Mkopo wa Benki ya Dunia umeonyesha upinzani sio idadi ya ubunge, ni fikra

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,594
8,736
Kama kuna watu walikuwa wanafikiria kwamba kuwabana upinzani, wanahabari na watoa maoni kutafanya chochote kiweze kufanyika wafiliri tena. Dunia ya siku hizi tunategemeana sana kiasi kwamba mtu wa kawaida tu ana uwezo mkubwa sana kuleta na kuzuia mambo mengi kama hamjakubaliana pamoja kama nchi. Angalieni wanaharakati kwenye hili ya mkopo wa shule walivyokuwa na nguvu bila mambo ya ubunge au chama.

Serikali zote sio Tanzania tu zijue wananchi wana uwezo mkubwa sana wa kusimamisha shughuli kupitia migomo ilimradi iwe na hoja tu. Kampuni za ndege kubwa ni mbili tu wanaharakati wana uwezo wa kuzuia ununuzi kwa kuongea na kampuni kama wana hoja.

Mitandao yote ya simu inatumia sofware za kampuni za hao tunaowaita mabeberu kwa urahisi tu wanaweza kusimamisha chochote lakini vilevile Dunia nzima manunuzi na malipo ya kimataifa ni kwa dollar na ndiyo maana US wana nguvu sana kwenye kuweka vikwazo maana ndiyo wenye dollar ni lazima uchukuwe kwa bank za US yaani bank to bank. Hivyo kuna mbinu nyingi sana zinaweza kutumika kuzuia vitu.

Kibaya huwezi kusema kama zamani hatuhitaji mabeberu. Uchumi wetu karibu wote unategemea mabeberu. Madini tuna mikataba na mabeberu, kampuni za simu mikataba na mabeberu, miradi bank za mabeberu, technologia ni za mabeberu, ndege zinatengenezwa na mabeberu, elimu yetu misingi yake ni ya mabeberu, dawa karibu zote zimegunduliwa na mabeberu za India wanapewa leseni tu ya kutengeneza.

Hivyo hii Dunia imekuwa yote ya kibeberu na wanaosema tofauti ni siasa tu. Mitandao yote hii ukiangalia ni kampuni za kibeberu hata hizo barua za serikali na wakaguzi wanatumia micro soft ambayo ni kampuni ya US. Technology ya nishati ya gas na umeme ni hao hao.

Ni muhimu sana kama nchi tujasiliane maana viburi na kutokuelewana ndiko kutaleta haya majanga ya bank ya dunia. Wakati wa Kikwete alikuwa anaongea na watu na wapinzani kwa sababu ya vitu kama hivi. Haya mambo tujue tu yataongezeka kama hatuko wamoja.
 
Kama kuna watu walikuwa wanafikiria kwamba kuwabana upinzani, wanahabari na watoa maoni kutafanya chochote kiweze kufanyika wafiliri tena. Dunia ya siku hizi tunategemeana sana kiasi kwamba mtu wa kawaida tu ana uwezo mkubwa sana kuleta na kuzuia mambo mengi kama hamjakubaliana pamoja kama nchi. Angalieni wanaharakati kwenye hili ya mkopo wa shule walivyokuwa na nguvu bila mambo ya ubunge au chama.

Serikali zote sio Tanzania tu zijue wananchi wana uwezo mkubwa sana wa kusimamisha shughuli kupitia migomo ilimradi iwe na hoja tu. Kampuni za ndege kubwa ni mbili tu wanaharakati wana uwezo wa kuzuia ununuzi kwa kuongea na kampuni kama wana hoja. Mitandao yote ya simu inatumia sofware za kampuni za hao tunaowaita mabeberu kwa urahisi tu wanaweza kusimamisha chochote lakini vilevile Dunia nzima manunuzi na malipo ya kimataifa ni kwa dollar na ndiyo maana US wana nguvu sana kwenye kuweka vikwazo maana ndiyo wenye dollar ni lazima uchukuwe kwa bank za US yaani bank to bank. Hivyo kuna mbinu nyingi sana zinaweza kutumika kuzuia vitu.

