ushauri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Ushauri wangu kwa Rais wa Zanzibar Dk. Hussein Ali Mwinyi

    Kwa mambo mazuri na makubwa uliyoyafanya huko 'Isles' uliko kama Rais wao na 'Mikakati' kabambe ya Maendeleo kuelekea kuifanya Zanzibar kuwa Dubai ya Afrika Mashariki kama GENTAMYCINE nakushauri acha kuwa na nia ya kuja kuwa Rais wa 'Mainland' kwa ama 2025 au 2030 tafadhali. Rais Dk. Hussein...
  2. Redpanther

    JamiiForums Tanzania Niko katika Njia panda sijui nichukue kipi kati ya hizi course

    Habari za Jioni hii ndugu WanaJf wenzangu. Natumaini mko poua kabisa na mko katika mapumziko baada ya kazi za siku nzima. Ngoja niende kwenye maada moja kwa moja. Niko katika Njia panda sijui nichukue kipi kati ya hizi course. Kwa ufupi mimi nimwajiriwa kwenye shirika la umma ambaye nimesomea...
  3. Makirita Amani

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Jinsi ya kutenganisha mtaji na faida kwenye biashara Ili iweze kukua

    Rafiki yangu mpendwa Huwa kuna kichekesho kinachosema kila biashara huwa inalipa ukiwa unasimuliwa. Lakini unapoingia ndiyo unakutana na uhalisia ambao hukusimuliwa. Kichekesho hiki kina ukweli nusu na ukweli wenyewe ni kila biashara huwa inalipa, ila inategemea na namna ambavyo mtu...
  4. Smarter

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa mwanaume wa miaka 35

    Habari zenu Thinkers. Kwa mwanaume aliefikia miaka 35. Je Ushauri gani unaweza mpatia. Kuwa free kwenye maeneo yote ya Maisha. Afya, Uchumi, Social, Spiritual. Karibuni sana.
  5. kenny mtanashati

    JamiiForums Tanzania Wana JF njooni mnipe ushauri naangamia

    Wakuu poleni na miangaiko ya hapa na pale kuna mwanamke wa mtu hapa mtaani ananipenda sana anasema yupo tayari aachane mumewe ili aje kwangu na ukiangalia mumewe ni mwanajeshi na mimi nimemwambia tuachane kaa na mmeo ila hataki ameniganda na mimi naogopa mke wa mtu sumu... Nifanyaje?
  6. THE FIRST BORN

    JamiiForums Tanzania Ushauri unahitajika: Wanangu watatu (3) wanatoka na mwanamke mmoja hawajuani na mimi tu ndio najua kila kitu

    Habarini. Naomba Niende Direct kwenye Mada husika. Ni kama Story hivi. Mimi Hapa Nina Washikaji 3 Let us tuwa name A, B, C by then tupo zetu chuo 4 year now, sa inshu ipo hivi Mshikaji wangu A anademu wake na hapa ndio ipo story sasa, Demu huyohuyo anatoka na Mwanangu B halaf tena Demu...
  7. Unique Flower

    JamiiForums Tanzania Ni vizuri kufanya mapenzi kabla ya ndoa au baada kipi ni kipi? Ushauri tafadhali

    Wajumbe hawajamuacha mtu salama kauli hii ni enzi hizo. Wadau tuchambueni maada hii kwanu nipo njia mbaya sijui chakufanya. Before or after ndio poa.
  8. Thailand

    JamiiForums Tanzania Hongera Rayvany kupiga show ya kibabe Hungary. Ushauri

    Kwanza nichukue fursa hii kama watanzania wengine kukupongeza ndugu yetu Rayvany kwa kupiga show moja matata sana kwenye tuzo za MTV zilizofanyika Budapest nchini Hungry. Kwa ufupi ile show imekuweka kwenye position nzuri kuendelea kutoboa kimataifa, thamani yako imepanda sana sokoni...
  9. Artificial intelligence

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Serikali ni wakati muafaka wa kuwa na "Desalination plants" kutoka baharini

    Tanzania ni nchi iliyozungukwa na maziwa na bahari, huku ikiwa na mito mbali mbali yenye kutiririsha maji nchini. Tanzania kwa kiasi kikubwa kuanzia mijini hadi vijijini utegemea sana maji ya mito na mabwawa kwa ajili ya matumizi ya nyumbani na viwandani. Kutokana na shughuli za binadamu...
  10. J

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Serikali ijenge ofisi za makao makuu kwa kila chama cha upinzani kilichoasisiwa 1992

    Kwa sababu wakati mfumo wa vyama vingi vya siasa ukianza rasmi 1992 CCM ilibahatika kurithi mali zote ilizozimiliki wakati wa mfumo wa chama kimoja ambazo kimsingi zilikuwa ni mali za watanzania wote. Ikumbukwe kuwa vyama vya upinzani 1992 viliundwa na wanaccm wenye mawazo mbadala na hiyo...
  11. Equation x

