Kiongozi wa Upinzani nchini Rwanda Victoire Ingabire amezuiwa kutoka nchini Rwanda kupokea tuzo ya haki za binadamu.
Bi Victoire Ingabire kiongozi wa upinzani nchini Rwanda alitunukiwa tuzo ya mtetezi wa haki za binadamu iliyotolewa na Shirika la haki za binadamu la Uhispania, lakini hakupewa...