Vita vya Urusi na NATO kupanuka mpaka Afrika Magharibi nani atashinda?

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,183
10,921
Kumekuwepo na fununu za muda mrefu juu ya kuwepo kwa wapiganaji wa kikundi cha Wagner kilichohusishwa na kiongozi wa Urusi,Vladmir Putin.Hii ilikuwa ni kabla hata ya kuanza kwa vita vinavyoendelea sasa baina ya Ukraine na Urusi.

Katika kipindi kifupi fununu hizo ziliongezeka baada ya kutokea kwa mapinduzi ya kijeshi kwenye nchi za Afrika magharibi na kati kama vile Mali na Burkinafaso. Mapinduzi hayo mara zote yameambatana na kufukuzwa kwa majeshi ya Ufaransa ambayo ni mwanachama wa jumuiya ya kujihami ya NATO. Hali hiyo ilipelekea Ufaransa kuhamishia shughuli zake Niger ambako tayari Marekani ina kituo chake kikubwa cha kuongozea droni za kupambana na inaowaita wanamgambo wa ISIS na Alqaeda na Bokoharam.

Wiki iliyopita mapinduzi mengine yameendelea nchini huko ambako ilikuwa kama ni ngome kubwa ya washirika wa NATO kwa magharibi ya Afrika.Kilichoshangaza ni kutokea waandamanaji wengi wakiunga mkono mapinduzi hayo na kupeperusha bendera za Urusi.

Nchi ya Ufaransa na nchi nyengine zimehamisha wananchi wake lakini inaonekana ni kwa shingo upande huku ikitafuta mwanya wa kubaki.Kitu kilichowapa moyo kutokutoa tamko la kuondoka moja kwa moja ni tangazo la ECOWAS la kuwataka wanajeshi waliopindua kumrudisha kiongozi wa kidemokrasia,raisi Bazoum ambaye wanasema alichaguliwa kidemokrasia.

Kwa upande mwengine majirani wa Niger,Burkinafaso na Mali na nchi ya Guinea nao wametoa onyo iwapo ECOWAS itatumia nguvu kama walivyotangaza za kumrudisha madarakani raisi Bazoum basi na wao watakuwa pamoja na Niger.

Maamuzi ya ECOWAS ni kama kwamba yanaonekana kuwaunga mkono NATO na kwa upande mwengine NATO nao wameamua kuunga mkono uamuzi huo kwa maslahi ya kubaki Niger hapo.

Jana kiongozi Kuonesha kuwa ECOWAS imedhamiria kufanya kweli hapo juzi mwanachama mkubwa wa umoja huo Nigeria iliizimia umeme Niger ambayo inapata nguvu za nishati ya umeme zaidi ya asilimia 70 kutoka nchini humo.

Kwa upande wa kuonesha Niger nayo imedhamiria kweli kulinda mapinduzi yake hapo jana mmoja wa viongozi wa juu wa mapoinduzi ya kijeshi General Salifou Mody alikwenda Mali kukutana rasmi na wawakilishi wa Wagner kupanga namna ya kuyalinda mapinduzi hayo ambayo yakikamilika na kufanikiwa itakuwa na faida kubwa kwa taifa la Urusi kiuchumi na kisiasa.
 
Kumekuwepo na fununu za muda mrefu juu ya kuwepo kwa wapiganaji wa kikundi cha Wagner kilichohusishwa na kiongozi wa Urusi,Vladmir Putin.Hii ilikuwa ni kabla hata ya kuanza kwa vita vinavyoendelea sasa baina ya Ukraine na Urusi.

Katika kipindi kifupi fununu hizo ziliongezeka baada ya kutokea kwa mapinduzi ya kijeshi kwenye nchi za Afrika magharibi na kati kama vile Mali na Burkinafaso. Mapinduzi hayo mara zote yameambatana na kufukuzwa kwa majeshi ya Ufaransa ambayo ni mwanachama wa jumuiya ya kujihami ya NATO. Hali hiyo ilipelekea Ufaransa kuhamishia shughuli zake Niger ambako tayari Marekani ina kituo chake kikubwa cha kuongozea droni za kupambana na inaowaita wanamgambo wa ISIS na Alqaeda na Bokoharam.

Wiki iliyopita mapinduzi mengine yameendelea nchini huko ambako ilikuwa kama ni ngome kubwa ya washirika wa NATO kwa magharibi ya Afrika.Kilichoshangaza ni kutokea waandamanaji wengi wakiunga mkono mapinduzi hayo na kupeperusha bendera za Urusi.