Kibaya huwezi kusema kama zamani hatuhitaji mabeberu. Uchumi wetu karibu wote unategemea mabeberu. Madini tuna mikataba na mabeberu, kampuni za simu mikataba na mabeberu, miradi bank za mabeberu, technologia ni za mabeberu, ndege zinatengenezwa na mabeberu, elimu yetu misingi yake ni ya mabeberu, dawa karibu zote zimegunduliwa na mabeberu za India wanapewa leseni tu ya kutengeneza.

Hivyo hii Dunia imekuwa yote ya kibeberu na wanaosema tofauti ni siasa tu. Mitandao yote hii ukiangalia ni kampuni za kibeberu hata hizo barua za serikali na wakaguzi wanatumia micro soft ambayo ni kampuni ya US. Technology ya nishati ya gas na umeme ni hao hao.

Ni muhimu sana kama nchi tujasiliane maana viburi na kutokuelewana ndiko kutaleta haya majanga ya bank ya dunia. Wakati wa Kikwete alikuwa anaongea na watu na wapinzani kwa sababu ya vitu kama hivi. Haya mambo tujue tu yataongezeka kama hatuko wamoja.
Ni kweli,hata mambo ya elimu kwa wajawazito kutoendelea na masomo yalikuwepo, ila hakuna aliyejimwambafai hadharani kuwa haitawezekana kwa kipindi changu, bali taratibu watu walitekeleza hiyo sera bila vikwazo. Mie binafsi siungi mkono eti wakijifungua warudi shuleni, watoto wanapaswa waelimishe wasijiusishe na ngono za utotoni, na wanaharakati ni vichaa mara tunataka umri wa kuolewa zaidi ya miaka 18 ili mtoto apate elimu na akuwe,mara akizaa akiwa na miaka 12 shule akachanganyike na watoto wengine wasiozaa,wanajifanya awaelewi kuwa watasababisha kuchochea ngono kwa watoto, na binti yangu shule ila yakimkuta haya atimuliwe tu, taangalia utaratibu mwingine!
 
Ni kweli,hata mambo ya elimu kwa wajawazito kutoendelea na masomo yalikuwepo, ila hakuna aliyejimwambafai hadharani kuwa haitawezekana kwa kipindi changu, bali taratibu watu walitekeleza hiyo sera bila vikwazo. Mie binafsi siungi mkono eti wakijifungua warudi shuleni, watoto wanapaswa waelimishe wasijiusishe na ngono za utotoni, na wanaharakati ni vichaa mara tunataka umri wa kuolewa zaidi ya miaka 18 ili mtoto apate elimu na akuwe,mara akizaa akiwa na miaka 12 shule akachanganyike na watoto wengine wasiozaa,wanajifanya awaelewi kuwa watasababisha kuchochea ngono kwa watoto, na binti yangu shule ila yakimkuta haya atimuliwe tu, taangalia utaratibu mwingine!

Tatizo lako hapa ni kwamba unaweka lawama za mtoto kupata mimba kwa mtoto ambaye akili yake bado haijakuwa. Mtoto akipata mimba ni tatizo la jamii sio mtoto. Watoto wanafata utamaduni wetu sisi sio kwamba mimba ni ya hawa wazungu. Wapiga mimba wangapi wapo jela? Je mtoto akibakwa inakuwaje hapo makosa ni yake? Je tunajua watoto wangapi wanabakwa kwenye jamii zetu zingine huko?. Kisheria mtu mzima ukipata mimba na mtoto ni kubaka! hakuna utongozaji wa watoto ambao upo kisheria!
 
