Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,602
- 218,006
Hii hapa jionee mwenyewe
Mungu hadhihakiwi .Jana Mwenyekiti wao alimwambia Mungu Oyee, kama mwanasiasa mwenzake.
Huu ni uwendawazimu uliopitiliza Kama muumini mkatoliki napingana na huu ufedhuliMungu hadhihakiwi .
pole sana mkuuHuu ni uwendawazimu uliopitiliza Kama muumini mkatoliki napingana na huu ufedhuli
Hii ni hatari ila NEC hutawasikia wanasubili Chadema waige ndipo uwaone.Hii hapa jionee mwenyewe
View attachment 1574087
Asante kiongozi huwa nipo neutral ila upuuzi unapozidi lazima tupaze sauti kukemeapole sana mkuu
Wee! Serious?Jana Mwenyekiti wao alimwambia Mungu Oyee, kama mwanasiasa mwenzake.
Mkuu, daah!! Mbona mnatulazimisha tucheke aisee!!!Jana Mwenyekiti wao alimwambia Mungu Oyee, kama mwanasiasa mwenzake.
Lakini sasa na wewe mkuu, Kwa heshima yako yote hapa, umeamua kuanza kuivunja Kwa maksudi siyo?Hii hapa jionee mwenyewe
View attachment 1574087
Ametuhudhi sana sisi wakristo.Ni dharau kwa biblia na MunguHii hapa jionee mwenyewe
View attachment 1574087
Pevuka mkuuAmetuhudhi sana sisi wakristo.Ni dharau kwa biblia na Mungu
Ni kweli aliongea hivyo mimi niliwepoLakini sasa na wewe mkuu, Kwa heshima yako yote hapa, umeamua kuanza kuivunja Kwa maksudi siyo?
Yaani unataka tuanze kukudharu siyo?
Unashindwa tu kuielewa hiyo kwamba ni computer zimechezeshwa hapo?
Mbona wewe hujapevuka?Pevuka mkuu
Aisee!!!Ni kweli aliongea hivyo mimi niliwepo
sasa hilo neno lako zuri mwambie MagufuliHuwezi kusema "Mungu oyee". That simply is a blasphemy. Kama kuna sababu ya kumtukuza Mungu, basi unaweza kuwaambia watu wapige makofi na vigelegele kwa Mungu. Lakini siyo "Mungu oyeee"