Kwa uamuzi huu sasa Urusi kumaliza vita kwa haraka

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,194
10,929
Kuanzia sasa meli yoyote itakayokatiza bahari nyeusi kuelekea Ukraine itachukuliwa kana kwamba imebeba silaha kwaajili ya Ukraine na inaweza kushambuliwa.

Hatua hiyo ya Urusi imekuja siku mbili tu baada ya kujitoa kwenye mkataba wa usafirishaji wa nafaka uliosimamiwa na Umoja wa mataifa pamoja na Uturuki.

Kama kuoa onyo kwa vyombo hivyo vya bahari,mara tu baada ya kusitisha mkataba huo Urusi ilirusha mabomu mengi kutoka angani kuelekea bandari ya Odessa ambayo ndiyo bahari kuu ya kusafirishia bidhaa za kilimo za Ukraine.

Naye Rais wa Ukraine, Volodomyr Zelensky katika hali ya ukaidi mara lilipotaka tangazo la Urusi kujitoa mkataba huo alisema Ukraine haijali na kwamba tayari imeshaanza mchakato wa kusafirisha bidhaa zake bila kuiangalia Urusi inataka nini.

1689831879834.png


Yahoo News
 

Attachments

  • 1689830911506.png
    1689830911506.png
    48.6 KB · Views: 7
Mbona hiyo rahisi tu mzigo unasafirishwa na Ukraine ila meli inakuwa na bendera ya marekani au uturuki kwahiyo putin akishambulia meli anakuwa ameishambulia marekani au uturuki.
Urusi akikazjia msimamo wake hakuna meli itakayopita hapo iwe ya Uturuki au Marekani. hasa kwa kutilia maanani meli nyingi zinazopakia bidhaa huko ni za mashirika ya watuj binafsi.
Wana haki ya kufanya hivyo ili kuikaba kiuchumi Ukraine.Katika kipindi cha mwaka mmoja wamekuwa jeuri sana kwani wameweza kuuza ngano nje na kununua silaha.Na upo uwezekano pia kuwa si vifaru vyote vilivyoingia Ukraine vimepita kwa njia ya PolanD .yawezekana silaha nyingi zimepelekwa huko kupitia meli zinazojifanya zinakwenda kupakia ngano.
 
Urusi akikazjia msimamo wake hakuna meli itakayopita hapo iwe ya Uturuki au Marekani. hasa kwa kutilia maanani meli nyingi zinazopakia bidhaa huko ni za mashirika ya watuj binafsi.
Wana haki ya kufanya hivyo ili kuikaba kiuchumi Ukraine.Katika kipindi cha mwaka mmoja wamekuwa jeuri sana kwani wameweza kuuza ngano nje na kununua silaha.Na upo uwezekano pia kuwa si vifaru vyote vilivyoingia Ukraine vimepita kwa njia ya PolanD .yawezekana silaha nyingi zimepelekwa huko kupitia meli zinazojifanya zinakwenda kupakia ngano.
Kama watu walienda kushambulia ikulu ya urusi kwa drone. je watashindwaje kupeleka siraha Ukraine.
 
Mbona hiyo rahisi tu mzigo unasafirishwa na Ukraine ila meli inakuwa na bendera ya marekani au uturuki kwahiyo putin akishambulia meli anakuwa ameishambulia.
Mnajisemea tu, yaani mnafikiri Urusi inaiiogopa Merikani hata ikipuuza onyo lake na kupandisha bendera mshenzi za meli kukatisha Black Sea kwenda Odessa,, US ikikihuka onyo la Russia huondio utakuwa chazo cha WW3 ambacho wala Merikani haiwezi kushinda, itatandikwa kweli kweli na mataifa rafiki kuchangia,msifikiri Urusi haina marafiki wakubwa wenye uwezo mkubuwa kijeshi..


Tunaaema mata nyingi kwamba Urusi si banana Republic, sasa subilini muome kama Meli za Merikani zitajitia kupupelia amri ya Urusi kwa kupepelerusha bendera za Merikani eti zisiguswe na Urusi,zitazamishwa zote na Russian formidable anti ship missiles, Urusi kidogo anaweza kuzirihusu Meli za Uturuki lakini kwa hali ulivyo sasa hivi unaweza. kumuamini nani umuache nani,kama wajaja wanatumia hata meli za Uturuki kusafirisha silaha za kuvita kwa kificho wa kutumia kisingizio cha usafirishai wa ngano unafikiri Warusi wafanyeje kukomesha ujinga huu.

