaa na boss wao anaewapa hela ya kupambana na serikali, huyu sio mungine bali ni mh Karamagi.

Sasa vita ya namna hii kwangu mimi naiona nyepesi Sana, sababu mahali popote duniani ukiona serikali ya nchi fulan inaingia vitani, huku ikiwa na support kubwa ya wananchi, basi uwezekano wa kushinda vita hiyo ni mkubwa kuliko ukubwa wa neno lenyewe.

Tumeona jinsi mkutano wa leo huko Bukoba kwao na yule mama wa mboga mboga ulivyowadhalilisha waandaji.

Anyway acha niache watu waone matokeo.
Wewe hata sheria huijui ni chawa tu asiye na elimu. Kama unayo ni bora hivyo vyeti ukaviudishe kwenye vyuo ulivyo soma.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Ndugu zangu katika maisha yangu yote sijawahi kushuhudia vita nyepesi, na ya kipuuzi kama hii. Vita hii ni tofauti na ile ya kisiasa ya Sudan kati ya kiongozi wa RSF jeneral Mohamed Hamdan "Hemedti" Dagalo, dhidi ya jeshi la taifa la Sudan linaloongozwa na jeneral Abdel Fattah al - Burhan.

Vita hii ninayoizungumzia hapa ni vita ya kiuchumi kati ya wananchi wa Tanzania milioni 60 tukiongozwa na kiongozi wetu wa nchi, amiri jeshi na raisi wetu mheshimiwa Dr Samia Suluhu Hassan, dhidi ya maadui wa taifa, wapitisha madawa ya kulevya bandarini, wakwepa ushuru na kodi wa bandarini na chawa wao wasizidi hata elfu 10 nchini wakiongozwa na wanasiasa uchwara, mawakili njaa na boss wao anaewapa hela ya kupambana na serikali, huyu sio mungine bali ni mh Karamagi.

Sasa vita ya namna hii kwangu mimi naiona nyepesi Sana, sababu mahali popote duniani ukiona serikali ya nchi fulan inaingia vitani, huku ikiwa na support kubwa ya wananchi, basi uwezekano wa kushinda vita hiyo ni mkubwa kuliko ukubwa wa neno lenyewe.

Tumeona jinsi mkutano wa leo huko Bukoba kwao na yule mama wa mboga mboga ulivyowadhalilisha waandaji.

Anyway acha niache watu waone matokeo.
Fikra CCM hizo, ndio tatizo la watanzania wengi ni kutopenda kufikiri, kupenda mteremko na kutojali kwani hawaoni hasara zozote hata nchi ikiuzwa.
 
Chadema ni pressure group...
Now wanafanyia kazi na Karamagi na Pengo... Pengo hataki waarabu.. Karamagi anaona Dpworld wakizuiwa atapewa yeye biashara tena...
Ndo maana wanapanda jukwaani na Maaskofu
TICTS hawezi pewa kazi pale.
Yeye aanze kuondoa crane zake

DP world lazima atapewa tu

Kama gezi ya Mtwara ilikuja hata pale Wanajeshi watawekwa kulinda na wataojifanya wahujumu watahujumiwa wao
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Ndugu zangu katika maisha yangu yote sijawahi kushuhudia vita nyepesi, na ya kipuuzi kama hii. Vita hii ni tofauti na ile ya kisiasa ya Sudan kati ya kiongozi wa RSF jeneral Mohamed Hamdan "Hemedti" Dagalo, dhidi ya jeshi la taifa la Sudan linaloongozwa na jeneral Abdel Fattah al - Burhan.

Vita hii ninayoizungumzia hapa ni vita ya kiuchumi kati ya wananchi wa Tanzania milioni 60 tukiongozwa na kiongozi wetu wa nchi, amiri jeshi na raisi wetu mheshimiwa Dr Samia Suluhu Hassan, dhidi ya maadui wa taifa, wapitisha madawa ya kulevya bandarini, wakwepa ushuru na kodi wa bandarini na chawa wao wasizidi hata elfu 10 nchini wakiongozwa na wanasiasa uchwara, mawakili njaa na boss wao anaewapa hela ya kupambana na serikali, huyu sio mungine bali ni mh Karamagi.

Sasa vita ya namna hii kwangu mimi naiona nyepesi Sana, sababu mahali popote duniani ukiona serikali ya nchi fulan inaingia vitani, huku ikiwa na support kubwa ya wananchi, basi uwezekano wa kushinda vita hiyo ni mkubwa kuliko ukubwa wa neno lenyewe.

Tumeona jinsi mkutano wa leo huko Bukoba kwao na yule mama wa mboga mboga ulivyowadhalilisha waandaji.

Anyway acha niache watu waone matokeo.
makuwadi na vibaraka wa warabu koko kutoka dubai rudishen hela mlizohongwa .
 
Yaani eti leo ndio Lissu anasema ataenda Chato kuhiji? Khaa.
Huyo mchumia tumbo ni wa kumhurumia. Anachoangalia muda wote ni tumbo lake tu. Ndomaana huwa hana anachosimamia katika maisha yake.

Hata Dr mihogo alishawahi kumzungumzia katika kitabu chake. Soma vizuri ha
 

Attachments

  • FB_IMG_15811802487742276.jpeg
    FB_IMG_15811802487742276.jpeg
    94.8 KB · Views: 2
Back
Top Bottom