upinzani

  1. G Sam

    GE2020 Akiwa Shinyanga Mjini Rais Magufuli anawataka Wananchi wasichague Mbunge wa Upinzani hata kama anafaa, kweli?

    Hii kauli kama Kichwa cha Habari kinavyosema eti hakuna kuchagua mbunge wa upinzani hata kama anafaa. Maneno kama haya kuzungumzwa na kiongozi mwenye dola ambaye anawania muhula mwingine wa uongozi ni kuhujumu uchaguzi mkuu. Maneno kama haya kuzungumziwa wananchi ni kama kuwatisha kwa...
  2. J

    GE2020 Uandaliwe mdahalo wa wagombea Urais wa Vyama vya Upinzani wanaompa changamoto Rais Magufuli

    Napendekeza uwepo mdahalo wa wagombea urais wa vyama vya upinzani wanaompa changamoto ( challenge) mgombea wa chama tawala Dkt. Magufuli. Wagombea wa upinzani watueleze cha zaidi watakachokifanya kushinda yale yaliyokwishafanywa na Rais Magufuli na yale atakayofanya kupitia ilani ya CCM ya...
  3. Civilian Coin

    GE2020 Ushindi wa CCM Oktoba 2020 itakuwa ni fedheha kwa CHADEMA na ACT Wazalendo na upinzani wote

    USHINDI WA CCM OKTOBA 2020 ITAKUWA FEDHEHA KWA UPINZANI HASA CHADEMA NA ACT. Niliwaambia wapinzani waungane waunde Umoja utakaoitwa MUMAFI (MUUNGANO WA MABADILIKO YA FIKIRA) lakini wamekubali kugawana kura kiulani Sana, kwa ubishi huu wa kujifanya mnajua Sana kuliko watazamaji wanaojua Nini...
  4. Kichuguu

    GE2020 Somo la bure kwa Vyama vya Upinzani mwaka huu

    Vyama vya upinzani vimeegemea kuamini kuwa wananchi wanaichukia sana serikali ya CCM kutokana na mambo mawili: mzunguko wa pesa kupungua mitaani, na serikali ya CCM kuwabana sana watu wafuate sheria na kusimamia sana raslimali za nchi bila kuwasikiliza watu wa nje. Hizo ndizo mada za...
  5. Prof Koboko

    GE2020 Jaribio la kwanza la CCM kwa Upinzani kupima uvumilivu wao

    Jaribio la kwanza ni kuwaengua wapinzani kwa visingizio vya mapingamizi yasiyokuwa mbele wala mkia ili kujihakikishia Idadi ya wabunge wanaosubiri kuapishwa baada ya Uchaguzi hapo October. Hiii hujuma wapinzani wanapimwa wanaweza kufanya nini ikiwa watafanyiwa hivyo. Jaribio la pili ni...
  6. Mzalendo Uchwara

    GE2020 Vyama vya upinzani vijifunze ujazaji fomu kwa wagombea wao kutoka CCM

    Najua ni ujinga na upuuzi kwa NEC kuwaengua wagombea wa vyama vya upinzani kwa makosa madogo madogo katika ujazaji wa form. Lakini pamoja na hilo, vyama vyote vya upinzani vinalo la kujifunza hapa. Unaweza kujiuliza, mbona wagombea wengi wa CCM form zao hazina matatizo? Iko hivi; - Baada tu ya...
  7. B

    Hii nguvu ya Umma waliyonayo wapinzani imetokana na upinzani au inaletwa na CCM?

    Uwezi kuwa chama tawala ukashindwa kutawala kwa nguvu ya umma na nguvu ya hoja. Zipo nguvu tatu muhimu na za msingi katika utawala wa kisiasa ambazo ni 1. Nguvu ya umma- Hii utokana na namna mwanasiasa anavyokubalika na makundi mbalimbali ya jamii anayotaka kuiongoza. Nguvu ya umma udhihirika...
  8. PAZIA 3

    GE2020 CHADEMA, tafuteni television station itakayorusha kampeni zenu mubashara

    Popote mlipo, huu Ni ushauri wangu kwenu, mikutano yenu haiwezi kutegemea matangazo ya gari za matangazo na social media, katika pesa mliyonayo, ongeeni na ITV/ AZAM wawe wanarusha matangazo na ratiba za kampeni zenu. Ikishindikana kwa hizo media, basi boresheni CHADEMA TV iwe active LIVE 24...
  9. Naantombe Mushi

    GE2020 Sera ya upinzani ingepaswa kuwa moja tu, kuondoa udikteta na kuruhusu Haki na Uhuru

    Nimefurahishwa sana na sera ya Chadema ya, uhuru, haki, na maendeleo. Ila binafsi ningependa kama ingeweza kusomeka, kuondoa udikteta, kuleta haki, na uhuru. Udikteta, kukosekana kwa haki na uhuru, ndo mambo yaliyokithiri kwenye utawala wa Magufuli kwa miaka mitano iliyopita. Kwanini uhuru na...
  10. CHADEMA

    GE2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu

    Jiji la Dar es Salaam ambayo ni ngome Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo linatarajiwa kusimama kwa siku tatu kupisha uzinduzi wa kihistoria wa mgombea Urais wa Chama hicho. Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chadema Tundu Lissu atazindua Rasmi kampeni zake kuelekea Ikulu ya Magogoni na...
  11. demigod

    GE2020 Kuenguliwa kwa baadhi ya upinzani ni mkakati wa CCM kupunguza idadi ya kura za Tundu Lissu

