Muvi ya kutisha na kuchosha.
Kama igizo lakini ni kweli.
Niwaambie kitu ambacho wengi hamkijui?!
Mlishajiuliza, ni kwa nini serikali ya Mh. Rais Samia iliamua kufuta vipande vya hotuba za Baba wa Taifa, katika Television na Radio zote?
Kachunguzeni, Mwinyi wala Mkapa hawakudiriki kuzuia, Kikwete wala JPM vilevile hawakuzuia hizo hotuba, ni kwa nini sasa, kwa Samia?!
Serikali ya CCM imeamua liwalo na liwe, inapambana na "nchi".
Haina tena simile wala soni,
Imeshamaliza kupambana karibia na kila mtu, sasa inapambana na nchi.
Sasa CCM imeamua kukodisha vikosi vya maangamizi ili kuishinda hii vita.
CCM imekodisha kombora la 'UDINI', UCHAWA, UKUNGUNI, UOGA, VITISHO, UJINGA, RUSHWA, UNAFIKI,, n.k ili kuimaliza kabisa nchi.
Ikifikia hatua sheria na kanuni za nchi zinabadilishwa ili kumgawia mtu rasilimali na maliasili mbalimbali, ujue serikali inapigana na nchi.
Kama igizo lakini ni kweli.
Niwaambie kitu ambacho wengi hamkijui?!
Mlishajiuliza, ni kwa nini serikali ya Mh. Rais Samia iliamua kufuta vipande vya hotuba za Baba wa Taifa, katika Television na Radio zote?
Kachunguzeni, Mwinyi wala Mkapa hawakudiriki kuzuia, Kikwete wala JPM vilevile hawakuzuia hizo hotuba, ni kwa nini sasa, kwa Samia?!
Serikali ya CCM imeamua liwalo na liwe, inapambana na "nchi".
Haina tena simile wala soni,
Imeshamaliza kupambana karibia na kila mtu, sasa inapambana na nchi.
Sasa CCM imeamua kukodisha vikosi vya maangamizi ili kuishinda hii vita.
CCM imekodisha kombora la 'UDINI', UCHAWA, UKUNGUNI, UOGA, VITISHO, UJINGA, RUSHWA, UNAFIKI,, n.k ili kuimaliza kabisa nchi.
Ikifikia hatua sheria na kanuni za nchi zinabadilishwa ili kumgawia mtu rasilimali na maliasili mbalimbali, ujue serikali inapigana na nchi.