abagabo
Senior Member
- Jun 4, 2014
- 155
- 168
Tundu Lissu akiwa Bukoba Mjini amesema anasikia taarifa za kuwa wakishinda hawatotangazwa.
Amemuasa Rais Magufuli kutothubutu kufanya hivyo akimwambia kuwa hana Jeshi la kuzuia wao kutangazwa hasa ukitegemea hajawalipa wanajeshi vizuri kwa miaka 5.
Ameenda mbali zaidi na kusema endapo atadiriki kufanya hivyo watamshitaki Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai “The Hague”
Amemuasa Rais Magufuli kutothubutu kufanya hivyo akimwambia kuwa hana Jeshi la kuzuia wao kutangazwa hasa ukitegemea hajawalipa wanajeshi vizuri kwa miaka 5.
Ameenda mbali zaidi na kusema endapo atadiriki kufanya hivyo watamshitaki Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai “The Hague”