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa kimalezi

    Nina binti yangu ana miaka 12 na ningependa abobee kwenye 'animation' kwa sababu lengo langu ni kuanzisha kitu kinachoitwa 'Home of Animation'. Nimependa fani hiyo kutokana na fursa nilizoziona huko duniani. Nilitaka nianze kwa kutafuta mwalimu, awe anakuja kumfundisha hizo 'program' hasa siku...
  12. Labani og

    JamiiForums Tanzania Kama wewe ni Mtanzania na mdau wa soka ungepata nafasi ya kumshauri kocha wa simba Pablo Franco ungempa ushauri gani

    Kama title inavyojieleza hapo juu, kama mtanzania pure na ni mdau wa soka kutokana na kuyumba kwa timu ya Taifa ni vyema kuendelea kuwekeza nguvu kubwa kwa vilabu vyetu pendwa ili atleast twende kwenye ubora kwa ngazi ya vilabu ili kuwatoa kimaso maso watanzania. Kwa mfano SIMBA walifanya...
  13. P

    JamiiForums Tanzania Ushauri unahitajika: Familia tumekwama

    Heshima kwenu wakuu. Usipite bila kushauri. Kuna issue ya kimahusiano inaleta utata kwenye familia. Tuna kaka yetu mkubwa ameo mwaka wa Saba sasa na hawajabahatika na mkewe kupata mtoto. Familia imewahi wasidia sana kujua nini chanzo cha tatizo mara kadhaa na taarifa rasmi za kitabibu...
  14. Melancholic

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nilijigonga kwenye ugoko, nikijaribu kukimbia naanzisha ugonjwa upya

    Habarini za wakati huu wakuu. Kwanza tumshukuru Mungu kwa kutuamsha salama. Pili niende moja kwa moja kwenye mada, binafsi huwa nina kawaida ya kufanya mazoezi kila asubuhi ikiwemo joging na mazoezi mengine ya viungo. Pia huwa ninapenda sana kukimbia mara nyingi huwa natoka Kijitonyama mpaka...
  15. Liwagu

    JamiiForums Tanzania Nimrudishie hela yake au nikaushe tu?

    Jana nilikuwa na PC yangu mapambano apa Board Room, tukapiga bia tam kadhaa nikaona simuelewi elewi nikamwambia oya, sina mipango leo ningekufyatua chap chap. Akasema ulijuajee, hatamimi nilikuwa nashindwa tu kusema. Nikamwambia ndio ivyo sina kitu akasema atazamini pambano ila leo lazima...
  16. guojr

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa Sekretarieti ya Ajira Serikalini (PSRS)

    Habari za muda huu wana jukwaa, leo ningependa kutoa ya moyoni kuhusu majanga yaliyonikuta katika mchakato wa kuomba kazi Serikalini. Huenda sio mimi tu bali wengi wetu yametutokea au yanatukwaza kwa namna moja au nyingine. Nitazungumzia mambo matatu ambayo kwa maoni yangu yanapaswa kuangaliwa...
  17. B

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Mbowe: Ushauri wa Bure kwa Mawakili Wasomi - Utetezi

    Awali ya yote pokeeni pongezi za dhati kwa kazi takatifu mnayoifanya ya kuisaka haki katika mazingira magumu. Kazi yenu ni ngumu zaidi hasa ikizingatiwa kuwa mafanikio yoyote yanayopatikana yanahatarisha matumbo ya watu yenye uchu uliopitiliza. Jambo moja la hakika lenye kutia moyo ni kuwa...
  18. Nduka Original

    JamiiForums Tanzania Ushauri serious unatakiwa toka kwa madaktari

    Nina ndugu yangu amekuwa diagnosed na High Blood Pressure na Diabetic. Anakunywa red wine karibia kila siku chupa moja. 1. Je hii ni sawa 2. Au anatakiwa kuacha kabisa?
  19. K

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa Wizara kuhusu Deni la Taifa

    Napenda nitoe mawazo yangu kwenye mikopo ya serikali. Nitaelezea kwa mtiririko wa utekelezaji ili niwasaidie Serikali badala ya kulalamika na kupigiana madongo Mikopo yote ya serikali bila kujali awamu iangaliwe kwa kujua muda wa kulipa mikopo na riba za mikopo Group 1: Mikopo yote yenye riba...
  20. Mama pretty

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri, wazazi wangu hawataki nisome ujuzi mwingine zaidi ya taaluma niliyosoma

    Wakuu habari, Kama kichwa cha uzi kinavyosema hapo. Mtanisamehe mimi sio mwandishi mzuri ila nitajitahidi nieleweke. Mimi nimebahatika kusoma systematically kama ilivyo mfumo wa elimu wa Tanzania, yani kuanzia std7, f4, f6 mwisho chuo kikuu. Sasa kipindi nimemaliza f4 wakati nasubiri matokeo...
Back
Top Bottom