Ushauri kuhusu kusoma degree kwa njia ya mtandao

clinician

JF-Expert Member
Mar 5, 2014
1,625
3,482
Habari!

Nina Diploma in Clinical Medicine, GPA 3.4 ninahitaji kujiendeleza kwa level ya degree lakini sina uhakika wa kusoma full time.

Nilifikiria kusoma Open University Bachelor of food Nutrition and Dietetics lakini vigevo vyao vya kuchaguliwa ni GPA kuanzia 3.5 ambayo sina.

Je, kuna namna gani naweza kufanya niweze kuchaguliwa Open university of Tanzania?

Kuna vyuo gani vizuri vya nje inavyotambulika na TCU vinavyotoa kozi nzuri za afya kwa njia ya masafa?
 
Habari!

Nina Diploma in Clinical Medicine, GPA 3.4 ninahitaji kujiendeleza kwa level ya degree lakini sina uhakika wa kusoma full time.

Nilifikiria kusoma Open University Bachelor of food Nutrition and Dietetics lakini vigevo vyao vya kuchaguliwa ni GPA kuanzia 3.5 ambayo sina.

Je, kuna namna gani naweza kufanya niweze kuchaguliwa Open university of Tanzania?

Kuna vyuo gani vizuri vya nje inavyotambulika na TCU vinavyotoa kozi nzuri za afya kwa njia ya masafa?
Umejaribu kuomba mkuu ukakosa, au vigezo umeangalia tangazo la mwaka juzi vigezo vikiwa vimepandishwa, jaribu kuomba hivyo hivyo na GPA yako unaweza kupata usiangalie GPA ya hiyo kozi kila mwaka vigezo vinabadilika.

Na kuhusu Foundation umekidhi vigezo zaid ya GPA 3 so no need ya hiyo course,
 
Umejaribu kuomba mkuu ukakosa, au vigezo umeangalia tangazo la mwaka juzi vigezo vikiwa vimepandishwa, jaribu kuomba hivyo hivyo na GPA yako unaweza kupata usiangalie GPA ya hiyo kozi kila mwaka vigezo vinabadilika.

Na kuhusu Foundation umekidhi vigezo zaid ya GPA 3 so no need ya hiyo course,
Kwenye application system haikuruhusu kuendelea kujaza kama GPA ni chini ya 3.5..
hiyo kozi nayotaka pekee ndio ina GPA ya 3.5 kozi nyingine ni GPA ya 3 tu inahitajika.
 
Kwenye application system haikuruhusu kuendelea kujaza kama GPA ni chini ya 3.5..
hiyo kozi nayotaka pekee ndio ina GPA ya 3.5 kozi nyingine ni GPA ya 3 tu inahitajika.
Sijui kwa nini iwe course pekee inayodai 3.5. Pole kwa hilo either utafute kozi nyingine ama uende full time. Naona hii ni kwa kozi za afya kote nchini.
 
Habari!

Nina Diploma in Clinical Medicine, GPA 3.4 ninahitaji kujiendeleza kwa level ya degree lakini sina uhakika wa kusoma full time.

Nilifikiria kusoma Open University Bachelor of food Nutrition and Dietetics lakini vigevo vyao vya kuchaguliwa ni GPA kuanzia 3.5 ambayo sina.

Je, kuna namna gani naweza kufanya niweze kuchaguliwa Open university of Tanzania?

Kuna vyuo gani vizuri vya nje inavyotambulika na TCU vinavyotoa kozi nzuri za afya kwa njia ya masafa?
 
Nawezaje kufanya application kngz
Kama utafanikiwa kuingia kwenye website ya Open University chukua namba zao za mawasiliano ili uongee nao vizuri.

Ila usitume e-mail,mashirika na taasisi nyingi hazina utaratibu wa kusoma barua pepe, labda wakiona ina umuhimu mno.

Ila kwa haya maswali madogo madogo wapigie simu wewe mwenyewe.
 
Hii kozi haikufai ikiwa tayari uni CO hii kozi ya nutrition hamna kitu maafisa lishe wanalipwa kwa TGS na sio TGHS we jichanganye piga OCCUPATIONAL THERAPIST uji kujuta maishani
 
Hii kozi haikufai ikiwa tayari uni CO hii kozi ya nutrition hamna kitu maafisa lishe wanalipwa kwa TGS na sio TGHS we jichanganye piga OCCUPATIONAL THERAPIST uji kujuta maishani
Ipo open university?
 
Hii course OUT hawaitoi, we zama class tu , omba ruhusa kama upo GOV,kama ni NGOs we chonga nao tu kama self- employed ni swala la kuamua tu , ila sijui hiyo sijui nutrition labda uwe in service sawa nje na hapo unajaza cv ya likaratasi tu na sifa ya degree tu, maafisa lishe is not gov.priority for now ,are only very few and rarely to be requited. Try to expand your mind ,there are a lot of health courses ,choose anyone
Ipo open university?
 
Back
Top Bottom