Nchi ya Ufaransa na nchi nyengine zimehamisha wananchi wake lakini inaonekana ni kwa shingo upande huku ikitafuta mwanya wa kubaki.Kitu kilichowapa moyo kutokutoa tamko la kuondoka moja kwa moja ni tangazo la ECOWAS la kuwataka wanajeshi waliopindua kumrudisha kiongozi wa kidemokrasia,raisi Bazoum ambaye wanasema alichaguliwa kidemokrasia.

Kwa upande mwengine majirani wa Niger,Burkinafaso na Mali na nchi ya Guinea nao wametoa onyo iwapo ECOWAS itatumia nguvu kama walivyotangaza za kumrudisha madarakani raisi Bazoum basi na wao watakuwa pamoja na Niger.

Maamuzi ya ECOWAS ni kama kwamba yanaonekana kuwaunga mkono NATO na kwa upande mwengine NATO nao wameamua kuunga mkono uamuzi huo kwa maslahi ya kubaki Niger hapo.

Jana kiongozi Kuonesha kuwa ECOWAS imedhamiria kufanya kweli hapo juzi mwanachama mkubwa wa umoja huo Nigeria iliizimia umeme Niger ambayo inapata nguvu za nishati ya umeme zaidi ya asilimia 70 kutoka nchini humo.

Kwa upande wa kuonesha Niger nayo imedhamiria kweli kulinda mapinduzi yake hapo jana mmoja wa viongozi wa juu wa mapoinduzi ya kijeshi General Salifou Mody alikwenda Mali kukutana rasmi na wawakilishi wa Wagner kupanga namna ya kuyalinda mapinduzi hayo ambayo yakikamilika na kufanikiwa itakuwa na faida kubwa kwa taifa la Urusi kiuchumi na kisiasa.
NATO
 
Mimi najiuliza Russia inapata wapi fedha za kuendesha Vita na Ukraine! Na wakati huo huo kuendesha vita Africa kuwatimua wakaloni wa nchi za Africa! Imewekewa vikwazo lukuki na nchi za Magharibi lakini bado inaupiga mwingi. Lakini amezihakikishia nchi za Africa kupata nafaka kwa bei ya chini,tena kama sikusahahu bila transport charges,na pia ameahidi kuzifutia madeni baadhi ya nchi!
 
Tuwe realistic guys, Ukraine haina uwezo kumkaba koo Urusi.
Kama mtengenezaji na muuzaji mkubwa wa silaha dunian Leo hii anamtegemea north Korea.., unafikiri tutumie lugha gani kuelezea Hali hiyo?

Russia seeks to buy more munitions from North Korea for the war in Ukraine as Moscow grows increasingly dependent on foreign supplies, the Associated Press (AP) reported on Aug. 3, citing U.S. National Security Council spokesperson John Kirby.

Kirby said that according to U.S. intelligence, Russian Defense Minister Sergei Shoigu presented the request last week during his visit to Pyongyang on the 70th anniversary of the Korean War armistice.
 
Tuwe realistic guys, Ukraine haina uwezo kumkaba koo Urusi.
Urusi kakabwa koo ,Hilo liko wazi
Screenshot_20230804-163209.jpg
 
Kumekuwepo na fununu za muda mrefu juu ya kuwepo kwa wapiganaji wa kikundi cha Wagner kilichohusishwa na kiongozi wa Urusi,Vladmir Putin.Hii ilikuwa ni kabla hata ya kuanza kwa vita vinavyoendelea sasa baina ya Ukraine na Urusi.

Katika kipindi kifupi fununu hizo ziliongezeka baada ya kutokea kwa mapinduzi ya kijeshi kwenye nchi za Afrika magharibi na kati kama vile Mali na Burkinafaso. Mapinduzi hayo mara zote yameambatana na kufukuzwa kwa majeshi ya Ufaransa ambayo ni mwanachama wa jumuiya ya kujihami ya NATO. Hali hiyo ilipelekea Ufaransa kuhamishia shughuli zake Niger ambako tayari Marekani ina kituo chake kikubwa cha kuongozea droni za kupambana na inaowaita wanamgambo wa ISIS na Alqaeda na Bokoharam.

Wiki iliyopita mapinduzi mengine yameendelea nchini huko ambako ilikuwa kama ni ngome kubwa ya washirika wa NATO kwa magharibi ya Afrika.Kilichoshangaza ni kutokea waandamanaji wengi wakiunga mkono mapinduzi hayo na kupeperusha bendera za Urusi.