Kamundu, Mtahangaika sana lakini tutawamaliza mmoja mmoja nyie ni kikundi kidogo sana cha watu msiofika hata mia
Hakuna aliyefanikiwa kwa kuua wanaompinga , halafu kingine ni hiki , mtu duni na mshamba kama wewe huna uwezo wa kumuua yeyote na naishia hapa kwa sababu ya heshima ya jf , vinginevyo ningetaja jina hadi la mama yako mzazi ( maana nalifahamu )
 
Hakuna aliyefanikiwa kwa kuua wanaompinga , halafu kingine ni hiki , mtu duni na mshamba kama wewe huna uwezo wa kumuua yeyote na naishia hapa kwa sababu ya heshima ya jf , vinginevyo ningetaja jina hadi la mama yako mzazi ( maana nalifahamu )
Rwanda hapo anafanikiwa,Marekani hapo anaua kila siku,tatizo akili ndo shida,mimi huna haja ya kuniita mshamba,kwa kuwa najielewa ni mshamba😂😂😂
 
Kama kuna watu walikuwa wanafikiria kwamba kuwabana upinzani, wanahabari na watoa maoni kutafanya chochote kiweze kufanyika wafiliri tena. Dunia ya siku hizi tunategemeana sana kiasi kwamba mtu wa kawaida tu ana uwezo mkubwa sana kuleta na kuzuia mambo mengi kama hamjakubaliana pamoja kama nchi. Angalieni wanaharakati kwenye hili ya mkopo wa shule walivyokuwa na nguvu bila mambo ya ubunge au chama.

Serikali zote sio Tanzania tu zijue wananchi wana uwezo mkubwa sana wa kusimamisha shughuli kupitia migomo ilimradi iwe na hoja tu. Kampuni za ndege kubwa ni mbili tu wanaharakati wana uwezo wa kuzuia ununuzi kwa kuongea na kampuni kama wana hoja.

Mitandao yote ya simu inatumia sofware za kampuni za hao tunaowaita mabeberu kwa urahisi tu wanaweza kusimamisha chochote lakini vilevile Dunia nzima manunuzi na malipo ya kimataifa ni kwa dollar na ndiyo maana US wana nguvu sana kwenye kuweka vikwazo maana ndiyo wenye dollar ni lazima uchukuwe kwa bank za US yaani bank to bank. Hivyo kuna mbinu nyingi sana zinaweza kutumika kuzuia vitu.

Kibaya huwezi kusema kama zamani hatuhitaji mabeberu. Uchumi wetu karibu wote unategemea mabeberu. Madini tuna mikataba na mabeberu, kampuni za simu mikataba na mabeberu, miradi bank za mabeberu, technologia ni za mabeberu, ndege zinatengenezwa na mabeberu, elimu yetu misingi yake ni ya mabeberu, dawa karibu zote zimegunduliwa na mabeberu za India wanapewa leseni tu ya kutengeneza.

Hivyo hii Dunia imekuwa yote ya kibeberu na wanaosema tofauti ni siasa tu. Mitandao yote hii ukiangalia ni kampuni za kibeberu hata hizo barua za serikali na wakaguzi wanatumia micro soft ambayo ni kampuni ya US. Technology ya nishati ya gas na umeme ni hao hao.

Ni muhimu sana kama nchi tujasiliane maana viburi na kutokuelewana ndiko kutaleta haya majanga ya bank ya dunia. Wakati wa Kikwete alikuwa anaongea na watu na wapinzani kwa sababu ya vitu kama hivi. Haya mambo tujue tu yataongezeka kama hatuko wamoja.
Mabeberu waheshimiwe
 
Hakuna aliyefanikiwa kwa kuua wanaompinga , halafu kingine ni hiki , mtu duni na mshamba kama wewe huna uwezo wa kumuua yeyote na naishia hapa kwa sababu ya heshima ya jf , vinginevyo ningetaja jina hadi la mama yako mzazi ( maana nalifahamu )
Mkuu mtaje tu ( ngoja tulinde heshima ya jf tusije ambiwa sisi ndio akina Melo)
 
Kamundu, Mtahangaika sana lakini tutawamaliza mmoja mmoja nyie ni kikundi kidogo sana cha watu msiofika hata mia
Mkuu mbona baba yako tayari ana stroke bado hujaona kama hiyo ni laana ya kuua watu wengine?? Au unataka na wewe ikupige ndio ujue?? Unakumbuke yule ndugu tako mwenye cancer?? Bado hujaelewa tu.
 
Back
Top Bottom