USHAURI nisome Foundation Course Program au nimalizie Diploma ya Clinical Medicine?

USHAURI nisome Foundation Course Program au nimalizie Diploma ya Clinical Medicine?

Joined
Jun 19, 2026
Posts
18
Reaction score
37
Habari za muda huu wakuu, bila kuwapotezea muda niende kwenye maada.

Mimi ni nina elimu ngazi ya cheti ya utabibu technician certificate in clinical medicine(NTA L5) niliishia hii level kwa sababu niligundua soko la ajira lipo sana kwa ngazi ya certificate ukilinganisha na diploma ambao kwa sasa ni wengi, lakini nawaza huko mbeleni niongeze elimu baada ya kuingia kwenye ajira serikalini hasa kwa kozi ya Bachelor of science in Health information , (NOTE; nina cheti cha form six chen ufaulu wa dvn 3 point 13 ambayo nilimaliza 2019) cheti cha NTA L5 cha certificate bado hakijatoka.

Naombeni ushauri kwa wakati huu ni bora niombe upgrading course ya diploma in clinical medicine nikamalizie au nisome foundation program OPEN UNIVERSITY ili niwe na vigezo vya kuomba bachelor degree in health information system mwakani. nawasilisha
 
Malizia diploma, clinical officer, itakutoa haraka
Hiyo bachelor kaisome baada ya diploma
Ila kama CA ikikupatia ajira/ check number kabla ya kusoma diploma basi unaweza jump to degree kama unavyowaza maana utakuwa tayari upo kwenye mfumo
All the best
 
Malizia diploma,clinical officer ,itakutoa haraka
Hiyo bachelor kaisome baada ya diploma
Ila kama CA ikikupatia ajira/ check number kabla ya kusoma diploma basi unaweza jump to degree kama unavyowaza maana utakuwa tayari upo kwenye mfumo
All the best
Shukran sana mkuu kwa kuniongezea maarifa, nimekupata vyema
 
Back
Top Bottom