johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,599
- 141,415
Kwa wale tulioshiriki uchaguzi mkuu wa mwaka 1995 tutakumbuka namna wagombea wa upinzani walivyokuwa makini na wasioyumba.
Wagombea wale waliweza kujenga hoja bila matusi wala kejeli hali iliyopelekea hata mwalimu Nyerere kuwasupport katika baadhi ya majimbo likiwemo la Iringa mjini ambapo Dr Hassy Kitine wa CCM aligombea na mwalimu Kibassa wa NCCR mageuzi aliyeibuka kidedea.
Wapinzani wa leo ni kama vile " wamelewa" ruzuku maana hata uwezo wa kujenga hoja za kudai Tume huru ya uchaguzi na dunia ikawasikia hawana tena.
Wapinzani mamboleo wanategemea zaidi Huruma ya CCM kuliko kujituma.
Ni hayo kwa uchache
Maendeleo hayana vyama!
Wagombea wale waliweza kujenga hoja bila matusi wala kejeli hali iliyopelekea hata mwalimu Nyerere kuwasupport katika baadhi ya majimbo likiwemo la Iringa mjini ambapo Dr Hassy Kitine wa CCM aligombea na mwalimu Kibassa wa NCCR mageuzi aliyeibuka kidedea.
Wapinzani wa leo ni kama vile " wamelewa" ruzuku maana hata uwezo wa kujenga hoja za kudai Tume huru ya uchaguzi na dunia ikawasikia hawana tena.
Wapinzani mamboleo wanategemea zaidi Huruma ya CCM kuliko kujituma.
Ni hayo kwa uchache
Maendeleo hayana vyama!