    Wanajamvi. Tukijaribu kwa kina kutafakari njama kuu ya kuengua wagombea wa ubunge wa majimbo yaliyo mengi ni moja ya mkakati wa kuhakikisha unalenga kupunguza idadi ya kura atakazo pata Tundu Lissu. CCM wamegundua kuwa idadi ya wapiga kura walio wengi watakaokwenda kwenye sanduku la kura...
  12. Victor Mlaki

    Uchaguzi wa mwaka huu unaonesha upinzani utakuwa mkali sana kati ya Vyama vya Upinzani

    Kulingana na hotuba chache nilizopotia kuelekea Uchaguzi huu ujao wa mwezi Oktoba,2020 nimebaini kuwa upinzani utakuwa katika kumbo la kupingana wenyewe kwa wenyewe na siyo kuonesha uhai wao wa kukiwajibisha chama kinachotawala. Wagombea wa upinzani wameshaanza kuchafuana wenyewe kwa wenyewe...
  13. K

    GE2020 Kwa mwitikio uliopo kwenye mikutano ya upinzani, bado tunaamini wananchi wanahitaji kuhamasishwa na wasanii?

    Wakati CCM ikiangaika kukusanya wasanii kwenye mikutano vyama vingine vimeamua kujipima vinakubalika vipi bila kuwa na wasanii na bila kubeba wananchi kwenye malori. Je. Kwa Hali hii mkakati wa ccm kubeba watu kwenye malori na kutumia wasanii unawasaidia kujua wanakubalika vipi au unawasaidia...
  14. S

    Waliokuwa wamechagua kukaa kimya wakati ukandamizaji unaendelea, sasa wataanza kutumika na kuwasihi viongozi wa upinzani warudi nyuma

    Kwa miaka mitano, baadhi ya viongozi wa upinzani na wapinzani kwa ujumla wamekuwa wanapita katika kipindi kigumu cha mateso na unyanyasaji mkubwa kama vile kukamatwa na kuwekwa ndani, kunyimwa dhamana, kupigwa risasi, kufungwa jela,n.k na wakati wote huu kuna watu waliochagua kukaa kimya licha...
  15. Pascal Mayalla

    GE2020 Je, Tanzania tuna upinzani makini, upinzani wa kweli wa kuing'oa CCM madarakani au bado sana? Nilichoshuhudia leo uzinduzi CHADEMA, kiukweli...

    Wanabodi, Kipenga cha kuanza kwa kampeni za Uchanguzi Mkuu ujao kimepulizwa leo na fungua dimba amekuwa Chadema. Nimeangalia kidogo kupitia live ya TBC, kiukweli nilichoshuhudia, ndicho kimenipelekea mimi kuanzisha huu uzi ambao ni swali. Je, Tanzania tuna upinzani wa kweli, upinzani makini...
  16. fenestra rotunda

    GE2020 Kitakachotugharimu Upinzani kwenye huu Uchaguzi

    Ni wazi sasa kuwa nguvu kubwa imewekwa kwenye Urais huku Ubunge na Udiwani ukiwekwa pembeni. Hili linadhihirishwa kwa jinsi matatizo ya kuenguliwa wagombea yalivyoshughulikiwa mpaka dakika ya mwisho, na vile muda wa kukata rufaa umeshaisha tayari. Bila kuwapa support hao wagombea waliopata...
  17. fenestra rotunda

    GE2020 Kwa hili la kuenguliwa Wagombea wa Upinzani, tuna la kujifunza

    Wakuu salaam, Baada tu ya wagombea ubunge na Udiwani wa CHADEMA kuchukua fomu maeneo mbalimbali Tanzania watu walitoa ushauri jinsi ya kuepuka makosa kama yale ya 2019. Katika majimbo yote ya Uchaguzi ni majimbo machache saana ambayo niliona wagombea wa ngazi mbalimbali wakiongozwa na wagombea...
  18. C

    GE2020 Bernard Membe nakupenda sana, nakuomba umuachie Tundu Lissu agombee tuiondoe CCM madarakani

    Kwa dhati ya moyo wangu napenda kukiri kuwa mimi ni admirer wako toka ukiwa Waziri wa mambo ya Nje wa Tanzania. Lakini kwa hali ya Siasa ilivyo nchini mwetu na kiu ya watanzania kuondokana na kivuli kizito kilichodumu kwa zaidi ya miaka 59 cha umasikini uliokithiri, ujinga, maradhi, ukiukwaji...
  19. K

    GE2020 Baada ya watanzania kumchagua Magufuli kwenye Uchaguzi Mkuu hakika huo ndio utakuwa mwanzo wa mwisho wa Upinzani

    Imani tuliyonayo watanzania kwa jemedari wetu wa mapambano dhidi ya ufisadi, rushwa, uhujumu uchumi na uzembe ni wa kiwango kisichotiliwa shaka yoyote hususani kwa tukio lilipo mbele yetu la uchaguzi. Binafsi , mimi ni mmoja wa waumini safi wa kazi na misimamo ya Rais Magufuli kwa rasilimali...
  20. 2019

    Tofauti ni hii: Upinzani wapo bize sana mitandaoni, CCM wao ni maarufu sana mitaani

    Ukiangalia maisha ya online na mitaani ni tofauti kabisa, unaweza kudhani ni sayari mbili tofauti kabisa. Ukiangalia watu mitaani na mishe zao huwezi amini kama kuna mambo makubwa ya kisiasa yanayoendelea kabisa (hii ni tofauti na 2015). Ukiingia tu online iwe ni JF, Twitter n.k unaweza kusema...
Back
Top Bottom