video

  1. Gmox

    GE2020 Bernard Membe: Nitagombea Urais Upinzani ukinipa ridhaa

    Waziri wa Mambo ya Nje wa zamani wa Tanzania na kada wa chama tawala cha Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa miongo mingi Bernard Membe anasema ikiwa Vyama vya Upinzani vitaungana na kumpa ridhaa ya kugombea nafasi ya Urais, basi atakuwa tayari kupambana na Rais John Magufuli katika uchaguzi mkuu ujao...
  2. Erythrocyte

    Video: Frank Mwakajoka aaga kwa kishindo Tunduma

    Hakika kwenye uchaguzi wa 2020 kazi si nyepesi kama baadhi wanavyodhani, ukiangalia video hii utagundua kwamba hiki chama kinachoitwa Chadema kimeshindikana . Pamoja na kudhulumiwa kila kitu kwa miaka mitano, ikiwemo kukamatwa na kubambikwa kila aina ya kesi lakini mkutano mmoja tu wa hadhara...
  3. Erythrocyte

    GE2020 Video: Gwajima ukiwa muongo usiwe msahaulifu, alisema Kuutaka Ubunge ni kujishusha chini

    Kwa vile ndugu Mtumishi umeamua mwenyewe kugombea Ubunge basi tuvumiliane, hizi ndio siasa zetu kaka yangu, kukumbushana ni wajibu.
  4. Cannabis

    GE2020 Bernard Membe: Nina dhamira ya kuwania urais wa Tanzania

    Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa Kimatifa wakati wa Serikali ya Tanzania, Bernard Membe ambaye mwezi Februari mwaka huu chama chake cha CCM kilipendekeza kumvua uanachama wake amesisitiza kuwa dhamira na uamuzi wake wa kuwania nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa...
  5. mathsjery

    Nimeeleza hapa kuhusu kubadili video yoyote kuwa audio

    kuna jamaa kaniuliza kuhusu software inayoweza kubadili video kuwa audio, huyu jamaa anajiita EINSTEIN112 kwa hiyo nimeona nifungue huu uzi hapa. Kwa kuwa kule kulikuwa na uzi unaohusu mambo mengine. Karibu we jamaa. Ndugu, Nafikiri kuna software kibao ziko sokoni kwa ajili ya kazi hiyo...
  6. D

    Video za YouTube zinastream kama kawaida kwenye TV tatizo Intenet Browser

    Naomba kusaidiwa tatizo hili lililoanza hivi karibuni. Niliponunua na kufanya setting za kawaida za hii Smart TV Sony bravia yenye bowser Opera nilikuwa nikiona videos zote za you tube na za site mbalimbali kama kawaida. Sasa imeanza kuleta shida kwenye inteneti browser video haziplay...
  7. Erythrocyte

    Video: Aliyekuwa RPC wa Arusha aanza majukumu mapya kwa kishindo huko CCP Moshi

    Pamoja na mapungufu yake kama Mwanadamu IGP Sirro amejaaliwa kipawa cha ugunduzi wa kipaji cha mtu , na hasa kwenye eneo lake la polisi . Ukiangalia video hii utagundua kwamba huyu RPC hili ndio eneo lililomfaa tangu awali
  8. Erythrocyte

    Video: Mabango yenye Majina ya Peter Mutharika yaanza kung'olewa na wananchi

    Hili liwe fundisho kwa viongozi wengine wa Kiafrika, kwamba watu wengi wanaweza kuwa wanakuchekea kwa vile uko madarakani tu, na hasa kwa vile unawajazia matumbo yao, lakini ukitoka ndio utaijua rangi yao halisi. Majuto ni mjukuu
  9. Mkikuyu- Akili timamu

    Ukahaba Kenya: Licha ya Corona, Biashara inaendelea sasa mchana kweupe (Video)

    Wakenya humu huwa na tabia za kusingizia mataifa mengine eti wanawaletea Corona kumbe Nairobi wadau wanaendelea kunyanduana huku wakupumuliana na kumwagiliana Ute ulio jaa Corona. Lakushangaza ni kwamba hawa makahaba hautasikia serikali inawapima corona, Madereva wa kutoka nchi jirani eti ndio...
  10. G Sam

    Polisi, CHADEMA sasa wafika pabaya. CHADEMA waanza kuwindwa kama wahalifu (Video)