Warusi hawana utani hata kidogo - kama Merikani inataka taifa lake lichakazwe basi wajaribu kuichezea Urusi - Waerika wakifanya ujinga huo watajuta kuzaliwa, sisemi Urusi haiwezi kupata madhara lakini wao walisha wafundisha raia wao kwa miaka mingi sana jinsi ya kujikinga pamoja na ku-deal na thermonuclear war exchange wanaposikia mlio wa certain type ya vingora - sina uhakika kama Merikani hilo walisha lifikiria hata kidogo zaidi ya kuchimba maandaki ya kuwalinda viongozi wa Whitehouse tu na si raia, uanadamu huo hawana kabisa hata taifa lao likigeuzwa thermonuclear wasteland wao wana ona na sawa watu - vipngozi wao wataishi tu na ku-tell the tale the morning
after ie ni nuclear proof!!

Tofauti kabisa na Warusi ambao miaka nenda rudi walikuwa wanajenga under ground infrastructure za kuwalinda raia wake karibu wote dhidi ya thermonuclear missiles/bombs nchi nzima ina facilities kama hizo.
 
Kama watu walienda kushambulia ikulu ya urusi kwa drone. je watashindwaje kupeleka siraha Ukraine.
Katika vita kama hii unajua unapigana na mwenzako mwenye akili na silaha kama wewe.Unachotakiwa ni kutumia akili kupunguza madhara na kumdhoofisha adui kwa wakati mmoja.Kwa hili Nato wanalifanya na Urusi naye anafanya lakini Urusi anaonekana amewazidi kete sana maadui zake.
Kwa maana hiyo kama Urusi akiacha utani na huruma alizonazo kama zile kwa Prigozhin basi atafaidika sana na marufuku yake kwa bandari chache zilizobakia za Ukraine.Hakuna kupakia wala kupakua chochote hapo bila ruhusa yake.Marufuku hiyo itasaidia sana kuilinda Crimea.
Angalia mbinu ya kusia mabomu ardhini ilivyoweza kuwarudisha nyuma Ukraine katika mpango wao uliogharimu fedha nyingi za nchi za NATO kiasi kwamba baadhi yao sasa wamesitisha kuchangia vifaru kwa Ukraine.
 
Kuanzia sasa meli yaoyote itakayokatiza bahari nyeusi kuelekea Ukraine itachukuliwa kama kwamba imebeba silaha kwa ajili ya Ukraine na inaweza kushambuliwa.

Hatua hiyo ya Urusi imekuja siku mbili tu baada ya kujitoa kwenye mkataba wa usafirishaji wa nafaka uliosimamiwa na Umoja wa mataifa pamoja na Uturuki.

Kama kuoa onyo kwa vyombo hivyo vya bahari,mara tu baada ya kusitisha mkataba huo Urusi ilirusha mabomu mengi kutoka angani kuelekea bandari ya Odessa ambayo ndiyo bahari kuu ya kusafirishia bidhaa za kilimo za Ukraine.

Naye Rais wa Ukraine, Volodomyr Zelensky katika hali ya ukaidi mara lilipotaka tangazo la Urusi kujitoa mkataba huo alisema Ukraine haijali na kwamba tayari imeshaanza mchakato wa kusafirisha bidhaa zake bila kuiangalia Urusi inataka nini.

View attachment 2693932
Ushabikia mtu mmoja kuingia himaya ya mwengine?
 
Urusi akikazjia msimamo wake hakuna meli itakayopita hapo iwe ya Uturuki au Marekani. hasa kwa kutilia maanani meli nyingi zinazopakia bidhaa huko ni za mashirika ya watuj binafsi.
Wana haki ya kufanya hivyo ili kuikaba kiuchumi Ukraine.Katika kipindi cha mwaka mmoja wamekuwa jeuri sana kwani wameweza kuuza ngano nje na kununua silaha.Na upo uwezekano pia kuwa si vifaru vyote vilivyoingia Ukraine vimepita kwa njia ya PolanD .yawezekana silaha nyingi zimepelekwa huko kupitia meli zinazojifanya zinakwenda kupakia ngano.
Kuna uhalali wowote wa urusi kufanya yote hayo?
 
Back
Top Bottom