Nchi ya Ufaransa na nchi nyengine zimehamisha wananchi wake lakini inaonekana ni kwa shingo upande huku ikitafuta mwanya wa kubaki.Kitu kilichowapa moyo kutokutoa tamko la kuondoka moja kwa moja ni tangazo la ECOWAS la kuwataka wanajeshi waliopindua kumrudisha kiongozi wa kidemokrasia,raisi Bazoum ambaye wanasema alichaguliwa kidemokrasia.

Kwa upande mwengine majirani wa Niger,Burkinafaso na Mali na nchi ya Guinea nao wametoa onyo iwapo ECOWAS itatumia nguvu kama walivyotangaza za kumrudisha madarakani raisi Bazoum basi na wao watakuwa pamoja na Niger.

Maamuzi ya ECOWAS ni kama kwamba yanaonekana kuwaunga mkono NATO na kwa upande mwengine NATO nao wameamua kuunga mkono uamuzi huo kwa maslahi ya kubaki Niger hapo.

Jana kiongozi Kuonesha kuwa ECOWAS imedhamiria kufanya kweli hapo juzi mwanachama mkubwa wa umoja huo Nigeria iliizimia umeme Niger ambayo inapata nguvu za nishati ya umeme zaidi ya asilimia 70 kutoka nchini humo.

Kwa upande wa kuonesha Niger nayo imedhamiria kweli kulinda mapinduzi yake hapo jana mmoja wa viongozi wa juu wa mapoinduzi ya kijeshi General Salifou Mody alikwenda Mali kukutana rasmi na wawakilishi wa Wagner kupanga namna ya kuyalinda mapinduzi hayo ambayo yakikamilika na kufanikiwa itakuwa na faida kubwa kwa taifa la Urusi kiuchumi na kisiasa.
Ngoja wakome wawe sehemu ya majaribio ya silaha,mnapoambiwa mapinduzi sio kitu kizuri muwe mnaelewa
 
Mimi najiuliza Russia inapata wapi fedha za kuendesha Vita na Ukraine! Na wakati huo huo kuendesha vita Africa kuwatimua wakaloni wa nchi za Africa! Imewekewa vikwazo lukuki na nchi za Magharibi lakini bado inaupiga mwingi. Lakini amezihakikishia nchi za Africa kupata nafaka kwa bei ya chini,tena kama sikusahahu bila transport charges,na pia ameahidi kuzifutia madeni baadhi ya nchi!

IMG_2201.jpg
 
Kama mtengenezaji na muuzaji mkubwa wa silaha dunian Leo hii anamtegemea north Korea.., unafikiri tutumie lugha gani kuelezea Hali hiyo?

Russia seeks to buy more munitions from North Korea for the war in Ukraine as Moscow grows increasingly dependent on foreign supplies, the Associated Press (AP) reported on Aug. 3, citing U.S. National Security Council spokesperson John Kirby.

Kirby said that according to U.S. intelligence, Russian Defense Minister Sergei Shoigu presented the request last week during his visit to Pyongyang on the 70th anniversary of the Korean War armistice.
Unaweza kuelezea bila kunukuu hivyo vidude vya uongo na ukweli.

All in all Ukraine haina ubavu wa kupigana na Urusi ndio vita inapiganwa ndani ya Ukraine. Ingekuwa kinyume chake basi Russia angeshazalisha wakimbizi wanaokimbia mashambulizi ya ukraine.
 
Kama mtengenezaji na muuzaji mkubwa wa silaha dunian Leo hii anamtegemea north Korea.., unafikiri tutumie lugha gani kuelezea Hali hiyo?

Russia seeks to buy more munitions from North Korea for the war in Ukraine as Moscow grows increasingly dependent on foreign supplies, the Associated Press (AP) reported on Aug. 3, citing U.S. National Security Council spokesperson John Kirby.

Kirby said that according to U.S. intelligence, Russian Defense Minister Sergei Shoigu presented the request last week during his visit to Pyongyang on the 70th anniversary of the Korean War armistice.
Kumbe ananunua?
Siyo kwamba Russia hawezi kutengeneza munitions anaweza, lakini kama anaona gharama ya kutengeneza munitions ni kubwa kwa nini asinunue?
 
Hizo source uchwara ndio zinatangaza kwamba Russia anamtegemea pia Iran kwa ammunition mbalimbali hasa makombora na zile Shaheed drones sio!?

Mpaka hapo huoni kwamba Ukraine kamkaba koo huyu super pawer wa mchongo?
Kama amemkaba koo , kwanini NATO wanaogopa kumpa silaha za masafa marefu zenye uwezo wa kufika hadi ndani ya Urusi ?
 
Back
Top Bottom