    Inaonekana ukiwa mwana CHADEME kwa sasa ni zaidi ya gaidi. Hapa wana CHAEMA walikuwa wanaenda kumlaki Mbunge wao anayerejea kuja kutoa shukrani za uaminifu kwao sasa inaonekana wezuiwa. Swali, mbona kwa CCM haya ni ya kawaida? Hivi ni moja ya vitu vinavyomfanya Rais Magufuli kuonekana kuendesha...
  11. Erythrocyte

    Video: Hivi ndivyo kura za marudio ya uchaguzi wa Rais zilivyolindwa na wananchi nchini Malawi. Hakika kuna la kuifunza Tanzania

    Hakuna ujanja wa kutumia wakurugenzi , watu wasiojulikana wala polisi . Mungu ibariki Malawi
  12. Erythrocyte

    Video : Iwe fundisho kwamba kujipendekeza hakusaidii chochote , ewe mtumishi wa umma tenda haki

    Huyu ni RPC wa Arusha akishiriki tamasha la ccm , lakini leo kang'olewa bila huruma . Shetani hana rafiki
  13. U

    NEW Video: Rosa Ree - Kupoa {Official Video}

    Rapper wa Kike Tanzania Rosa Ree Ameachia Video ya nyimbo mpya inayoitwa - Kupoa Nimekuwekea hapa chini uitazame mtu wangu.
  14. mgt software

    RPC Shana umekoswakoswa ya dhahabu Mwanza na umekoswa mgogoro wa Arusha; hii ya kujipendekeza CCM kupitiliza itakuletea shida. Linda maadili

    Jf Imara Rais JPM amesema alikua anawatizama tu na aliwapa muda wa kuyamaliza wakashindwa. Akamuagiza Waziri Jafo awasuluhishe bado ikashindikana. Mwisho akaamua kutimua wote. Hapa JPM ametumia busara sana. Happy Wa Joseph (BIBI) anasema ukiona watoto wanagombania chakula wakati kinawatosha...
  15. A

    Jinsi nilivyoanza safari ya kutengeneza video games

    Nilipokuwa mdogo nlipenda sana game nilikuwa nkiona computer nachanganyikiwa kinachonijia akilini ni game kipndi kile nlikuwa sina uwezo wa kumiliki computer, washkaji zangu walipo kuja kuwa na computer nlitumia computer zao kucheza sana game mpk nilipo kuja miliki PC yangu, siku rizika...
  16. Erythrocyte

    Video: Laana ya wizi wa kura 2015 yamtafuna Salim Jecha. Ashindwa kujieleza vizuri, ajing'ata ulimi

    Hebu muangalie alivyoboronga ! hivi ccm inawaokota wapi watu wa namna hii ?
  17. Chakaza

    Mmewatesa, kuwanyanyasa na kuwatweza lakini Mioyo yao bado imara. Fundisho

    Hakika ukiangalia haka ka clip kafupi moyo lazima ukusisimke na kujiuliza hawa viongozi wana upendo kiasi gani baada ya kupitia machungu na manyanyaso kiasi hiki kwa miaka mitano? Hakika Chadema ni mpango wa Mungu na kuwaacha hawa na kuchagua wale wajisifiao na kulazimisha kuabudiwa ni sawa na...
  18. Erythrocyte

    Video: Hatimaye Mwamba Freeman Mbowe amenyanyuka , aanza kuchechemea kwa Magongo

    Hakika Mungu si Athumani , hebu jionee utukufu wa Mungu kwenye video hii
  19. J

    JF DIGITAL SKILLS: Zuia matangazo katika video za YouTube kwa mbinu hii rahisi

    Mtandao wa YouTube umejizolea umaarufu kwa kuwa kituo na jukwaa kuu la taarifa na burudani kwa njia ya picha mjongeo (Videos) Aidha, kwa nyakati tofauti watumiaji wake wamekuwa wakikerwa na mlolongo wa matangazo kila wanapofuatilia ua kutazama video kupitia YouTube Mbinu rahisi ya kuzia...
  20. ndanda masasi

    Suleiman Bungara (BWEGE) Mbunge wa Kilwa Kusini: "Kwaheri CUF, hodi ACT Wazalendo"

    Mbunge wa Jimbo la Kilwa Kusini Mhe.Selemani Bungara (Bwege) ametangaza kukihama chama Cha Wananchi Cuf na kuhamia chama cha ACT Wazalendo azalendo mara baada ya bunge kuvunjwa hapo kesho. --- Ifahamike kuwa, nimeitumikia nafasi ya uwakilishi wa wananchi kwa maana ya ubunge wa Kilwa Kusini...
Back
Top Bottom